CAG aibua ufisadi TPA ya Deus Kakoko, Ni mbaya kuliko wa Kigwangalla

CAG aibua ufisadi TPA ya Deus Kakoko, Ni mbaya kuliko wa Kigwangalla

Jiwe lilikuwa bado liko hai na halikufanya chochote!!!!!
Kwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh bilioni 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.

Sasa kuna manunuzi ya Tsh bilioni 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.

Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440
 
Hivi kwa nini BODI YA BANDARI haijavunjwa mpaka leo?

tunaomba tujue majina ya wajumbe wa Bodi ya Bandari, mwenye lists tafadhali aiweke hapa
 
Nitashangaa sana kama TAKUKURU watashindwa kumfikisha Kakoko pamoja na wajumbe wa Bodi ya Bandari Mahakamani.

hawa watu wamekwapua fedha za walipa kodi hivyo wanapaswa wachukuliwe hatua za kisheria bila kusita.
Hili lazima litokee
 
tena bila kuchelewa.
BODI YA BANDARI HAIFAI KABISA INANUKA TENA INANUKA SANA!!!
HARUFU MBAYA.
TENA TUNATAKA KUJUA MAJINA YAO NA HATUA KALI ZICHUKULIWE
 
Kigwangala hapa tena;
IMG-20210429-WA0096.jpg
 
Kwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh bilioni 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.

Sasa kuna manunuzi ya Tsh bilioni 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.

Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440
Huyo alikua anapewa ruhusa ya kutufisadi n mwendazake,yani team fisi wote
 
Huyu Deus Kakoko bado hatujamalizana
Hii ripoti ya CAG ndio inasumbua, mama amebadilisha Utawala Ila nao wanazingua hawataki kuchukua hatua hii inakera na ndio maana kamuambia Waziri wa Ujenzi kama hatachukua hatua basi ajipime hiyo nafasi kama inamfaa.

Haiingii akilini kama kuna report ya ubadhirifu wa namna hii na pia kuna taarifa za wafanyakazi kuchezea mifumo ya malipo na Rais anawapa hizo taarifa wazifanyie kazi halafu wwao wanakaa kimya kubebana tu.
 
Hii ripoti ya CAG ndio inasumbua, mama amebadilisha Utawala Ila nao wanazingua hawataki kuchukua hatua hii inakera na ndio maana kamuambia Waziri wa Ujenzi kama hatachukua hatua basi ajipime hiyo nafasi kama inamfaa.

Haiingii akilini kama kuna report ya ubadhirifu wa namna hii na pia kuna taarifa za wafanyakazi kuchezea mifumo ya malipo na Rais anawapa hizo taarifa wazifanyie kazi halafu wwao wanakaa kimya kubebana tu.
CCM hawana uwezo wa kuongoza nchi. Hiyo serikali yenyewe ni CCM kwa mfumo wa 'chama-dola.'
 
Back
Top Bottom