Hechinodemata
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,488
- 3,338
Profesa Assad ni habari nyingine, ninyi na vielimu vyenu vya kuugaunga mtapata tabu sana kumuelewa.
Profesa Assad Mmoja ni sawa na Wanaccm 20,000 wenye PhDs.Uwezo wako kielimu na maono ni mdogo sana kuelewa na kuchambua alichokisema Prof Assad
Profesa Assad Mmoja ni sawa na Wanaccm 20,000 wenye PhDs.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mara nyingi kwenye manunuzi ya ndege kununua cash huenda kunakuwa na gharama zaidi kuliko kwa sababu;
-Tafsiri ya kununua ndege kwa Cash sio kulipa pesa ili upewe ndege yako hapo hapo (ndio maana Tz inaweza kulipia ndege leo 2021 lakini ikakabidhiwa ndege yake 2023), tafsiri sahihi ya kulipa Cash ni kutanguliza pesa ili upewe kipaumbele cha kutengenezewa ndege yako (To get first priority)pasipo kuathiri booking za wateja wengine waliokutangulia. Na hapo utaweza kulipishwa zaidi!
-Pesa unayoitoa kama Cash kununua ndege ni mtaji usiozalisha faida papo kwa papo, lakini ungeweza kupewa ndege kwa mkopo na kuizungusha kutengeneza faida ambayo utaitumia kulipia mkopo.
Mimi sio mchumi ila mkopo una muda wa kulipa wala hauangali hizo fluctuation na hiccups, labda kama kuna retention fee. Tatizo hata sio ilo mi nakuambia kopa kulingana masharti fanya kitu kitakacho kuingizia pesa then rudisha hela ya watu alafu sepa.
You cant be serious, are you?ukikopa bank za kimataifa haukopi kibiashara ila unakopa currency yenyewe kama yenyewe! fikiria nyerere alikopa kiasi gan na ukija kulipa mwaka 2021 utalipa kiasi gan, deni la tanzania saaahv ni karibia $24B, Unadhan asilimia kubwa ya hili deni zilikopwa mwaka gan?
Unaongea kitu usichojua kwasababu wewe unashindana.
Mikopo ya Mzungu ingekuwa km ya mchina Ina maanisha Tanzania ingekuwa Ni jimbo la nchi fulani ya ulaya. Ni kipi tumejenga bila hela ya mzungu. Sawa madeni yana riba. Lkn mchina ukimkopa mnakubaliana labda baada ya miaka 5 utaanza kilipa deni. Ukishindwa anachukua ule mradi aliokopea fedha.
Wazungu hawafanyi huu ushenzi was kinyanganya miradi.
Mchina anataka kuchukua
Entebe Airport
Bandari ya Mombasa
Shirika la umeme Zambia nk
Kipi Bora mkopo was mchina au mzungu . Km mzungu halipwi polepole deni la Tz ni trilioni zaidi ya 50 karibia yote ni hela ya mzungu.Hili deni Lina umri zaidi ya baba yako.Na tumeshindwa kulipa. Mchina hana baadae wala kulimbikiza.
Baada ya miaka 10 au 20 ijayo jioni mchina anaweza kuwa anaimiliki Africa yote.
Sisi Tz , Magufuli amekopa matrilioni toka China tutarejeshaje? Km siyo utasikia mchina anataka kuchukua SGR.
Haya Rafiki wa China. Wachina ni marafiki zetu.
Mkuu...wewe ni KIHIYOhahaha mbna ilo halina mjadala, si ndo maaana mpaka leo hakuna nchi imewahi kulipa deni lake na haiwezekani kulipa deni lote hata kidogo na nyie ndo mkaingiziwa uko uko na asaad, nchi pekee yenye uwezo wa kukopa na kulipa ni marekani peke yake na sio kwamba wanalipa kihalalai bali wana uwezo wa kuchapisha pesa mpya na kuzitumia kulipia, mengine yote ni zile zile kelele za prof asaad, ulimwengu mzima hauna uwezo wa kulipa deni lake lote! Uamue kuelewa usielewe hilo tatizo lako sasa
Twende taratibu, unapokopa si wana kupa na masharti kwamba hela yetu iki depreciate au iki appreciate tuta fanya hivi na vile, kupanga ni kuchagua.hujaelewa nn apo
Twende taratibu, unapokopa si wana kupa na masharti kwamba hela yetu iki depreciate au iki appreciate tuta fanya hivi na vile, kupanga ni kuchagua.
Angekua akili kubwa angevaa barakoa kujukinga na korona😁Jiwe akili kubwa!