CAG: Hela za Plea Bargaining(Kesi za uhujumu) za mabilioni ziliingia mifukoni mwa watu-hazikuingia Serikalini!

CAG: Hela za Plea Bargaining(Kesi za uhujumu) za mabilioni ziliingia mifukoni mwa watu-hazikuingia Serikalini!

Katika kile kinachoonekana kama kumbe kesi za Uhujumu Uchumi zilizofungliwa kwa wingi Awamu ya Tano, ule ulikuwa mradi wa kuwachuna wafanya biasharra na wahasimu wa Awamu hiyo.

Watuhumiwa wengi walilazimishwa kuingia kitu inaitwa plea bargainning kitu ambacho sasa ikawa kama hivi:

  • Kesi ya kubambikwa inatayarishwa
  • Polisi wanaamriwa kukuweka ndani
  • Wanasheria wa Ofisi ya DPP ambao hawana hata habari kesi inahusu nini, watajifaragua mwaka mzima au hata mpaka mitano
  • Ofisi ya DPP mwishowe inakukaribisha mtuhumiwa na mshitaki mkae chini, ili kiofisi ununue uhuru wako!!

Picha ndiyo hiyo, na CAG sasa inaelekea amethibitisha ile mihela mabilioni ya Harbinder Singh(wa IPTL) na hata yule Mohammed (wa milioni saba kwa dakika), hela hizo si ajabu hazimo kwenye vitabu vya serikali!


View attachment 2202262

Hongera Awamu ya Tano kwa ufisadi wa kiwango cha PhD.
Lakini hii ni tetesi tu ya mtu wetu CAG!

MAKAMU MWENYEKITI CCM ABDURAHMAN KINANA NAYE AKOLEZA

Ataka shutuma za CAG zichukuliwe hatua.
View attachment 2202712
Mama na Kikwete hawatofanya chochote hapa.....watakuwa wanacheka tu huku wakinywa kahawa.
 
Kwa jinsi serikali ilivyoonyesha ina mtamani Mbowe mpaka kumpa kesi ya kubumba, Unafikiri hizi tuhuma zingekuwa za kweli saizi angekuwa uraiani?

Nyie masalia ya mwendazake naona aliendazake na akili zenu!.
Akili za nyumbu huwa zinasahau kirahisi sana. Mbowe hakukamatwa na kufunguliwa kesi kipindi cha JPM.
Mnapenda kudandia ugomvi wa wana CCM kwa kuchukua upande bila kushughulika na ustawi wa chama chenu na pia mnashughulishwa na chuki mliyonayo dhidi ya marehemu JPM
Sishangai ndo mana mnashindwa kirahisi kwenye chaguzi
 
Hapana hakuna Sheria iliyokua imetungwa kuwa hizo pesa ziende wapi. Nadhani huo mwanya alioacha JPM ndio ulihalalisha watu kujimilikisha hizo pesa.

Afu utasikia eti ufisadi uliisha [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii issue ni rahisi sana. Lolote lililofanyika wakati wa uongozi wa Magufuli, aliyeondoka ni yeye tu, wengine wapo, kwa nini hawaulizwi? Aliyekuwa waziri wa fedha yupo, aliyekuwa makamo wa rais yupo, aliyekuwa DPP yupo, Aliyekuwa waziri mkuu yupo, mawaziri wote wa serikali ile wapo. Si muwaulize tu. Acheni blah blah.
Ripoti ya CAG ni audit queries ambayo ikishafika bungeni inatakiwa kujadiliwa na Serikali hii iliyopo ijibu hizo queries. Au mnataka Serikali ile ijibu? Hilo pia linawezwkana maana wote wapo isipokuwa JPM tu. Rudia kusoma.kama hujaelewa siyo unaleta povu
 
Kwanini mnatetea mafisadi? Yaani hamtaki kuamini kilikua na majizi enzi za JPM? Mbona Sabaya kakutwa na hatia kupora mamilion au hakupo enzi za JPM? Vipi Nchambi si alihukumiwa kulipa Mabilion baada ya kukiri kuwa ni jangili au hakuwa enzi za JPM?

He was never a saint, but rather an overrated scumbag.
Waliohusika kwenye Serikali ya JPM wote wapo, so haihitaji elimu kubwa kubaini kwamba ndo hawa hawa wa serikali hii iliyopo ndo wanatakiwa waulizwe.
 
Hii issue ni rahisi sana. Lolote lililofanyika wakati wa uongozi wa Magufuli, aliyeondoka ni yeye tu, wengine wapo, kwa nini hawaulizwi? Aliyekuwa waziri wa fedha yupo, aliyekuwa makamo wa rais yupo, aliyekuwa DPP yupo, Aliyekuwa waziri mkuu yupo, mawaziri wote wa serikali ile wapo. Si muwaulize tu. Acheni blah blah.
Ripoti ya CAG ni audit queries ambayo ikishafika bungeni inatakiwa kujadiliwa na Serikali hii iliyopo ijibu hizo queries. Au mnataka Serikali ile ijibu? Hilo pia linawezwkana maana wote wapo isipokuwa JPM tu. Rudia kusoma.kama hujaelewa siyo unaleta povu
Audit querry? Wakati walikua na zaidi ya mwezi mzima kupeleka majibu kwa CAG!!

Alafu kama haujui, amendment ya Sheria ya ukaguzi inasema majibu ya serikali yanatakiwa kutolewa same time CAG report inatoka yaani Maswali na majibu yanakua sambamba Ili kurahisisha analysis na decision making.

Kingine..... Kinana ametoa order waliohusika na ufisadi washughulikiwe. Kwa hiyo kama tu Sabaya alivyoshughulikiwa kwa ufisadi mkubwa ambao alidai alitumwa na JPM & Mpango, ndio moto huo huo utatumika kwa mafisadi wote ambao Bado wapo kama kina Dotto James, Biswalo n.k

So mtulie tu, wakipewa kesi za uhujumu uchumi msije kulialia kuwa wanaonewa kisa ni awamu ya 5
 
Akili za nyumbu huwa zinasahau kirahisi sana. Mbowe hakukamatwa na kufunguliwa kesi kipindi cha JPM.
Mnapenda kudandia ugomvi wa wana CCM kwa kuchukua upande bila kushughulika na ustawi wa chama chenu na pia mnashughulishwa na chuki mliyonayo dhidi ya marehemu JPM
Sishangai ndo mana mnashindwa kirahisi kwenye chaguzi
Kipindi Cha JPM Mbowe alikaa ndani miezi zaidi ya 6 na Matiko tena bila kesi ya kueleweka.

Baadae akapewa kesi ingine ya ufisadi na TAKUKURU ambayo walikosa ushahidi wakapotezea.

Baadae akahukumiwa kesi ya Akwilina ambayo kwenye rufaa imegundulika walichukuliwa kimakosa na pesa Yao ikarudishwa!!

Hayo yote alifanyiwa na JPM!!!

Kingine chuki kwa JPM ya nini? Sisi tulishamalizana naye siku amezikwa ndio maana hoja yetu ni katiba mpya tu kuelekea 2025.

Yeye alipambana na CHADEMA akidhani itakufa, ghafla akafa yeye na CHADEMA kimezaliwa upyaa. So liwe fundisho kwamba fanya kazi Yako uliyopewa kuingilia majukumu yasiyokuhusu unajiongezea maadui wasio na lazma
 
Kuna mtu toka idara za juu za vyombo vya usalama, marehemu akiwa hai, alinidokezea kwa kusema, "kinachoendelea sasa ni uharamia wa hali ya juu. Unajua kuwa hizo pesa zinazochukuliwa kwa watu wanaodaiwa ni wahujumu uchumi, haziingizwi kwenye account yoyote ya Serikali wala mahakama, na hawataki ulipe kwa cheque wala bank transfer, kwa sababu hawataki ushahidi. Mganga ghafla amekuwa bik 23rdionea kwa kufanya kazi ya kumkusanyia pesa mzee maana amepewa mamlaka ya kukupunguzia malipo kama utakubali aandike pungufu. Unaambiwa unatakiwa kulipa bilioni 3. Unabembeleza sana, Mganga anasema utatoa bilioni moja na nusu. Weka sahihi hapa. Kwenye karatasi imeandikwa bilioni moja. Hapo Mganga amepata milioni mia tano, mzee bilioni moja, lakini Mganga tena atalipwa na Mzee wakati atakapompelekea. Kuna wizi, wizi mkubwa sana unafanyika"

Kuna watu humu wanamtetea marehemu kwa sababu walikuwa ni washirika wake katika wizi, wengine wanamtetea kwa sababu ya ujinga, wanaamini alikuwani kiongoI mzuri Siku uovu wake na washirika wake, utakapowekwa wazi, watu watajificha ili wasijulikane kama waliwahi kumsifia Magufuli. Ni mwizi aliyekuwa anasisitiza uaminifu. Ni haramia aliyekuwa anasisitiza upendo. Ni mharibifu wa Taifa aliyekuwa anasisitiza uzalendo. Ni mwongo aliyekuwa anasisitiza ukweli.

Siku zaja ukweli utawekwa wazi, na hasira za watu zitawaka dhidi ya washirika wa marehemu katika uovu.
Kuna watu humu wanamtetea marehemu kwa sababu walikuwa ni washirika wake katika wizi, wengine wanamtetea kwa sababu ya ujinga, wanaamini alikuwani kiongoI mzuri Siku uovu wake na washirika wake, utakapowekwa wazi, watu watajificha ili wasijulikane kama waliwahi kumsifia Magufuli. Ni mwizi aliyekuwa anasisitiza uaminifu. Ni haramia aliyekuwa anasisitiza upendo. Ni mharibifu wa Taifa aliyekuwa anasisitiza uzalendo. Ni mwongo aliyekuwa anasisitiza ukweli.
 
Kuna mtu toka idara za juu za vyombo vya usalama, marehemu akiwa hai, alinidokezea kwa kusema, "kinachoendelea sasa ni uharamia wa hali ya juu. Unajua kuwa hizo pesa zinazochukuliwa kwa watu wanaodaiwa ni wahujumu uchumi, haziingizwi kwenye account yoyote ya Serikali wala mahakama, na hawataki ulipe kwa cheque wala bank transfer, kwa sababu hawataki ushahidi. Mganga ghafla amekuwa bik 23rdionea kwa kufanya kazi ya kumkusanyia pesa mzee maana amepewa mamlaka ya kukupunguzia malipo kama utakubali aandike pungufu. Unaambiwa unatakiwa kulipa bilioni 3. Unabembeleza sana, Mganga anasema utatoa bilioni moja na nusu. Weka sahihi hapa. Kwenye karatasi imeandikwa bilioni moja. Hapo Mganga amepata milioni mia tano, mzee bilioni moja, lakini Mganga tena atalipwa na Mzee wakati atakapompelekea. Kuna wizi, wizi mkubwa sana unafanyika"

Kuna watu humu wanamtetea marehemu kwa sababu walikuwa ni washirika wake katika wizi, wengine wanamtetea kwa sababu ya ujinga, wanaamini alikuwani kiongoI mzuri Siku uovu wake na washirika wake, utakapowekwa wazi, watu watajificha ili wasijulikane kama waliwahi kumsifia Magufuli. Ni mwizi aliyekuwa anasisitiza uaminifu. Ni haramia aliyekuwa anasisitiza upendo. Ni mharibifu wa Taifa aliyekuwa anasisitiza uzalendo. Ni mwongo aliyekuwa anasisitiza ukweli.

Siku zaja ukweli utawekwa wazi, na hasira za watu zitawaka dhidi ya washirika wa marehemu katika uovu.
Siku uovu wake na washirika wake, utakapowekwa wazi, watu watajificha ili wasijulikane kama waliwahi kumsifia Magufuli. Ni mwizi aliyekuwa anasisitiza uaminifu. Ni haramia aliyekuwa anasisitiza upendo. Ni mharibifu wa Taifa aliyekuwa anasisitiza uzalendo. Ni mwongo aliyekuwa anasisitiza ukweli.
 
Itoshe tu kusema wanaoteswa na jina la Magufuli ni wapumbavu wakubwa
Siku uovu wake na washirika wake, utakapowekwa wazi, watu watajificha ili wasijulikane kama waliwahi kumsifia Magufuli. Ni mwizi aliyekuwa anasisitiza uaminifu. Ni haramia aliyekuwa anasisitiza upendo. Ni mharibifu wa Taifa aliyekuwa anasisitiza uzalendo. Ni mwongo aliyekuwa anasisitiza ukweli.
 
yule mbwa azidi kuchomeka katesa watu wengi
Screenshot_20220504-100107.jpg
 
CAG hawezi kuwa hayuko sahihi; yuko sahihi kabisa kwa 100% isipokuwa ninachoamini mimi ni kwamba pesa hizo zilikuwa zinapigwa JPM akiwa hajui. Haipo tena Serikali Tanzania itakayokuja kuibiwa fedha kama Serikali ya JPM. Niweke hata mimi kwenye nafasi ya Urais wa JMT, siwezi kuibiwa kama alivyokuwa anaibiwa Hayati JPM

Tuchukulie kwa mfano kwenye miradi ya maji Wizara ya Maji niliwahi kutonywa na mtu muhimu kuwa fedha za maji zilikuwa zinapigwa ile mbaya, kuna mtu aliwahi kunitonya. Zilianza kupigwa baada ya JPM kushauriwa kuteua kiongozi mmoja kwenye wizara hiyo ambaye pengine hakuwa makini au alikuwa mmoja wao wapigaji. By the way, ripoti ya CAG kwenye wizara hii iliwahi kusema nini?
Haipo tena Serikali Tanzania itakayokuja kuibiwa fedha kama Serikali ya JPM
 
Back
Top Bottom