CAG: Mkandarasi alichukua tenda kwa 104b akaiuza kwa 40b akapiga cha juu 64b

Halafu eti tunamsifia yule Dictator? Na huko si ndiyo aliweka Yule rafiki yake aliyeonyofolewa na Mh. SSH? Yaani Bora alizikwa Tu. Hii nchi ilikuwa inauzwa kimya kimya. By the way hivi asili yake ni nchi gani? Namaanisha babu yake alitoka nchi gani vile? Alijitetea kuwa babu yake alitoka nchi Ile eti akaja kumzalia Joseph Tanzania na John akazaliwa Tz. Mnafiki Sana Yule.
 
Kakoko alikuwa mwizi sana, TPA ilikuwainaendeshwa kama kampuni binafsi na alilindwa na dikteta
 
Ee bana eeh [emoji848][emoji848][emoji848]

Duuh Mbona noma mbaya?!
 
Hospitali dawa hakuna, maji hakuna, maskini wanakufa kwa kukosa vipimo , vifaa tiba, dawa lakini pesa za Umma za zinapigwa kirahisi kiasi hicho jamani [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Wakianza kuwekwa ndani mnaanza kupiga kelele wanaonewa yaani watanzania sijui tuna laana gani.
 
Haya anayosema CAG yatakuwa yalifanyika wakati Magufuli yuko Chato, hakuna namna yangetokea akiwa jumba jeupe la magogoni
 
Kweli, Inatia Uchungu Sana na Hasira! Mpaka nataka kuzimia Kwa Hasira!
 
Hivi hi mayanga ipo bado

Aise waripiga kazi kwerikweri

Ova
 
Hii ndo bongo unapiga pesa za walipa kodi unaenda vulia chupi
 
tutaendelea kupata taarifa fake za CAG hii yote ni propoganda ya kufikisha ujumbe kwa wananchi ili wajue jpm si mzuri. utaona ripoti yote ya cag ikishatolewa na inahusu jpm baadae haifanyiwi kazi wakati mkandarasi yupo na wengine waliorodheshwa kwa upigaji wapo
 
My Take
Msimamo wangu ni uleule,kwa mwendo huu ni bora nchi ikauzwa kila mtu achukue chake ajue anafanya nini. Inatia uchungu sana.


Nchi huwa inauzwa wapi mkuu, namaanisha soko lake liko wapi



YESU NI BWANA

Hakuna cha kuuza hapa. Wapigaji wapelekwe mahakamani, Wahukumiwe na katiba mpya itengenezwe haraka itunusuru.
 

tumia akili ya kuzaliwa propoganda ya kumchafua jpm bado ipo. western na america wanafanya kwa putin kila aina ya propoganda
 

tunataka watu kama nyinyi wenye akili jf sio chadomo
 

imerudi huo upigaji ndio ipo sasa
 

hongera unajielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…