kikokotoleo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 465
- 417
Ashukuriwe Mungu kwenye ufisadi zote wachaga hawapo.Ok, Angekuwa mchaga sijui ingekuwaje story kwa Hilo kabila, anyway niishie hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ashukuriwe Mungu kwenye ufisadi zote wachaga hawapo.Ok, Angekuwa mchaga sijui ingekuwaje story kwa Hilo kabila, anyway niishie hapo
Stupidity at its best. So what is the point of fighting with the deceased? Will that make any difference that you wish to see?Swali la kijinga sana lini. Kwahiyo tumuache kisa yeye sio wa kwanza au wa mwisho.
Jiwe alikuwa jambaziHilo swali gumu sana kujibu, wataishia vitisho na matusi.
Wakitajiwa kuna ufisadi mkubwa unaendelea wao wanasema Jiwe alikwa jambazi. Jibu hizo hoja za CAG zilizopo.
By the way, CAG amezungumza nini kuhusu USD 30 million February Marope alizotumia TANESCO kuweka mfumo eti wa kuuza umeme. Au na hii nayo haimo kwenye ripoti? Anachagua vitu vya kiweka
CAG kama Ludovick Utouh na Prof Assad walikuaga hatari sana kuliko huyu wa sasa.Kinachokuwa kinaniuma, eti mpaka sasa Biswalo hajakamatwa huku stori zikiendelea!
Halafu huyu JPM naye eti alikuwa mwizi wakati wakaguzi wetu wote hawasemi alikuwa akipeleka wapi hayo matrilion
Kipindi cha Ma CAG wenye akili kubwa, kila mahali walipokuwa wakikagua pindi wakikuta ufujaji walitwambia hadi pesa zilikokwenda"
Mfano, yale mapesa ya kina lugamalila jinsi yalivyogawanwa hadi na Maasikofu,
Yale mapesa ya Richmond, jinsi yalivyokuwa yakiingia mifukoni mwa wana CCM
Sasa huyu JPM alizipeleka wapi?
Thibitisha!!Marehemu alikuwa mwizi wa kutisha Ila wajinga wengi hawawezi kiliona hili
Thibitisha!!Siyo mwizi ni jambazi,
Kamuulize yeyeThibitisha!!
Sio jambazi tu alikuwa chinja chinja na mnyonya damu.Siyo mwizi ni jambazi,
Hata kama tutaliona mbona wizi unaendelea kwa huyu mzuri wenu. Tena wizi wa kutisha?
Sasa uchunguzi ukisema Biswalo yuko clean, inamaana CAG ndiyo atakua kacheza fraud kwenye report yake kuhusu Biswalo na itatakiwa ashitakiwe kwa kumtuhumu Biswalo bila ushahidi!! Maana tunajua matokeo ya uchunguzi yanaweza kua positive au Negative!!Huyu CAG amejaa porojo nyingi sana na ripoti yake ni dondoo za wizi ambazo zinaripotiwa kimagumashi.
CAG ni mchunguzi ambaye anatakiwa akiwa na ushahidi wa kutosha ampe Dpp ili watu washitakiwe. Sasa hizi za Jaji Biswalo ndio nini? Anataka nani achunguze?
View attachment 2580474
Sukuma gang ni majambaziHivi kwenye hii ishu ya Biswalo zimeliwa shilingi nagapi ukilinganisha na hizi[emoji116]View attachment 2580649View attachment 2580650
Kwamba hawa wanaoongoza sasa hivi ni sukuma gang?Sukuma gang ni majambazi
Miradi yote ya Jiwe ndiyo leo inaongoza kwa ufisadi lkn mama tulisha mwambia kuwa afukuze hilo kundi haraka sanaKwamba hawa wanaoongoza sasa hivi ni sukuma gang?
Si mlisema mama aliwakomesha wote?
We my wife vipi bhana unakuwa huna kumbukumbu?