CAG ni Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali. Kazi ya UDHIBITI hajaifanya ndio maana kuna madudu kibao kwenye ripoti yake, atimuliwe

CAG ni Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali. Kazi ya UDHIBITI hajaifanya ndio maana kuna madudu kibao kwenye ripoti yake, atimuliwe

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.

Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.

Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
 
CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali

Ninavynuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti
Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye maddu kibao inamhusu yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea

Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti.Huyu CAG ni mzembe.
Ondoka kwenye kivuli Cha mwendazake .

Muache aendezake
 
CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali

Ninavynuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti
Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye maddu kibao inamhusu yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea

Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti.Huyu CAG ni mzembe.
Mlimtimua Pro Assadi mkapata nini. Angalieni mwisho wa siku mtajitimua wenyewe
 
CAG Assad aliwekewa mizengwe mingi kutokana na umahiri na weledi wake mkubwa katika kutekeleza majukumu yake. Hatimaye aliondolewa ofisini kinyemela na kuja CAG wa sasa aliyepewa maelekezo ya kuwa kama dodoki kwa mamlaka iliyomteua.

Sasa huo udhibiti angeweza kuufanya kwa namna gani, wakati bosi wake alichukulia fuko la hazina ya taifa kama mali yake binafsi?
 
CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali

Ninavynuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti
Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye maddu kibao inamhusu yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea

Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti.Huyu CAG ni mzembe.
Rudi ukalale mkuu, bado una usingizi wewe.
 
CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali

Ninavynuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti
Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye maddu kibao inamhusu yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea

Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti.Huyu CAG ni mzembe.
Ni umeamka asubuhi ukaandika pumba au bado unaota?

Udhibiti unafanyika na serikal kuu yeye anatoa mapendekezo tu. Kazi inabaki serikali kuu wafanyie kazi au lah.
 
CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali

Ninavynuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti
Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye maddu kibao inamhusu yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea

Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti.Huyu CAG ni mzembe.
Kweli nimeamini MATAGA dishi limeyumba aisee!
 
CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali

Ninavynuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti
Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye maddu kibao inamhusu yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea

Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti.Huyu CAG ni mzembe.

Ripoti ya CAG imemuumbua "SHUJAA WA AFRICA".
 
Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti.Huyu CAG ni mzembe.

Assad mlimzuia kudhibiti akalalamika mkamtimua.

Tunajua mlikuwa hamtaki kukaguliwa wala kudhibitiwa kwa kujidai eti nyie ndo mhimili uliojichimbia chini. Sasa tumewachimbia chini.
 
CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali

Ninavynuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti
Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye maddu kibao inamhusu yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea

Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti.Huyu CAG ni mzembe.
Huna elimu ya uhasibu wewe mshamba

Hufahamu mfumo wa uhasibu hapa Tanzania, Rudi shule kasome tena

Kama uliosoma basi ulijaza makaratasi kichwani hukuelewa kitu chochote

Idara za Serikali zina wakaguzi wa ndani yaani INTERNAL Auditors hawa hawana uhusiano na ofisi ya CAG

CAG ni taasisi inayojitegemea kisheria

Internal Auditors huwa wanakagua na kuwapa taarifa wakuu wa Idara mapungufu yaliyopo kabla ya watu wa CAG kupita

Sasa kama watu wamekwapua pesa au wamejenga miradi chini ya kiwango Internal Auditors atawasaidia vipi? ili kukwepa kikombe cha CAG

Mimi Nimefanya kazi za Internal Auditors nafahamu wakuu wa Idara ni vichwa ngumu wakishapiga pesa, Utaomba uone Imprest mpaka unachoka, Utaomba risiti mpaka unachoka

Halmashauri kwa ufupi lazima upige pesa hata Mimi Internal Auditor niliwahi ingia majaribuni

Pesa mwanaharamu
 
Acha Unafiki mtoa hoja, huyu mkaguzi mkuu ameteuliwa na serikali ya chama gani? Inaonekana umelelewa kwenye familia inayoamini UONGO na ufitini
 
Hivi ofisi ya CAG inakaguliwa na nani?

Bunge huwa lina appoint auditor wa kukagua.

Uzuri swala la matumizi ya hela haliko kabisa kwa CAG (CAG siyo account officer) hivyo kumu-implicate ni ngumu.

Kipindi cha bifu la Assad na Jiwe, Ndungay alituambia kuwa mkaguzi aliyekagua ofisi ya CAG amekuta madudu na atayataja. Ambapo mpaka leo hajataja.
 
CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali

Ninavynuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti
Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye maddu kibao inamhusu yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea

Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti.Huyu CAG ni mzembe.
Mnahamisha magoli kwa kutumia propaganda za kitoto!
Ni nani aliyeweza kumdhibiti Jiwe? Kichere alifahamu yaliyompata Assad. Mnajitoa ufahamu ili kuondoa lawama kwa rais aliyefariki?

Chini ya jiwe, ulichosema kingefanyika, ni uhaini ama uhujumu uchumi. Kudhibiti serikali na matumizi yake ni kumdhibiti jiwe! Mnaweweseka sana!
 
Back
Top Bottom