Inahitajika akili kufungua haya mabano[emoji848][emoji848]Umejisikiaje baada ya kupiga penati huku golini amekaa marehemu na bado umepaisha.
Marehemu alikuwa mwizi wa kutisha Ila wajinga wengi hawawezi kuliona hiliUmejisikiaje baada ya kupiga penati huku golini amekaa marehemu na bado umepaisha.
Siyo mwizi ni jambazi,Marehemu alikuwa mwizi wa kutisha Ila wajinga wengi hawawezi kiliona hili
Hata kama tutaliona mbona wizi unaendelea kwa huyu mzuri wenu. Tena wizi wa kutisha?Marehemu alikuwa mwizi wa kutisha Ila wajinga wengi hawawezi kiliona hili
Kwahiyo wizi ulianzia kwake na ukaishia kwake?Marehemu alikuwa mwizi wa kutisha Ila wajinga wengi hawawezi kiliona hili
Nchi hii ina wajinga wengi sana. Tuwasaidie tuuInahitajika akili kufungua haya mabano[emoji848][emoji848]
Marehemu alipenda kuvunja sheria kila wakati mfano hapo kwenye report ya CAG anawapa Suma JKT tenda bila kustahili mwaka 2019. Fisadi mkuu!Umejisikiaje baada ya kupiga penati huku golini amekaa marehemu na bado umepaisha.
Kwahiyo yeye ndie wa mwanzo na wa mwisho kuvunja sheria tangu nchi hii ianzishwe?Marehemu alipenda kuvunja sheria kila wakati mfano hapo kwenye report ya CAG anawapa Suma JKT tenda bila kustahili mwaka 2019. Fisadi mkuu!
Yeye ni mmoja wapo wa wafisadi wa kubwa zaidi wa nchi hii!Kwahiyo yeye ndie wa mwanzo na wa mwisho kuvunja sheria tangu nchi hii ianzishwe?
Ivi huyu buswalu sijui nani, ni kabila Gani?Marehemu alipenda kuvunja sheria kila wakati mfano hapo kwenye report ya CAG anawapa Suma JKT tenda bila kustahili mwaka 2019. Fisadi mkuu!
Mjita huyo.Ivi huyu buswalu sijui nani, ni kabila Gani?
Hivi huoni aibuAsante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.
CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.
Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?
Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!
Ok, Angekuwa mchaga sijui ingekuwaje story kwa Hilo kabila, anyway niishie hapoMjita huyo.
Hata kama tutaliona mbona wizi unaendelea kwa huyu mzuri wenu. Tena wizi wa kutisha?
Keani huyu si alikuwa msaidizi wake, wote ni weziHata kama tutaliona mbona wizi unaendelea kwa huyu mzuri wenu. Tena wizi wa kutisha?
Wizi NI taasisi inyoitwa CCMKwahiyo wizi ulianzia kwake na ukaishia kwake?
Wachagga hawapo tena serikalini wanafanya biashara zao sasa kama wahindi umewahi kuwaona serikalini?Ok, Angekuwa mchaga sijui ingekuwaje story kwa Hilo kabila, anyway niishie hapo
Kwani kwa sasa hawaibi? Mbona kutwa kucha rais analalamika. Pambanen na mtandao wa wezi wa fedha za umma na sio marehemu.Keani huyu si alikuwa mdaidizi wake, wore ni wezi