CAG amaliza kazi kwa aliyekuwa DPP Biswalo Mganga, ataka achunguzwe

CAG amaliza kazi kwa aliyekuwa DPP Biswalo Mganga, ataka achunguzwe

Hamna CAG pale ni mletaji wa Taharuki....! Maghufuli watu kama hawa alikuwa anawala kichwa juu kwa juu
 
Kinachokuwa kinaniuma, eti mpaka sasa Biswalo hajakamatwa huku stori zikiendelea!

Halafu huyu JPM naye eti alikuwa mwizi wakati wakaguzi wetu wote hawasemi alikuwa akipeleka wapi hayo matrilion

Kipindi cha Ma CAG wenye akili kubwa, kila mahali walipokuwa wakikagua pindi wakikuta ufujaji walitwambia hadi pesa zilikokwenda"

Mfano, yale mapesa ya kina lugamalila jinsi yalivyogawanwa hadi na Maasikofu,

Yale mapesa ya Richmond, jinsi yalivyokuwa yakiingia mifukoni mwa wana CCM

Sasa huyu JPM alizipeleka wapi?
Inabidi mke wake aitwe polisi atoe maelezo hizo pesa zilipo enda.

NB: nakumbuka samia alisema kuna pesa ziko kwenye account za benki za china au ushasahau?
 
Mapungufu sio wizi; inaweza kuwa local environnment zilipelekea maamuzi yafanywe that way. Pia huyo mkandarasi ni taasisi ya serikali hivyo hela hatimaye inarudi huko huko serikalini. CAG sio mkamilifu anaweza asielewe undani wa jambo vizuri ndio maana riporti unapoisoma unatakiwa udigest sio kuimeza jinsi ilivyo.

Hapo hakuna wizi.
Yaani wewe ndiye unajifanya mkamilifu kuliko taasisi ya CAG?
 
Mapungufu sio wizi; inaweza kuwa local environnment zilipelekea maamuzi yafanywe that way. Pia huyo mkandarasi ni taasisi ya serikali hivyo hela hatimaye inarudi huko huko serikalini. CAG sio mkamilifu anaweza asielewe undani wa jambo vizuri ndio maana riporti unapoisoma unatakiwa udigest sio kuimeza jinsi ilivyo.

Hapo hakuna wizi.
Jiwe alikuwa ni mtu hatari sana
 
Yaani wewe ndiye unajifanya mkamilifu kuliko taasisi ya CAG?
Yako maeneo naweza kuwa mkamilifu kuliko yeye yeye pia ni banadamu na lile suala alienda mtu kana wewe toka ofisi ya CAG ambaye anaweza kuwa na upungufu wa weledi kumbuka wakaguzi wa nasomea uhasibu mambo ya technical hawayajui ndio maana wameanza kuajiri mainjinia , maafisa kilimo nk ili walau waweze kusaidia technical issue.
 
Kinachokuwa kinaniuma, eti mpaka sasa Biswalo hajakamatwa huku stori zikiendelea!

Halafu huyu JPM naye eti alikuwa mwizi wakati wakaguzi wetu wote hawasemi alikuwa akipeleka wapi hayo matrilion

Kipindi cha Ma CAG wenye akili kubwa, kila mahali walipokuwa wakikagua pindi wakikuta ufujaji walitwambia hadi pesa zilikokwenda"

Mfano, yale mapesa ya kina lugamalila jinsi yalivyogawanwa hadi na Maasikofu,

Yale mapesa ya Richmond, jinsi yalivyokuwa yakiingia mifukoni mwa wana CCM

Sasa huyu JPM alizipeleka wapi?
Zile hazikua chunguzi za CAG,zilikuwa time maalum linalodili na tatizo husika
 
Asante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.

CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.

Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?

Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!

View attachment 2580473
Kutaja tu bila kuchukuliwa hatua [emoji1241]
 
Asante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.

CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.

Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?

Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!

View attachment 2580473
Pigo kubwa kwa walinda legacy!!
 
Asante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.

CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.

Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?

Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!

View attachment 2580473
Na walioongeza bei ya ndege ni kundi la jiwe pia?
 
Hata kama tutaliona mbona wizi unaendelea kwa huyu mzuri wenu. Tena wizi wa kutisha?
Hilo swali gumu sana kujibu, wataishia vitisho na matusi.
Wakitajiwa kuna ufisadi mkubwa unaendelea wao wanasema Jiwe alikwa jambazi. Jibu hizo hoja za CAG zilizopo.
By the way, CAG amezungumza nini kuhusu USD 30 million February Marope alizotumia TANESCO kuweka mfumo eti wa kuuza umeme. Au na hii nayo haimo kwenye ripoti? Anachagua vitu vya kiweka
 
Kinachokuwa kinaniuma, eti mpaka sasa Biswalo hajakamatwa huku stori zikiendelea!

Halafu huyu JPM naye eti alikuwa mwizi wakati wakaguzi wetu wote hawasemi alikuwa akipeleka wapi hayo matrilion

Kipindi cha Ma CAG wenye akili kubwa, kila mahali walipokuwa wakikagua pindi wakikuta ufujaji walitwambia hadi pesa zilikokwenda"

Mfano, yale mapesa ya kina lugamalila jinsi yalivyogawanwa hadi na Maasikofu,

Yale mapesa ya Richmond, jinsi yalivyokuwa yakiingia mifukoni mwa wana CCM

Sasa huyu JPM alizipeleka wapi?
Ilifunguliwa akaunti binafsi China.
 
Back
Top Bottom