CAG: Mkandarasi alichukua tenda kwa 104b akaiuza kwa 40b akapiga cha juu 64b

CAG: Mkandarasi alichukua tenda kwa 104b akaiuza kwa 40b akapiga cha juu 64b

Namnukuu CAG Kichere

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari iliingia mkataba na “Mkandarasi Mkuu” wa shilingi bilioni 172.36 tarehe 3 Agosti 2019 wa muda wa mwaka mmoja hadi kufikia mwezi Agosti 2020 kwa ajili ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia meli katika bandari ya Tanga, kufanya tathmini ya athari za kimazingira, na kununua vifaa kwa ajili ya shughuli za bandari. Kwa kulingana na mkataba, gharama ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia meli katika Bandari ya Tanga ilikuwa ni shilingi bilioni 104.92 (asilimia 60 ya bei yote ya mkataba).

Hata hivyo, mnamo tarehe 1 Agosti 2019, “Mkandarasi Mkuu” iliingia makubaliano na “Mkandarasi Mbia” kwa ajili ya kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia Meli kwa bei ya mkataba dola
za marekani milioni 18.15 sawa na shilingi bilioni 40.46 kwa kipindi cha miezi 11 bila kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari. Pia “Mkandarasi Mkuu” aliingia mkataba na “Mkandarasi Mbia” hata kabla ya kusaini mkataba wake na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).
Kuingia mkataba bila kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Bandari ilikuwa ni kinyume na Kifungu Kidogo cha 4.4 cha Masharti ya Jumla ya Mkataba kati ya Mamlaka ya Bandari na Mkandarasi Mkuu ambacho
kinaizuia Mkandarasi Mkuu kutoa sehemu ya kazi kwa Mkandarasi mwingine, na ikiwa kunauhitaji wa kutoa kazi kwa Kampuni nyingine kutekeleza kazi zilizoko kwenye mkataba, Mkandarasi Mkuu anapaswa kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Bandari siku 28 kabla ya kutoa kazi hiyo.
Aidha, nilibaini jumla ya malipo yaliyolipwa kwa kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia Meli yalikuwa dola za
marekeni milioni 18.22 sawa na shilingi bilioni 40.62, kiasi hiki, pia, kinajumuisha malipo ya dola za marekani 73,824 sawa na shilingi milioni 164.55 kwa huduma za wakala wa meli kwa “Mkandarasi mbia”. Ulinganifu wa kiasi kilichotozwa na Mkandarasi Mkuu shillingi bilioni 104.92 na kiasi alicholipwa na “Mkandarasi mbia”
shilingi bilioni 40.62 inaonesha Kiasi kilichotozwa na Mkandarasi Mkuu kimezidi kiasi halisi kilichotumika kufanya malipo ya kazi hiyo kwa shilingi bilioni 64.30.

My Take
Msimamo wangu ni uleule,kwa mwendo huu ni bora nchi ikauzwa kila mtu achukue chake ajue anafanya nini. Inatia uchungu sana
Waliokuwa viongozi awamu ya 5 wakamatwe.
 
Mbaya zaidi wewe masikini unajikunja na kibiashara chako ili siku moja uinuke lakini unakumbana na tozo na kodi kibao huku hao wanaokutoza huo mlolongo wa kodi ndiyo hawa. Wanaiba wanajenga ma-lodge na majumba ya kutisha wanakuja kutamba mtaani. Inaumiza na kutia uchungu sana...na hawafanywi cho chote japo wanajulikana...

Swali ni je; tutafanyeje kama taifa kupambana na hali hii wakati jamii yenyewe inaabudu hawa mafisadi wenye pesa? Kuna matumaini?

Wewe unafanya biz let’s say unaagiza vifaa vya ujenzi kutoka nje ka kontena tuwili unalipa kodi zako zote halafu mtu X anaagiza kontena 200 na analipa kodi kontena 100 tu au zaidi kidogo pale port! Unategemea utakuwa nae sawa kwa kukua? Hutakua sawa katika ushindani wke wa kibiashara n hutakua kamwe utapiga marktime tu.

Kama hujanielewa kwa notis nambie nikupe summary.
 
Namnukuu CAG Kichere

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari iliingia mkataba na “Mkandarasi Mkuu” wa shilingi bilioni 172.36 tarehe 3 Agosti 2019 wa muda wa mwaka mmoja hadi kufikia mwezi Agosti 2020 kwa ajili ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia meli katika bandari ya Tanga, kufanya tathmini ya athari za kimazingira, na kununua vifaa kwa ajili ya shughuli za bandari. Kwa kulingana na mkataba, gharama ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia meli katika Bandari ya Tanga ilikuwa ni shilingi bilioni 104.92 (asilimia 60 ya bei yote ya mkataba).

Hata hivyo, mnamo tarehe 1 Agosti 2019, “Mkandarasi Mkuu” iliingia makubaliano na “Mkandarasi Mbia” kwa ajili ya kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia Meli kwa bei ya mkataba dola
za marekani milioni 18.15 sawa na shilingi bilioni 40.46 kwa kipindi cha miezi 11 bila kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari. Pia “Mkandarasi Mkuu” aliingia mkataba na “Mkandarasi Mbia” hata kabla ya kusaini mkataba wake na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).
Kuingia mkataba bila kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Bandari ilikuwa ni kinyume na Kifungu Kidogo cha 4.4 cha Masharti ya Jumla ya Mkataba kati ya Mamlaka ya Bandari na Mkandarasi Mkuu ambacho
kinaizuia Mkandarasi Mkuu kutoa sehemu ya kazi kwa Mkandarasi mwingine, na ikiwa kunauhitaji wa kutoa kazi kwa Kampuni nyingine kutekeleza kazi zilizoko kwenye mkataba, Mkandarasi Mkuu anapaswa kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Bandari siku 28 kabla ya kutoa kazi hiyo.
Aidha, nilibaini jumla ya malipo yaliyolipwa kwa kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia Meli yalikuwa dola za
marekeni milioni 18.22 sawa na shilingi bilioni 40.62, kiasi hiki, pia, kinajumuisha malipo ya dola za marekani 73,824 sawa na shilingi milioni 164.55 kwa huduma za wakala wa meli kwa “Mkandarasi mbia”. Ulinganifu wa kiasi kilichotozwa na Mkandarasi Mkuu shillingi bilioni 104.92 na kiasi alicholipwa na “Mkandarasi mbia”
shilingi bilioni 40.62 inaonesha Kiasi kilichotozwa na Mkandarasi Mkuu kimezidi kiasi halisi kilichotumika kufanya malipo ya kazi hiyo kwa shilingi bilioni 64.30.

My Take
Msimamo wangu ni uleule,kwa mwendo huu ni bora nchi ikauzwa kila mtu achukue chake ajue anafanya nini. Inatia uchungu sana
Wazalendo wa Chato waliopiga cha juu wanasemaje? 😁😁😁😁..

Hakuna kipindi Nchi imeliwa kama awamu ya 5 maana hakuna wa kuwakosoa,kawaulize Akina Makonda nk
 
Waliokuwa viongozi awamu ya 5 wakamatwe.
Magufuri hamwezi kumchafua mkamweza, sanasana ni kujifariji tu, Magufuri amejenga stend za kisasa Tanzania,kajenga barabara mpaka za njia 8 ambazo ilikuwa ni ndoto kutokea Tanzania,kanunua ndege ambazo tawala 3 zilizopita zilikuwa zinatuambia serikali aina uwezo wa kununua ndege kwa cash, kajenga Dodoma kitu ambacho kilishindikana tawala 4 zilizopita, kajenga meli ambazo zilikuwa zimeisha shindikana, Kajengea walalaoi magorofa Sasahivi walalaoi pale magomeni hawaamini kama niwao kitu ambacho kilimshinda hata Nyerere,alafu huyo Magufuri kaiba mabilioni, Tanganyika tungelipata wezi aina ya Magufuri tungelifurahi Sana.
 
hapo kwenye malipo mbona kama mimi sijaelewa,tafadhali alieelewa anifafanulie mbona kama sioni kiasi chochote kilichozidi?
Yaani iko hivi ,umepewa tenda ya bil.100 ukamuuzia mwingine Kwa bil.40 so wewe umepiga 64 ya bure..

Kiufupi ni kwamba thamani halisi ya mradi haikuzidi 40 bln hicho cha juu,walitumia kama kampuni ya kupitishia pesa.
 
Magufuri hamwezi kumchafua mkamweza, sanasana ni kujifariji tu, Magufuri amejenga stend za kisasa Tanzania,kajenga barabara mpaka za njia 8 ambazo ilikuwa ni ndoto kutokea Tanzania,kanunua ndege ambazo tawala 3 zilizopita zilikuwa zinatuambia serikali aina uwezo wa kununua ndege kwa cash, kajenga Dodoma kitu ambacho kilishindikana tawala 4 zilizopita, kajenga meli ambazo zilikuwa zimeisha shindikana, Kajengea walalaoi magorofa Sasahivi walalaoi pale magomeni hawaamini kama niwao kitu ambacho kilimshinda hata Nyerere,alafu huyo Magufuri kaiba mabilioni, Tanganyika tungelipata wezi aina ya Magufuri tungelifurahi Sana.
Yule fala kiukweli alikuwa fisadi yaani haijalishi mtasemaje,jambo la msingi ni je ni kweli au uongo?
 
Yaani iko hivi ,umepewa tenda ya bil.100 ukamuuzia mwingine Kwa bil.40 so wewe umepiga 64 ya bure..

Kiufupi ni kwamba thamani halisi ya mradi haikuzidi 40 bln hicho cha juu,walitumia kama kampuni ya kupitishia pesa.
lakini tenda zilitangazwa na kushindanishwa,mpaka kampuni mama kushinda tenda? je kama tenda ilitangazwa na kushindanishwa hatimae alieshinda tenda akaamua kuuza kwa sababu zake binafsi serikali inakosa gani?
 
lakini tenda zilitangazwa na kushindanishwa,mpaka kampuni mama kushinda tenda?
Wewe ni mgeni wa upigaji wa kwenye tenda..

Kwa taarifa yako unajua maana ya ku inflate bei afu unampanga contractor wa mchongo?

Unajua kwamba huwa wanaweza weka mradi wa bil.let say 200 ila kiuhalisia ni bil.50 afu cha juu wanachukua wao kwa njia ya kununua tenda au mwenye tenda kuwatoa Chao mapema?
 
Yule fala kiukweli alikuwa fisadi yaani haijalishi mtasemaje,jambo la msingi ni je ni kweli au uongo?
Hapo kuna uongo hupi?kila kitu kinaoneka wazi barabarani tunaziona,mwenge Morocco kulikuwa akupitiki,pale Bamaga hadi shekilango ilikuwa hivo hivo, Sasahivi watu wanatereza, ndege zinaonekana,Kijazi interchange hipo,stendi zipo kipi ambacho akionekani?Samia mwaka mmoja hajatandaza hata kilometer Moja ya lami,by Alima Mdee.
 
Hapo kuna uongo hupi?kila kitu kinaoneka wazi barabarani tunaziona,mwenge Morocco kulikuwa akupitiki,pale Bamaga hadi shekilango ilikuwa hivo hivo, Sasahivi watu wanatereza, ndege zinaonekana,Kijazi interchange hipo,stendi zipo kipi ambacho akionekani?Samia mwaka mmoja hajatandaza hata kilometer Moja ya lami,by Alima Mdee.
Hayo yalimpa kibali cha kuiba?!
 
Hapo kuna uongo hupi?kila kitu kinaoneka wazi barabarani tunaziona,mwenge Morocco kulikuwa akupitiki,pale Bamaga hadi shekilango ilikuwa hivo hivo, Sasahivi watu wanatereza, ndege zinaonekana,Kijazi interchange hipo,stendi zipo kipi ambacho akionekani?Samia mwaka mmoja hajatandaza hata kilometer Moja ya lami,by Alima Mdee.
Nani fisadi hakujenga barabara? Acha utoto wewe..Kwa hiyo Samia akijenga barabara,reli,maji nk ndio tiketi ya kuwa fisadi?

Nyie washenzi mnakera sana
 
Namnukuu CAG Kichere

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari iliingia mkataba na “Mkandarasi Mkuu” wa shilingi bilioni 172.36 tarehe 3 Agosti 2019 wa muda wa mwaka mmoja hadi kufikia mwezi Agosti 2020 kwa ajili ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia meli katika bandari ya Tanga, kufanya tathmini ya athari za kimazingira, na kununua vifaa kwa ajili ya shughuli za bandari. Kwa kulingana na mkataba, gharama ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia meli katika Bandari ya Tanga ilikuwa ni shilingi bilioni 104.92 (asilimia 60 ya bei yote ya mkataba).

Hata hivyo, mnamo tarehe 1 Agosti 2019, “Mkandarasi Mkuu” iliingia makubaliano na “Mkandarasi Mbia” kwa ajili ya kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia Meli kwa bei ya mkataba dola
za marekani milioni 18.15 sawa na shilingi bilioni 40.46 kwa kipindi cha miezi 11 bila kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari. Pia “Mkandarasi Mkuu” aliingia mkataba na “Mkandarasi Mbia” hata kabla ya kusaini mkataba wake na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).
Kuingia mkataba bila kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Bandari ilikuwa ni kinyume na Kifungu Kidogo cha 4.4 cha Masharti ya Jumla ya Mkataba kati ya Mamlaka ya Bandari na Mkandarasi Mkuu ambacho
kinaizuia Mkandarasi Mkuu kutoa sehemu ya kazi kwa Mkandarasi mwingine, na ikiwa kunauhitaji wa kutoa kazi kwa Kampuni nyingine kutekeleza kazi zilizoko kwenye mkataba, Mkandarasi Mkuu anapaswa kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Bandari siku 28 kabla ya kutoa kazi hiyo.
Aidha, nilibaini jumla ya malipo yaliyolipwa kwa kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia Meli yalikuwa dola za
marekeni milioni 18.22 sawa na shilingi bilioni 40.62, kiasi hiki, pia, kinajumuisha malipo ya dola za marekani 73,824 sawa na shilingi milioni 164.55 kwa huduma za wakala wa meli kwa “Mkandarasi mbia”. Ulinganifu wa kiasi kilichotozwa na Mkandarasi Mkuu shillingi bilioni 104.92 na kiasi alicholipwa na “Mkandarasi mbia”
shilingi bilioni 40.62 inaonesha Kiasi kilichotozwa na Mkandarasi Mkuu kimezidi kiasi halisi kilichotumika kufanya malipo ya kazi hiyo kwa shilingi bilioni 64.30.

My Take
Msimamo wangu ni uleule,kwa mwendo huu ni bora nchi ikauzwa kila mtu achukue chake ajue anafanya nini. Inatia uchungu sana
Mi wakinipa laki TU inanitosha...
 
Namnukuu CAG Kichere

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari iliingia mkataba na “Mkandarasi Mkuu” wa shilingi bilioni 172.36 tarehe 3 Agosti 2019 wa muda wa mwaka mmoja hadi kufikia mwezi Agosti 2020 kwa ajili ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia meli katika bandari ya Tanga, kufanya tathmini ya athari za kimazingira, na kununua vifaa kwa ajili ya shughuli za bandari. Kwa kulingana na mkataba, gharama ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia meli katika Bandari ya Tanga ilikuwa ni shilingi bilioni 104.92 (asilimia 60 ya bei yote ya mkataba).

Hata hivyo, mnamo tarehe 1 Agosti 2019, “Mkandarasi Mkuu” iliingia makubaliano na “Mkandarasi Mbia” kwa ajili ya kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia Meli kwa bei ya mkataba dola
za marekani milioni 18.15 sawa na shilingi bilioni 40.46 kwa kipindi cha miezi 11 bila kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari. Pia “Mkandarasi Mkuu” aliingia mkataba na “Mkandarasi Mbia” hata kabla ya kusaini mkataba wake na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).
Kuingia mkataba bila kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Bandari ilikuwa ni kinyume na Kifungu Kidogo cha 4.4 cha Masharti ya Jumla ya Mkataba kati ya Mamlaka ya Bandari na Mkandarasi Mkuu ambacho
kinaizuia Mkandarasi Mkuu kutoa sehemu ya kazi kwa Mkandarasi mwingine, na ikiwa kunauhitaji wa kutoa kazi kwa Kampuni nyingine kutekeleza kazi zilizoko kwenye mkataba, Mkandarasi Mkuu anapaswa kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Bandari siku 28 kabla ya kutoa kazi hiyo.
Aidha, nilibaini jumla ya malipo yaliyolipwa kwa kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia Meli yalikuwa dola za
marekeni milioni 18.22 sawa na shilingi bilioni 40.62, kiasi hiki, pia, kinajumuisha malipo ya dola za marekani 73,824 sawa na shilingi milioni 164.55 kwa huduma za wakala wa meli kwa “Mkandarasi mbia”. Ulinganifu wa kiasi kilichotozwa na Mkandarasi Mkuu shillingi bilioni 104.92 na kiasi alicholipwa na “Mkandarasi mbia”
shilingi bilioni 40.62 inaonesha Kiasi kilichotozwa na Mkandarasi Mkuu kimezidi kiasi halisi kilichotumika kufanya malipo ya kazi hiyo kwa shilingi bilioni 64.30.

My Take
Msimamo wangu ni uleule,kwa mwendo huu ni bora nchi ikauzwa kila mtu achukue chake ajue anafanya nini. Inatia uchungu sana
Eeee bhana eeee !! watu wanajipigia hela jamani Dah !
 
lakini tenda zilitangazwa na kushindanishwa,mpaka kampuni mama kushinda tenda? je kama tenda ilitangazwa na kushindanishwa hatimae alieshinda tenda akaamua kuuza kwa sababu zake binafsi serikali inakosa gani?
Kosa lao walishindwa kujua gharama za mradi.
 
Sasa ambaye
Nani fisadi hakujenga barabara? Acha utoto wewe..Kwa hiyo Samia akijenga barabara,reli,maji nk ndio tiketi ya kuwa fisadi?

Nyie washenzi mnakera sana
Sasa ambaye sio fisadi siajenge tu, Sisi hatuitaji maneno tu tunaitaji kuona, maana Magufuri alikuwa fisadi tumeona yaliotanyika,huyo mama yenu ambaye sio fisadi nae afanye basi,kila rais atapimwa kwa kazi zake alizofanya, maana Sasahivi watanganyika tumeisha ona hatudanganyiki tena.
 
Back
Top Bottom