Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Labda kwenu nyie sukuma gang.Kwa hiyo kutojifanya mzalendo ndio aruhusu upigaji? Alafu JPM alikuwa hajjfanyi ni mzalendo kweli kweli. Miaka 5 tu amaefanya makubwa kama Thomas Sankara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kwenu nyie sukuma gang.Kwa hiyo kutojifanya mzalendo ndio aruhusu upigaji? Alafu JPM alikuwa hajjfanyi ni mzalendo kweli kweli. Miaka 5 tu amaefanya makubwa kama Thomas Sankara
Hii ni kali i see. Ukisema kweli unaitwa Sukuma gangLabda kwenu nyie sukuma gang.
Jiwe atazidi kuandamwa na lawama kutoka kwa watanzaniaSamia alisema kweli, wasiwasi wetu ni kuwa, yeye anaambiwa, na yeye anakuja kutuambia na kulalamika kwetu.
- Mbona hazijatokea kwenye ripoti ya CAG?
- Hakupaswa kulifuatilia mpaka mwisho?
- Nani ana mamlaka ya kumuwajibisha aliyezipeleka?
- Mwenye hiyo akaunti hajulikani?
Ni kweli, wengi wa waliokuwa ndani kwa kesi za uhujumu kipindi cha jiwe, huku mtaani ndugu zao wakisema, DPP amedhulumu mali zao nyingi na hapo, ili upate hiyo nafasi ya kudhulumiwa(kumuona), lazima utoe sh 10m.
Ni nani alimteua kuwa jaji mtu wa aina hii? Kuwa DPP ilikuwa ni kosa la kwanza, kuwa jaji je?
Sio watanzania, wewe!Jiwe atazidi kuandamwa na lawama kutoka kwa watanzania
Mnataka stone tangawizi afufuke aje kusimamia miradi. Samia ameshindwa kabisa. Alidhani akicheka na nyani watamheshimu....Projects zote zilizotajwa na CAG ni zile zilizoanzishwa na Jiwe na kuwaweka wat
Magufuli alikuwa mzalendo tatizo lilikuwa viongozi kama mwigulu...same to Samia ni mzalendo tatzo mwiguluLakini huyu hajifanyi mzalendo kama dhalimu alivyokuwa anajifanya.
Wizi umefika walau trilioni!?IWa kama tutaliona mbona wizi unaendelea kwa huyu mzuri wenu. Tena wizi wa kutisha?
Mwezi wa tani mwishoni utakuwa umefika mkuuWizi umefika walau trilioni!?
Kimei na Saashisha umeamua kuwabadilisha kabilaWachagga hawapo tena serikalini wanafanya biashara zao sasa kama wahindi umewahi kuwaona serikalini?
Umeongea sahii sana mkuu, ila najifunza kitu aisee mwendazake na team yake walikuwa wezi,Inahitajika akili kufungua haya mabano[emoji848][emoji848]
Kumlalamikia mtu aliyepewa cheo na yule unayetaka aagize uchunguzi dhidi yake, naona unatakiwa ujiulize unafeli wapi.
Hamna mzalendo wa vile boss.Magufuli alikuwa mzalendo tatizo lilikuwa viongozi kama mwigulu...same to Samia ni mzalendo tatzo mwigulu
Wacha bwana!Umeongea sahii sana mkuu, ila najifunza kitu aisee mwendazake na team yake walikuwa wezi,
Kuna sehem flan nilichungulia ,ikaonesha kwamba mwendazake utajiri aliouacha akiwa rais , utaweza lisha vitukuu na vitukuu, wenda jamaa aliacha mpaka makontena ya fedha na madini ,yule mwamba katupiga sana
Ati….Asante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.
CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.
Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?
Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!
View attachment 2580473
Na mama akapigwa cha juu kulipia ndege, akapigwa magari hewa sasa anapigwa bandariniNa 1.5 trillion ikasepa
ngoshanianIvi huyu buswalu sijui nani, ni kabila Gani?