CAG amaliza kazi kwa aliyekuwa DPP Biswalo Mganga, ataka achunguzwe

CAG amaliza kazi kwa aliyekuwa DPP Biswalo Mganga, ataka achunguzwe

Swali la kijinga sana lini. Kwahiyo tumuache kisa yeye sio wa kwanza au wa mwisho.
Stupidity at its best. So what is the point of fighting with the deceased? Will that make any difference that you wish to see?
 
Hilo swali gumu sana kujibu, wataishia vitisho na matusi.
Wakitajiwa kuna ufisadi mkubwa unaendelea wao wanasema Jiwe alikwa jambazi. Jibu hizo hoja za CAG zilizopo.
By the way, CAG amezungumza nini kuhusu USD 30 million February Marope alizotumia TANESCO kuweka mfumo eti wa kuuza umeme. Au na hii nayo haimo kwenye ripoti? Anachagua vitu vya kiweka
Jiwe alikuwa jambazi
 
Kinachokuwa kinaniuma, eti mpaka sasa Biswalo hajakamatwa huku stori zikiendelea!

Halafu huyu JPM naye eti alikuwa mwizi wakati wakaguzi wetu wote hawasemi alikuwa akipeleka wapi hayo matrilion

Kipindi cha Ma CAG wenye akili kubwa, kila mahali walipokuwa wakikagua pindi wakikuta ufujaji walitwambia hadi pesa zilikokwenda"

Mfano, yale mapesa ya kina lugamalila jinsi yalivyogawanwa hadi na Maasikofu,

Yale mapesa ya Richmond, jinsi yalivyokuwa yakiingia mifukoni mwa wana CCM

Sasa huyu JPM alizipeleka wapi?
CAG kama Ludovick Utouh na Prof Assad walikuaga hatari sana kuliko huyu wa sasa.
 
Huyu CAG amejaa porojo nyingi sana na ripoti yake ni dondoo za wizi ambazo zinaripotiwa kimagumashi.

CAG ni mchunguzi ambaye anatakiwa akiwa na ushahidi wa kutosha ampe Dpp ili watu washitakiwe. Sasa hizi za Jaji Biswalo ndio nini? Anataka nani achunguze?
View attachment 2580474
Sasa uchunguzi ukisema Biswalo yuko clean, inamaana CAG ndiyo atakua kacheza fraud kwenye report yake kuhusu Biswalo na itatakiwa ashitakiwe kwa kumtuhumu Biswalo bila ushahidi!! Maana tunajua matokeo ya uchunguzi yanaweza kua positive au Negative!!
 
Hivi kwenye hii ishu ya Biswalo zimeliwa shilingi nagapi ukilinganisha na hizi[emoji116]
Screenshot_20230407-114442_Telegram.jpg
Screenshot_20230329-152212_Telegram.jpg
 
Sukuma gang ni majambazi
Kwamba hawa wanaoongoza sasa hivi ni sukuma gang?

Si mlisema mama aliwakomesha wote?

We my wife vipi bhana unakuwa huna kumbukumbu?
 
Kwamba hawa wanaoongoza sasa hivi ni sukuma gang?

Si mlisema mama aliwakomesha wote?

We my wife vipi bhana unakuwa huna kumbukumbu?
Miradi yote ya Jiwe ndiyo leo inaongoza kwa ufisadi lkn mama tulisha mwambia kuwa afukuze hilo kundi haraka sana
 
Back
Top Bottom