CAG Assad alisema ni mtu mjinga pekee ndo anaweza kufanya manunuzi cash: Anajifunza nini Entebbe Airport?

CAG Assad alisema ni mtu mjinga pekee ndo anaweza kufanya manunuzi cash: Anajifunza nini Entebbe Airport?

Ninachojiuliza mimi kwan kununua Cash kuna shida gani? Kama mkopo si ingekuwa hela mengi? Na mkopo unaweza kopa kiwandani kweli? Kama ndiyo kwa mda gan? Na si itakuwa mara 2 ya cash?
Mara nyingi kwenye manunuzi ya ndege kununua cash huenda kunakuwa na gharama zaidi kuliko kwa sababu;

-Tafsiri ya kununua ndege kwa Cash sio kulipa pesa ili upewe ndege yako hapo hapo (ndio maana Tz inaweza kulipia ndege leo 2021 lakini ikakabidhiwa ndege yake 2023), tafsiri sahihi ya kulipa Cash ni kutanguliza pesa ili upewe kipaumbele cha kutengenezewa ndege yako (To get first priority)pasipo kuathiri booking za wateja wengine waliokutangulia. Na hapo utaweza kulipishwa zaidi!

-Pesa unayoitoa kama Cash kununua ndege ni mtaji usiozalisha faida papo kwa papo, lakini ungeweza kupewa ndege kwa mkopo na kuizungusha kutengeneza faida ambayo utaitumia kulipia mkopo.
 
Ninachojiuliza mimi kwan kununua Cash kuna shida gani? Kama mkopo si ingekuwa hela mengi? Na mkopo unaweza kopa kiwandani kweli? Kama ndiyo kwa mda gan? Na si itakuwa mara 2 ya cash?
Hamjawahi fanya biashara nyie mapimbi
 
na wewe ndo wale wale, mkopo wa mzungu huezi lipa pole pole kwa sababu wenyewe wanafidia mpaka inflation, unavolipa na ndo deni linaongezeka! 10,000 ya leo sio sawa na ya miaka mitano ijayo kwa sababu itakua imeshapungua thamani: ili kufidia hilo pengo linakuja neno riba, umekopa 100K lakini lazima ulipa 800K, yupi afadhali aliejibana akanunua kwa 100K cash ama alienunua kwa ushauri wa asaad saaahv anatakiwa kulipa 800K?
Unaongea kitu usichojua kwasababu wewe unashindana.

Mikopo ya Mzungu ingekuwa km ya mchina Ina maanisha Tanzania ingekuwa Ni jimbo la nchi fulani ya ulaya. Ni kipi tumejenga bila hela ya mzungu. Sawa madeni yana riba. Lkn mchina ukimkopa mnakubaliana labda baada ya miaka 5 utaanza kilipa deni. Ukishindwa anachukua ule mradi aliokopea fedha.
Wazungu hawafanyi huu ushenzi was kinyanganya miradi.

Mchina anataka kuchukua
Entebe Airport
Bandari ya Mombasa
Shirika la umeme Zambia nk

Kipi Bora mkopo was mchina au mzungu . Km mzungu halipwi polepole deni la Tz ni trilioni zaidi ya 50 karibia yote ni hela ya mzungu.Hili deni Lina umri zaidi ya baba yako.Na tumeshindwa kulipa. Mchina hana baadae wala kulimbikiza.

Baada ya miaka 10 au 20 ijayo jioni mchina anaweza kuwa anaimiliki Africa yote.

Sisi Tz , Magufuli amekopa matrilioni toka China tutarejeshaje? Km siyo utasikia mchina anataka kuchukua SGR.

Haya Rafiki wa China. Wachina ni marafiki zetu.
 
kumwelewa kwa lipi na hana background ya biashara! ufipa najua mnamuelewa kwa sababu elimu yenu wote ya biashara imeishia kupangisha kwenye kile kibanda pale ufipa
Wewe ndiyo una background ya biashara.

Wewe na elimu yako ya kukariri ndiyo unavimba na Asad.

Ndiyo maana mm Mjinga akishapevuka namwita tu jina analostahili,Mpumbavu!

Hivi haya unayoandika unahisi kwamba ni mbobezi Sana wa Mikopo, Inflation, fedha na uchumi na wengine hawajui kitu.

Na zaidi ukitaka kumwelewa Assad alikuwa anamaanisha nini nenda kasome SHERIA YA MANUNUZI YA UMMA.
 
Hata mwehu hujiona mwenye akili nyingi,kumbe huna lolote we punguani waheed
Wewe ndiyo una background ya biashara.

Wewe na elimu yako ya kukariri ndiyo unavimba na Asad.

Ndiyo maana mm Mjinga akishapevuka namwita tu jina analostahili,Mpumbavu!

Hivi haya unayoandika unahisi kwamba ni mbobezi Sana wa Mikopo, Inflation, fedha na uchumi na wengine hawajui kitu.

Na zaidi ukitaka kumwelewa Assad alikuwa anamaanisha nini nenda kasome SHERIA YA MANUNUZI YA UMMA.
 
Profesa Assad ni habari nyingine, ninyi na vielimu vyenu vya kuugaunga mtapata tabu sana kumuelewa.
Haujatetea hoja yako dhidi ya hoja ya mleta uzi bali umeonyesha ukilaza wako zaidi...
 
Haujatetea hoja yako dhidi ya hoja ya mleta uzi bali umeonyesha ukilaza wako zaidi...
Kwani mleta uzi anaelewa hata anachokisema? Hoja alizopewa yeye kaona za kwake ni bora zaidi. Mengi yamebadilika sana kwenye majukwaa ya JF.

Anakuja kihiyo mmoja anakwambia eti ukikopa 100k unalipa 800k hiyo riba ni hasara. Hafahamu kuwa at a point when CAP RATE is higher than INTEREST RATE mfanyabiashara anafanya biashara at the expense of a lending institution.

This goes out to stakehigh ........ my brother or sister perhaps usijionyeshe ujinga kiuvyepesi hivi. Unaongelea Time Value for money as if ni concept uliyoitunga Nzega.
 
Mpuuzi tu, kopa lipa polepole huku fedha taslimu unafanyia shughuli nyingine.

Hata Emirates,Qatar, wanakopa.

Magufuli alikuwa Kiazi.
Afadhali ya cash kuliko hizo term za mkopo,taifa linadhalilika
 
Ninachojiuliza mimi kwan kununua Cash kuna shida gani? Kama mkopo si ingekuwa hela mengi? Na mkopo unaweza kopa kiwandani kweli? Kama ndiyo kwa mda gan? Na si itakuwa mara 2 ya cash?
Au labda biashara ikibuma haulipi deni[emoji16]
 
Back
Top Bottom