Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi mke wake aitwe polisi atoe maelezo hizo pesa zilipo enda.Kinachokuwa kinaniuma, eti mpaka sasa Biswalo hajakamatwa huku stori zikiendelea!
Halafu huyu JPM naye eti alikuwa mwizi wakati wakaguzi wetu wote hawasemi alikuwa akipeleka wapi hayo matrilion
Kipindi cha Ma CAG wenye akili kubwa, kila mahali walipokuwa wakikagua pindi wakikuta ufujaji walitwambia hadi pesa zilikokwenda"
Mfano, yale mapesa ya kina lugamalila jinsi yalivyogawanwa hadi na Maasikofu,
Yale mapesa ya Richmond, jinsi yalivyokuwa yakiingia mifukoni mwa wana CCM
Sasa huyu JPM alizipeleka wapi?
Yaani wewe ndiye unajifanya mkamilifu kuliko taasisi ya CAG?Mapungufu sio wizi; inaweza kuwa local environnment zilipelekea maamuzi yafanywe that way. Pia huyo mkandarasi ni taasisi ya serikali hivyo hela hatimaye inarudi huko huko serikalini. CAG sio mkamilifu anaweza asielewe undani wa jambo vizuri ndio maana riporti unapoisoma unatakiwa udigest sio kuimeza jinsi ilivyo.
Hapo hakuna wizi.
Jiwe alikuwa ni mtu hatari sanaMapungufu sio wizi; inaweza kuwa local environnment zilipelekea maamuzi yafanywe that way. Pia huyo mkandarasi ni taasisi ya serikali hivyo hela hatimaye inarudi huko huko serikalini. CAG sio mkamilifu anaweza asielewe undani wa jambo vizuri ndio maana riporti unapoisoma unatakiwa udigest sio kuimeza jinsi ilivyo.
Hapo hakuna wizi.
Bila kuiondoa ccm tusitarajie maendeleo ya kweliHapa tukubaliane kuwa mchawi ni CCM kwani wizi huu uko kimfumo katika Serikali inayoongozwa na CCM tangu 1961 hadi leo.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Yako maeneo naweza kuwa mkamilifu kuliko yeye yeye pia ni banadamu na lile suala alienda mtu kana wewe toka ofisi ya CAG ambaye anaweza kuwa na upungufu wa weledi kumbuka wakaguzi wa nasomea uhasibu mambo ya technical hawayajui ndio maana wameanza kuajiri mainjinia , maafisa kilimo nk ili walau waweze kusaidia technical issue.Yaani wewe ndiye unajifanya mkamilifu kuliko taasisi ya CAG?
Zile hazikua chunguzi za CAG,zilikuwa time maalum linalodili na tatizo husikaKinachokuwa kinaniuma, eti mpaka sasa Biswalo hajakamatwa huku stori zikiendelea!
Halafu huyu JPM naye eti alikuwa mwizi wakati wakaguzi wetu wote hawasemi alikuwa akipeleka wapi hayo matrilion
Kipindi cha Ma CAG wenye akili kubwa, kila mahali walipokuwa wakikagua pindi wakikuta ufujaji walitwambia hadi pesa zilikokwenda"
Mfano, yale mapesa ya kina lugamalila jinsi yalivyogawanwa hadi na Maasikofu,
Yale mapesa ya Richmond, jinsi yalivyokuwa yakiingia mifukoni mwa wana CCM
Sasa huyu JPM alizipeleka wapi?
Kutaja tu bila kuchukuliwa hatua [emoji1241]Asante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.
CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.
Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?
Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!
View attachment 2580473
Pigo kubwa kwa walinda legacy!!Asante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.
CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.
Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?
Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!
View attachment 2580473
Tofautisha wizi na ujambazi... Yule alikuwa Jambazi...Kwahiyo wizi ulianzia kwake na ukaishia kwake?
Tatizo sio mtu ni CcmHata kama tutaliona mbona wizi unaendelea kwa huyu mzuri wenu. Tena wizi wa kutisha?
Na walioongeza bei ya ndege ni kundi la jiwe pia?Asante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.
CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.
Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?
Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!
View attachment 2580473
Hilo swali gumu sana kujibu, wataishia vitisho na matusi.Hata kama tutaliona mbona wizi unaendelea kwa huyu mzuri wenu. Tena wizi wa kutisha?
Hawajaona yule aliyefuta sh 100 kutoka kwenye mafuta, sheria ambayo ilishapitishwa na bunge!!Kwahiyo yeye ndie wa mwanzo na wa mwisho kuvunja sheria tangu nchi hii ianzishwe?
Ilifunguliwa akaunti binafsi China.Kinachokuwa kinaniuma, eti mpaka sasa Biswalo hajakamatwa huku stori zikiendelea!
Halafu huyu JPM naye eti alikuwa mwizi wakati wakaguzi wetu wote hawasemi alikuwa akipeleka wapi hayo matrilion
Kipindi cha Ma CAG wenye akili kubwa, kila mahali walipokuwa wakikagua pindi wakikuta ufujaji walitwambia hadi pesa zilikokwenda"
Mfano, yale mapesa ya kina lugamalila jinsi yalivyogawanwa hadi na Maasikofu,
Yale mapesa ya Richmond, jinsi yalivyokuwa yakiingia mifukoni mwa wana CCM
Sasa huyu JPM alizipeleka wapi?