CAG: ATCL imetengeneza hasara ya Tsh. Bilioni 153.542 ndani ya miaka Mitano

Hapo tuweke serikali nyingine tu, huyu mama sidhani kama ataweza komesha majizi. Kama mfupa ulimshinda mwendazake, huyu mama ataweza kweli?. Nategemea wazee wa ruksa watakula mpaka na miguu kipindi cha Sasha. Ni suala la wakati tu.
 
Kwa muda huu tangu ifufuliwe je wamefikia Beakeven kweli ATCL au ni kuwaonea tu. Je CAG amesoma business Plan. Hasara imetokana na nini? Ndege ni kati ya miradi ya kifahari na urithi wetu.
 
Waligawa hasara jamaa alikua na fix balaa et anatetea wanyonge....bora JK alikua anagawa mishahara tuu na ufisadi wake hela zilikua mtaani
 
Hapo tuweke serikali nyingine tu, huyu mama sidhani kama ataweza komesha majizi. Kama mfupa ulimshinda mwendazake, huyu mama ataweza kweli?. Nategemea wazee wa ruksa watakula mpaka na miguu kipindi cha Sasha. Ni suala la wakati tu.
Bila katiba mpya tuzoee tu kuwa na wezi hakuna nmna
 
Huyu mjinga naye marehemu angekuwepo angetoa hii report?
marehem ndie aliemchagua. weakness yake kubwa marehem ni ubishi, na hakutaka taarifa mbaya. huyu angempelekea hiyo report kazi yake ingeishia hapo hapo.

get back to CAG aliepita. aliibua mambo kama haya. tena this time jeshi la polisi likapatwa na kashfa kubwa.
CAG prof assad kilimkuta nini?
 
Ndiyo maana nakwambia report hii asingeipeleka hata kidogo
 
Dreamliner moja iliyopaki ni sawa na matreka elf 10 mapya na vifaa vyake tena kwa cash, Kama ni kwa mkopo unapata trekta elf 50 za horse power 75.Trekta moja ulima heka 25 kwa siku kwa speed ya kivivu. Trekta moja utoa ajira kwa vijana 100.
So badala ya dreamliner moja iliyopaki kutoa ajira kwa watu 30 zingekuwa ni trekta zingetoa ajira milioni 5 za moja kwa moja achilia wategemezi wao.Ajira zote zilizonunulia ndege zingenunua trekta laki moja ambazo zingetoa ajira milioni 12 nchi nzima.Ndege ugusa wachache,kilimo ugusa wote.Kama Malaysia waliwekeza kwenye michikichi tu ndo wanailisha dunia mafuta ya kula na bado awajalijaza soko. Soko la mazao ya kilimo duniani ni kubwa hata KILA mtu alime tza hatutoweza kulijaza.Hela zilizotupwa kwenye ndege tilioni moja tungepata matreka laki 2 yangeajiri vijana milioni 12 zingemaliza tatizo la ajira nchini kwa kuwekeza kwenye kilimo mkakati na zingesharudi ndani ya miaka 3 tungepata pesa tosha za kigeni kukamilisha miradi yote bila kutegemea kukopa.Kupitia kilimo tu tungekuwa uchumi wa kati.Kama wakoloni wao waliweza maliza tatizo la ajira nchini why tunashindwa?Tangu Uhuru bado atujapata kiongozi sahihi mwenye uchungu anaeguswa na ugumu wa maisha ya watz,zaidi ya kuyafanya maisha yazidi kuwa magumu.Kwann watumishi wasipewe misamaha ya Kodi Ili wajinunulie magari binafsi kuliko kuwa na utitiri wa magari ya serikali ambayo hayazalishi,hayana faida ni hasara kwa mlipa Kodi V8 moja tu ni sawa na matrekta 10 mapya na jembe zake hapo ni sawa na ajira elf 1.
Tuendelee tu kuwalaumu mabeberu juu ya kushindwa kwetu aliyetupa Mali alitunyima akili.
 
Marehemu na ukweli ni mbingu na ardhi.Aliwadanganya futureless people ( wanyonge) kwamba anajenga miradi kwa pesa za ndani huku deni la taifa linakua kwa kukopa nje.Alikuwa ni propagandist Mkubwa sana kwa kuitumia vibaya tbc.
 
Marehemu na ukweli ni mbingu na ardhi.Aliwadanganya futureless people ( wanyonge) kwamba anajenga miradi kwa pesa za ndani huku deni la taifa linakua kwa kukopa nje.Alikuwa ni propagandist Mkubwa sana kwa kuitumia vibaya tbc.
 
Afu walikuwa hawatangazwi ndio mbya zaidi,hakuna wapinzani wa kusema tena kama zamani
Wapinzani Ndugai aliwafunga midomo wangesemea wapi ndg yangu wakilalamika anawatoa nje.
 

Walau ungejikita kujifunza kuandika kwanza, ndipo ufikirie kuhusu uwezekano wa kujadili nami mambo makubwa... hadi hapo, kwa sasa nachagua kukupuuza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…