CAG amaliza kazi kwa aliyekuwa DPP Biswalo Mganga, ataka achunguzwe

CAG amaliza kazi kwa aliyekuwa DPP Biswalo Mganga, ataka achunguzwe

Asante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.

CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.

Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?

Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!
Duh...!.
P
 
Asante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.

CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.

Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?

Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!
Halafu nini kinafuata
 
Asante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.

CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.

Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?

Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!
Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge![emoji23]
 
Asante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.

CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.

Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?

Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!
Muache Upumbavu Kujificha kwa Marehemu hakusaidii kitu
Amejipumzikia Acheni Chuki zakijinga
 
Marehemu alikuwa mwizi wa kutisha Ila wajinga wengi hawawezi kiliona hili
Screenshots_2023-04-08-07-17-31.jpg
 
Biswalo alikuwa ibilisi kwenye umbo la binadamu. Alikuwa na roho mbaya mno.
 
Huyu CAG amejaa porojo nyingi sana na ripoti yake ni dondoo za wizi ambazo zinaripotiwa kimagumashi.

CAG ni mchunguzi ambaye anatakiwa akiwa na ushahidi wa kutosha ampe Dpp ili watu washitakiwe. Sasa hizi za Jaji Biswalo ndio nini? Anataka nani achunguze?
20230408_075945.jpg
 
Asante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.

CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.

Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?

Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!
Mapungufu sio wizi; inaweza kuwa local environnment zilipelekea maamuzi yafanywe that way. Pia huyo mkandarasi ni taasisi ya serikali hivyo hela hatimaye inarudi huko huko serikalini. CAG sio mkamilifu anaweza asielewe undani wa jambo vizuri ndio maana riporti unapoisoma unatakiwa udigest sio kuimeza jinsi ilivyo.

Hapo hakuna wizi.
 
Back
Top Bottom