CAG ni Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali. Kazi ya UDHIBITI hajaifanya ndio maana kuna madudu kibao kwenye ripoti yake, atimuliwe

CAG ni Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali. Kazi ya UDHIBITI hajaifanya ndio maana kuna madudu kibao kwenye ripoti yake, atimuliwe

Unajua kama na yeye anakaguliwa?
Kwa hiyo tukububaliane kazi ya kudhibiti hajafanya.Mbona kwenye ripoti yake hakueleza hilo? Kuwa mimi.kama mdhibiti sikufanya udhibiti ndio masna mnaona haya madudu kwenye ripoti
 
CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.

Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.

Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
expand...
MATAGA mmepatwa na kiwewe.

Pambio mfululizo niaka 5 limewalemaza kabisa, mmekuwa vibudu. Jiwe aliwashika vibaya sana.

Mambo ya brainwashing na cultifollowing.

Niseme tu CORONA BABA LAO. Mtu kazikwa na mavi yake😂😂😂😂
 
CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.

Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.

Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
Unajya maana ya ukaguzi na udhibiti wewe au unapayuka tu kama kasuku mwenye njaa?
 
Assad
Alifanya kama unavyoshauri lakini
Wapumbavu walimpiga vita
Assad alikuwa nsye anakagua tu na kutoa ripoti ya ukaguzi tu.
Tatizo lake lilikuwa kuanza kuropoka kuita vyombo vya habari kuongelea ripoti ya CAG kabla hajaiwakilisha bungeni
 
CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.

Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.

Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
Nyie majitu ya ajabu ajabu sana yaani mnamchukia CAG kisa kayaanika mapungufu ya jiwe kuwa miradi mingi ilipigwa?

Watu kama nyinyi hamstahili kuwepo kwenye jamii ya watu walio staarabika kama tanzania.
 
CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.

Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.

Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
Traumatized! Iko kwa shida with your brain.
 
Mlimtimua Pro Assadi mkapata nini. Angalieni mwisho wa siku mtajitimua wenyewe
Washazoeshwa kusifiwa tu hata wanafanya madudu.
Hivi kitendo cha CAG kuzisema ndege kuwa zinaingiza hasara kibao kwao imekuwa ni pigo kuu sana.

Na kama angekuwepo jiwe hiyo ripoti ingeandikwa anavyo taka jiwe.
 
Kashinaga!!?
... beleje batakuelewa tu!


1618031532721.png
 
Hakuwahi kufanya hivyo.
Shida ni kuwa Magu alikuwa anaiba live live na Assad akawaambia watu!!
Unakumbuka ile 1.5 trillion ambayo chakubanga alisema haijaiva???
Mungu ametenda maajabu
Assad slikuwa nsye anakagua tu na kutoa ripoti ya ukaguzi tu.
Tatizo lake lilikuwa kuanza kuropoka kuita vyombo vya habari kuongelea ripoti ya CAG kabla hajaiwakilisha bungeni
 
CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.

Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.

Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
Soma vizuri,majukumu yake mkuu!
 
CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.

Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.

Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
Majukumu ya CAG kwani ni yapi? Angeweza kweli kukataza ndege zisinunuliwe?
 
Back
Top Bottom