CAG: Mkandarasi alichukua tenda kwa 104b akaiuza kwa 40b akapiga cha juu 64b

CAG: Mkandarasi alichukua tenda kwa 104b akaiuza kwa 40b akapiga cha juu 64b

Namnukuu CAG Kichere

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari iliingia mkataba na “Mkandarasi Mkuu” wa shilingi bilioni 172.36 tarehe 3 Agosti 2019 wa muda wa mwaka mmoja hadi kufikia mwezi Agosti 2020 kwa ajili ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia meli katika bandari ya Tanga, kufanya tathmini ya athari za kimazingira, na kununua vifaa kwa ajili ya shughuli za bandari. Kwa kulingana na mkataba, gharama ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia meli katika Bandari ya Tanga ilikuwa ni shilingi bilioni 104.92 (asilimia 60 ya bei yote ya mkataba).

Hata hivyo, mnamo tarehe 1 Agosti 2019, “Mkandarasi Mkuu” iliingia makubaliano na “Mkandarasi Mbia” kwa ajili ya kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia Meli kwa bei ya mkataba dola
za marekani milioni 18.15 sawa na shilingi bilioni 40.46 kwa kipindi cha miezi 11 bila kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari. Pia “Mkandarasi Mkuu” aliingia mkataba na “Mkandarasi Mbia” hata kabla ya kusaini mkataba wake na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).
Kuingia mkataba bila kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Bandari ilikuwa ni kinyume na Kifungu Kidogo cha 4.4 cha Masharti ya Jumla ya Mkataba kati ya Mamlaka ya Bandari na Mkandarasi Mkuu ambacho
kinaizuia Mkandarasi Mkuu kutoa sehemu ya kazi kwa Mkandarasi mwingine, na ikiwa kunauhitaji wa kutoa kazi kwa Kampuni nyingine kutekeleza kazi zilizoko kwenye mkataba, Mkandarasi Mkuu anapaswa kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Bandari siku 28 kabla ya kutoa kazi hiyo.
Aidha, nilibaini jumla ya malipo yaliyolipwa kwa kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia Meli yalikuwa dola za
marekeni milioni 18.22 sawa na shilingi bilioni 40.62, kiasi hiki, pia, kinajumuisha malipo ya dola za marekani 73,824 sawa na shilingi milioni 164.55 kwa huduma za wakala wa meli kwa “Mkandarasi mbia”. Ulinganifu wa kiasi kilichotozwa na Mkandarasi Mkuu shillingi bilioni 104.92 na kiasi alicholipwa na “Mkandarasi mbia”
shilingi bilioni 40.62 inaonesha Kiasi kilichotozwa na Mkandarasi Mkuu kimezidi kiasi halisi kilichotumika kufanya malipo ya kazi hiyo kwa shilingi bilioni 64.30.

My Take
Msimamo wangu ni uleule,kwa mwendo huu ni bora nchi ikauzwa kila mtu achukue chake ajue anafanya nini. Inatia uchungu sana
Wanaingia madarakani kwa nguvu, kinyume na matakwa ya wananchi. Alaf wakishafika ofisini, walau hata wafanye Cha maana. Ni uhuni mtupu
 
Namnukuu CAG Kichere

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari iliingia mkataba na “Mkandarasi Mkuu” wa shilingi bilioni 172.36 tarehe 3 Agosti 2019 wa muda wa mwaka mmoja hadi kufikia mwezi Agosti 2020 kwa ajili ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia meli katika bandari ya Tanga, kufanya tathmini ya athari za kimazingira, na kununua vifaa kwa ajili ya shughuli za bandari. Kwa kulingana na mkataba, gharama ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia meli katika Bandari ya Tanga ilikuwa ni shilingi bilioni 104.92 (asilimia 60 ya bei yote ya mkataba).

Hata hivyo, mnamo tarehe 1 Agosti 2019, “Mkandarasi Mkuu” iliingia makubaliano na “Mkandarasi Mbia” kwa ajili ya kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia Meli kwa bei ya mkataba dola
za marekani milioni 18.15 sawa na shilingi bilioni 40.46 kwa kipindi cha miezi 11 bila kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari. Pia “Mkandarasi Mkuu” aliingia mkataba na “Mkandarasi Mbia” hata kabla ya kusaini mkataba wake na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).
Kuingia mkataba bila kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Bandari ilikuwa ni kinyume na Kifungu Kidogo cha 4.4 cha Masharti ya Jumla ya Mkataba kati ya Mamlaka ya Bandari na Mkandarasi Mkuu ambacho
kinaizuia Mkandarasi Mkuu kutoa sehemu ya kazi kwa Mkandarasi mwingine, na ikiwa kunauhitaji wa kutoa kazi kwa Kampuni nyingine kutekeleza kazi zilizoko kwenye mkataba, Mkandarasi Mkuu anapaswa kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Bandari siku 28 kabla ya kutoa kazi hiyo.
Aidha, nilibaini jumla ya malipo yaliyolipwa kwa kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia Meli yalikuwa dola za
marekeni milioni 18.22 sawa na shilingi bilioni 40.62, kiasi hiki, pia, kinajumuisha malipo ya dola za marekani 73,824 sawa na shilingi milioni 164.55 kwa huduma za wakala wa meli kwa “Mkandarasi mbia”. Ulinganifu wa kiasi kilichotozwa na Mkandarasi Mkuu shillingi bilioni 104.92 na kiasi alicholipwa na “Mkandarasi mbia”
shilingi bilioni 40.62 inaonesha Kiasi kilichotozwa na Mkandarasi Mkuu kimezidi kiasi halisi kilichotumika kufanya malipo ya kazi hiyo kwa shilingi bilioni 64.30.

My Take
Msimamo wangu ni uleule,kwa mwendo huu ni bora nchi ikauzwa kila mtu achukue chake ajue anafanya nini. Inatia uchungu sana
ccm mbele kwa mbele
 
My Take
Msimamo wangu ni uleule,kwa mwendo huu ni bora nchi ikauzwa kila mtu achukue chake ajue anafanya nini. Inatia uchungu sana.


Nchi huwa inauzwa wapi mkuu, namaanisha soko lake liko wapi



YESU NI BWANA
Kwa Mabeberu
 
Kama mnayvoililia katiba muandike kuiba rukhsa
Nina maana hata mlete sheria zipi bado hela zitapigwa tu na so called wataalamu na wasomi
 
My Take
Msimamo wangu ni uleule,kwa mwendo huu ni bora nchi ikauzwa kila mtu achukue chake ajue anafanya nini. Inatia uchungu sana.


Nchi huwa inauzwa wapi mkuu, namaanisha soko lake liko wapi



YESU NI BWANA
Marekani walinunua alaska toka kwa warusi

Ipigwe bei tu, kila mtu achukue chake[emoji23]
 
Namnukuu CAG Kichere

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari iliingia mkataba na “Mkandarasi Mkuu” wa shilingi bilioni 172.36 tarehe 3 Agosti 2019 wa muda wa mwaka mmoja hadi kufikia mwezi Agosti 2020 kwa ajili ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia meli katika bandari ya Tanga, kufanya tathmini ya athari za kimazingira, na kununua vifaa kwa ajili ya shughuli za bandari. Kwa kulingana na mkataba, gharama ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia meli katika Bandari ya Tanga ilikuwa ni shilingi bilioni 104.92 (asilimia 60 ya bei yote ya mkataba).

Hata hivyo, mnamo tarehe 1 Agosti 2019, “Mkandarasi Mkuu” iliingia makubaliano na “Mkandarasi Mbia” kwa ajili ya kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia Meli kwa bei ya mkataba dola
za marekani milioni 18.15 sawa na shilingi bilioni 40.46 kwa kipindi cha miezi 11 bila kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari. Pia “Mkandarasi Mkuu” aliingia mkataba na “Mkandarasi Mbia” hata kabla ya kusaini mkataba wake na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).
Kuingia mkataba bila kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Bandari ilikuwa ni kinyume na Kifungu Kidogo cha 4.4 cha Masharti ya Jumla ya Mkataba kati ya Mamlaka ya Bandari na Mkandarasi Mkuu ambacho
kinaizuia Mkandarasi Mkuu kutoa sehemu ya kazi kwa Mkandarasi mwingine, na ikiwa kunauhitaji wa kutoa kazi kwa Kampuni nyingine kutekeleza kazi zilizoko kwenye mkataba, Mkandarasi Mkuu anapaswa kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Bandari siku 28 kabla ya kutoa kazi hiyo.
Aidha, nilibaini jumla ya malipo yaliyolipwa kwa kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya kugeuzia Meli yalikuwa dola za
marekeni milioni 18.22 sawa na shilingi bilioni 40.62, kiasi hiki, pia, kinajumuisha malipo ya dola za marekani 73,824 sawa na shilingi milioni 164.55 kwa huduma za wakala wa meli kwa “Mkandarasi mbia”. Ulinganifu wa kiasi kilichotozwa na Mkandarasi Mkuu shillingi bilioni 104.92 na kiasi alicholipwa na “Mkandarasi mbia”
shilingi bilioni 40.62 inaonesha Kiasi kilichotozwa na Mkandarasi Mkuu kimezidi kiasi halisi kilichotumika kufanya malipo ya kazi hiyo kwa shilingi bilioni 64.30.

My Take
Msimamo wangu ni uleule,kwa mwendo huu ni bora nchi ikauzwa kila mtu achukue chake ajue anafanya nini. Inatia uchungu sana
Inawezekana unataka kuitafsiri vibaya ripoti hiyo kuwa Mamlaka ya Bandari au serikali ilifanya uzembe au ilishiriki kuiba hela kiujanja.

Hiyo ripoti uliyokwoti inaonyesha kuwa mkandarasi huenda hakuwa mwaminifu na alifanya hivyo kabla hajasaini mkataba wake na Mamlaka ya Bandari. Vile haionyeshi kuwa kazi yote ilifanywa na mkandarasi mbia tu au mkandarasi mbia alipewa sehemu ya kazi kama ilivyo kwa subcontractors mbalimbali wakati mkandarasi mkuu akifanya sehemu ya kazi. Haikuionyesha kama kazi ilifanywa na kukubaliwa na mamlaka ya bandari au haikufanywa kabisa lakini Bandari ikalipa.
 
Halafu Kuna mbuzi zinasema JPM aliondoa upigaji, awamu ya JPM ilikuwa na upigaji ambao haijawahi kutokea tangu Tanzania ianze, alikuwa anahadaa watanzania kwa kutembea akitukana mabarabarani as if anapambana na ufisadi, aliowatumbua wote ni wale "waliomruka" kwenye mipango, mkuu wa mamlaka ya bandari alikuja kutimuliwa na mama Samia, JPM alimtunza
Unadhani kuna haja ya kuwapekua watu wake wa karibu au labda hata nyumbani kwake ?
 
Sasa ambaye

Sasa ambaye sio fisadi siajenge tu, Sisi hatuitaji maneno tu tunaitaji kuona, maana Magufuri alikuwa fisadi tumeona yaliotanyika,huyo mama yenu ambaye sio fisadi nae afanye basi,kila rais atapimwa kwa kazi zake alizofanya, maana Sasahivi watanganyika tumeisha ona hatudanganyiki tena.
Sasa kwani hajengi? Kwani huoni au chuki zinakusumbua?

Unataka ajenge vyooote kwa mwaka mmja? Sio tuu anajenga bali na sekta zingine zote zinasogea kwa matokea chanya hakuna kisingizio cha najenga sgr kama yule Dhalimu aliyeshindwa.

Wewe ndio karithishe huo ujinga Kwa watoto wako,kwamba mtu akideliver basi ndio shelter ya kufanya asiwajibishwe kwa ufisadi ?
 
Kwani hapakuwa na bidding process katika kumpata huyo mkandarasi? Kama alishinda maana yake yeye si ndio ali-bid the lowest? Au huyo kapata tender kwa rushwa?

Mi ndio maana naona kukwepa kodi ni jukumu letu sote, haiwezekani wengine tukamuliwe tozo halafu wengine wanatuhujumu kijinga kabisa!
 
Kwani hapakuwa na bidding process katika kumpata huyo mkandarasi? Kama alishinda maana yake yeye si ndio ali-bid the lowest? Au huyo kapata tender kwa rushwa?

Mi ndio maana naona kukwepa kodi ni jukumu letu sote, haiwezekani wengine tukamuliwe tozo halafu wengine wanatuhujumu kijinga kabisa!
Mkandarasi wa Bwawa la umeme alipatikana Kwa tenda ipi? Bei iko inflated.

Yapi Merkez Kwa tenda ipi?

Hao wote wakiwamo Mayanga walikuwa ni wakandarasi wa mchongo kuwezesha upigaji..

Nyie sukuma gang mlikuwa mafisadi Sana nguruwe nyie na mlijipanga kila kwenye sekta nyeti.
 
Back
Top Bottom