CAG amaliza kazi kwa aliyekuwa DPP Biswalo Mganga, ataka achunguzwe

CAG amaliza kazi kwa aliyekuwa DPP Biswalo Mganga, ataka achunguzwe

Tatizo hatafanywa kitu ndo maana hadi sasa yuko kazini, alitakiwa ajiuzuru kupisha uchunguzi huru
 
Asante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.

CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.

Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?

Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!

View attachment 2580473
Hii ripoti ya CAG iliyosomwa hivi karibuni si ya mwaka 2021/2022. Sasa maswala ya kina Biswalo na JPM yanaingiaje huku tena.
 
Sukuma gang na ukiona mradi una ufisadi basi jua uko chini ya sukuma gang
Haya majitu yanakera mno! Yaan nailaan kamati kuu ya ccm ya 2015 kutuletea hii jamii ya kunya kunya miliman na juu ya mawe iongoze nchi yetu! Hayo ndo mavuno tunayovuna tusiokuwa na hatia
 
Marehemu alikuwa mwizi wa kutisha Ila wajinga wengi hawawezi kuliona hili
Kama tunataka kumchunguza marehemu, basi uchaguzi mkuu uitishwe , apatikane Rais mpya, maana rais wa sasa na waziri mkuu wake walikuwa kwenye ile serikali ya Marehemu hivyo hawawezi kubaki salama.
 
Shida ni Kwamba RIPOTI ya CAG Haina nguvu kumkamata mtu yoyote aliyemtolea recommendations za kuchunguzwa au kukamatwa. Mchawi BUNGE tuuu kama wataamua kuazimia. Asa najiuliza kama mpunga aliopiga DPP is real akiamua kuwahonga S na NS na kamati zake za uongozi hakuna kitakachofanyika. Mwenye Hela sio mwenzako asee
 
Hilo swali gumu sana kujibu, wataishia vitisho na matusi.
Wakitajiwa kuna ufisadi mkubwa unaendelea wao wanasema Jiwe alikwa jambazi. Jibu hizo hoja za CAG zilizopo.
By the way, CAG amezungumza nini kuhusu USD 30 million February Marope alizotumia TANESCO kuweka mfumo eti wa kuuza umeme. Au na hii nayo haimo kwenye ripoti? Anachagua vitu vya kiweka

Marope amekuwa mpole sana siku hizi. Zile harakati zake ni kama zimedhibitiwa ama ameona hazimsaidii.
 
Asante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.

CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.

Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?

Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!

View attachment 2580473
NAUNGA MKONO HOJA KAMA KWELI TUNAPINGA WIZI NA UFISADI BISWALO NA WATENDAJI WOTE WA OFISI YA DPP NA BAADHI YA MAHAKIMU WACHUNGUZWE
 
NAUNGA MKONO HOJA KAMA KWELI TUNAPINGA WIZI NA UFISADI BISWALO NA WATENDAJI WOTE WA OFISI YA DPP NA BAADHI YA MAHAKIMU WACHUNGUZWE
Hiki ni kilio cha watanzania wote
 
Kwa hiyo kutojifanya mzalendo ndio aruhusu upigaji? Alafu JPM alikuwa hajjfanyi ni mzalendo kweli kweli. Miaka 5 tu amaefanya makubwa kama Thomas Sankara
Sankara hakuiba
 
Asante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.

CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.

Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?

Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!

View attachment 2580473
Biswalo alikuwa ndiye msiri na mhifadhi wa fedha za dhuluma kutoka please bargain kwa niaba ya Magufuli. Na Wankyo Simon alikuwa msaidizi wake. Hawa majamaa yana fedha nyingi sana
 
Back
Top Bottom