Nzuguni one
JF-Expert Member
- Dec 23, 2019
- 1,157
- 481
Hii hatari jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo tuweke serikali nyingine tu, huyu mama sidhani kama ataweza komesha majizi. Kama mfupa ulimshinda mwendazake, huyu mama ataweza kweli?. Nategemea wazee wa ruksa watakula mpaka na miguu kipindi cha Sasha. Ni suala la wakati tu.View attachment 1746920
MATAGA bado hamjaamini kuwa bunge ni dhaifu? Bado ninaamini mwenda zake alikuwa rais wa wanyonge? Bado unaamini alipambana na ufisadi?
Mwenye takwimu za ufisadi enzi za JK na JPM tulinganishe.
Asante Mungu kwa kutupunguzia makali,sa hivi angeongeza miaka mitano ingekuaje?🤔🤔
Ukisikia debe linalia sana, ni tupu.Hii nchi tulichezewa saaana..! Kumbe ye ndio anatuchezea anatuangalia tu halafu anasema hiiiiiiiiiiiiii!!!
Wewe Elitwege usituzingueHii nchi tulichezewa saaana..! Kumbe ye ndio anatuchezea anatuangalia tu halafu anasema hiiiiiiiiiiiiii!!!
Kwa muda huu tangu ifufuliwe je wamefikia Beakeven kweli ATCL au ni kuwaonea tu. Je CAG amesoma business Plan. Hasara imetokana na nini? Ndege ni kati ya miradi ya kifahari na urithi wetu.Kampuni ya Ndege imekuwa ikitengeneza hasara kwa miaka 5 mfululizo na mwaka huu ilitengeneza hasara ya Sh. Bilioni 60.246. Kwa miaka mitano imetengeneza hasara ya Sh. Bilioni 153.542.
View attachment 1746953
====
Kampuni ya Ndege Tanzania
Nilifanya ukaguzi wa kiutendaji (Startegic and Operational Efficiency) kwenye Kampuni ya Ndege Tanzania na kubaini yafuatayo:
Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2020, Serikali ilikuwa imenunua ndege 8 kwa gharama ya Sh. Trilioni 1.028 katika juhudi ya kuifufua Kampuni ya Ndege Tanzania.
Ndege hizo zinamilikiwa na Wakala wa Ndege za Serikali na ATCL huzikodisha.
Pamoja na kununua ndege, kwa miaka mitano yaani kuanzia 2015/16 hadi 2019/20 Serikali imeisaidia Kampuni ya Ndege kiasi cha Sh. Bilioni 153.711 kwa ajili ya shughuli za uendeshaji na maendeleo.
Kampuni ya Ndege imekuwa ikitengeneza hasara kwa miaka 5 mfululizo na mwaka huu ilitengeneza hasara ya Sh. Bilioni 60.246. Kwa miaka mitano imetengeneza hasara ya Sh. Bilioni 153.542.
Hata hivyo nilibaini changamoto zifuatazo ambazo zinatakiwa kushughulikiwa ili kuimarisha utendaji wa Kampuni ya Ndege:
Bodi ya Wakurugenzi haina mjumbe hata mmoja ambaye ana uzoefu kwenye masuala ya usafiri wa anga.
Wakati wa changamoto ya Corona (Covid 19) ndege nyingi zilikuwa zimesimama lakini ATCL ilikuwa inatozwa gharama za ukodishaji bila kujali kwamba ndege zilikuwa hazifanyi kazi kutokana na changamoto ya Covid 19. Hii inatokana na ukweli kwamba Mkataba wa ukodishaji kati ya TGFA na ATCL hauna kipengele cha Force majure. Katika kipindi kati ya Machi 2020 na Juni 2020 ATCL ilitozwa na TGFA kiasi cha Sh. Bilioni 15.464 kwa ajili ya ukodishaji wa ndege.
ATCL imerithi madeni makubwa ambayo hutozwa riba, kwa Mwaka wa Fedha 2019/20 ATCL imetozwa riba ya Sh. Bilioni 12.497.
Kutokana na madeni hayo, inakuwa vigumu kwa ndege za ATCL kusafiri kwenda nje ya nchi kwani zinaweza kukamatwa.
Kuna changamoto ya viwanja vya ndege hapa nchini kiasi kwamba ndege za ATCL haziwezi kuruka usiku na pia kuna viwanja ambavyo ndege haziwezi kutua zikiwa zimechukua abiria kwa uwezo wake.
Soma pia:
1) ATCL yatengeneza faida ya $14M, yafuatayo yanasisimua
Mkuu anajipoza na ndogo maana sio kwa nondo hizo hayo maji kweli?au ka vantNaunga mkono hoja ya kwenda kulipiga minyororo lile kaburiView attachment 1746930
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa namna ya hii ripoti... Lazima kupiga ka veve kidogo...Mkuu anajipoza na ndogo maana sio kwa nondo hizo hayo maji kweli?au ka vant
Linatoka mkono wa kushoto linaenda mkono wa kuliawondering ilo gawio walikuwa wanatoa wapi
Waligawa hasara jamaa alikua na fix balaa et anatetea wanyonge....bora JK alikua anagawa mishahara tuu na ufisadi wake hela zilikua mtaaniSasa kama mambo ndivyo yako hivi since the beginning of this project, hilo gawio la faida ya Tshs. 25bn ambazo ATCL walitoa kwa serikali mwaka 2019 zilitoka wapi..?
Hivi ndiyo tuseme Hayati John P. Magufuli akishirikiana na hawa ATCL walikuwa wanacheza mchezo hatari na wa kijinga kiasi hiki dhidi ya Watanzania..?
I am completely speechless and puzzled na Urais wa John Pombe Magufuli maana mtu akisoma haya hataelewa maana ya haya mambo ilikuwa ni nini hasa..
Ni kana kwamba nchi ilikuwa inaongozwa na mwizi tu 100%...
Bila katiba mpya tuzoee tu kuwa na wezi hakuna nmnaHapo tuweke serikali nyingine tu, huyu mama sidhani kama ataweza komesha majizi. Kama mfupa ulimshinda mwendazake, huyu mama ataweza kweli?. Nategemea wazee wa ruksa watakula mpaka na miguu kipindi cha Sasha. Ni suala la wakati tu.
marehem ndie aliemchagua. weakness yake kubwa marehem ni ubishi, na hakutaka taarifa mbaya. huyu angempelekea hiyo report kazi yake ingeishia hapo hapo.Huyu mjinga naye marehemu angekuwepo angetoa hii report?
Ndiyo maana nakwambia report hii asingeipeleka hata kidogomarehem ndie aliemchagua. weakness yake kubwa marehem ni ubishi, na hakutaka taarifa mbaya. huyu angempelekea hiyo report kazi yake ingeishia hapo hapo.
get back to CAG aliepita. aliibua mambo kama haya. tena this time jeshi la polisi likapatwa na kashfa kubwa.
CAG prof assad kilimkuta nini?
Marehemu na ukweli ni mbingu na ardhi.Aliwadanganya futureless people ( wanyonge) kwamba anajenga miradi kwa pesa za ndani huku deni la taifa linakua kwa kukopa nje.Alikuwa ni propagandist Mkubwa sana kwa kuitumia vibaya tbc.marehem ndie aliemchagua. weakness yake kubwa marehem ni ubishi, na hakutaka taarifa mbaya. huyu angempelekea hiyo report kazi yake ingeishia hapo hapo.
get back to CAG aliepita. aliibua mambo kama haya. tena this time jeshi la polisi likapatwa na kashfa kubwa.
CAG prof assad kilimkuta nini?
Marehemu na ukweli ni mbingu na ardhi.Aliwadanganya futureless people ( wanyonge) kwamba anajenga miradi kwa pesa za ndani huku deni la taifa linakua kwa kukopa nje.Alikuwa ni propagandist Mkubwa sana kwa kuitumia vibaya tbc.marehem ndie aliemchagua. weakness yake kubwa marehem ni ubishi, na hakutaka taarifa mbaya. huyu angempelekea hiyo report kazi yake ingeishia hapo hapo.
get back to CAG aliepita. aliibua mambo kama haya. tena this time jeshi la polisi likapatwa na kashfa kubwa.
CAG prof assad kilimkuta nini?
Wapinzani Ndugai aliwafunga midomo wangesemea wapi ndg yangu wakilalamika anawatoa nje.Afu walikuwa hawatangazwi ndio mbya zaidi,hakuna wapinzani wa kusema tena kama zamani
Hujui chochote!! Nia ya ulichosema huwa ni kutotoa huduma kwa faida. Sio kujiendesha kwa hasara. Hata sijui kama una uwezo wa kutambua tofauti!
Ujinga wa namna hii ndio shida ya nchi. Hizi ndege zinafanya safari za ndani, vipi kama zingekuwa zinafanya safari za kimataifa - ungesema zinatoa huduma???
Mawazo yenu ya “ujamaa na kujitegemea ndio njia PEKEE ya kujiletea maendeleo” ndio yametifikisha hapa. Ingekuwa hivo miaka yote hii ya uhuru si tungekuwa tunazizidi nchi za kibapari?? Ujinga from right, left and center!!