stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
- Thread starter
- #161
Mbona marekani na usd zake bado deni lake kubwa ni ana bonds china? Una kopwa kwa sababu una kopesheka na una collaterals sasa mengine mi si mchumi
your right , kuna kitu kinaitwa DEPT CEILING, kabla hujafika level hii maaana yake bado unavumilika but thats not the point, someone decided to buy in cash and mwingine alikopa katika biashara hio hio moja, Entebbe imetokea kua mfano mzuri