Mungu akuhurumie na kukusaidia upone ugonjwa ulionao.Nakupongeza Mh.Rais Magufuli mzalendo kwa kuona mtu mmoja anaefaha kabisa.Sio mtu anapika data eti 1.5trioni zimepotea,sijui unifomu hewa nk
AHSANTE SANA
Unasema you know him better lakini hapohapo unasema tena una mashaka na uwezo wake! Tukuelewe je sasa?Nina mashaka na uwezo wa kicheere upstairs, nimesoma naye, I know him better
Huu unaweza kuwa uteuzi wa kuidhalilisha taasisi ya CAG
Ni mtu wa kwenu siyo.Hongereni sana mmeukata.Kifupi namshukuru Mungu kwa teuzi ya kichere.
Wewe ndiyo mgonjwa tena kichaa kabisa!Mungu akuhurumie na kukusaidia upone ugonjwa ulionao.
System guy,wapo wengi sampuli hii.Kama ni hivyo basi ni mbinu za kum shake kisaikolojia ili awe na adabu na mteuzi. Una panda cheo hadi Kamishna wa TRA una enjoy ukuu ghafla unapigwa mtama hadi kuwa RAS bila kutegemea na unanyong'onyea kisha unapewa madaraka yasiyo hojiwa na inakubidi ujikunyate kwa mteuzi kuwa ni mwokozi wako.
NAME : Charles Kichere
DATE OF BIRTH : 26th March 1970
LANGUAGES : Fluent in English and Kiswahili in both writing and speaking.
ACADEMIC QUALIFICATIONS
November 2016:Tumain University, Bachelor of Law (LLB).
December 2008: University of Dar es Salaam, Master of Business Administration (MBA – Finance).
June 2004: African Renaissance Centre – Mbabane, Kingdom of Swaziland. Awarded Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects.
November 1997: University of Dar Es Salaam Awarded Bachelor of Commerce (B.com – Accounting) Upper Second Class with Honours.
May 1992: Shinyanga Commercial Institute (Shycom) Awarded Advanced Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1.
November 1989: Tambaza Secondary School Awarded Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1
Una guess au?Bila shaka mkuu ndo maana amehudumu kama auditor kwa muda mrefu
Nayeye atatwambia kwamba rais kamtoa jalalani.Kama ni hivyo basi ni mbinu za kum shake kisaikolojia ili awe na adabu na mteuzi. Una panda cheo hadi Kamishna wa TRA una enjoy ukuu ghafla unapigwa mtama hadi kuwa RAS bila kutegemea na unanyong'onyea kisha unapewa madaraka yasiyo hojiwa na inakubidi ujikunyate kwa mteuzi kuwa ni mwokozi wako.
Unajuwa ukiangalia hata hawa wasaidizi wake wakuu Samia na Majaliwa, wrote ni wale wale. Sijisikii aibu kusemea nao ni wabovu na hawana hadhi ya kushika madaraka hayo waliyo nayo kama hawawezi kumshauri anapokwenda mrama na akikataa wao kuchukua uamuzi sahihi wa kiuongozi wa kujitoa na kutangaza hadharani sababu ni nini.
Hitimisho ni kuwa lawama za uongozi mbovu sio za MtuPori pekee bali viongozi hao wote.
Hivi kichere ana CPA/ACCA?
Ni member wa NBAA?
nina maana yangu kuuliza hivi wakuu.
Sio miaka mitano mkuu kumbuka utawala wa serikali hii kwa awamu yake unaisha mwakani hvyo si ajabu ukashangaa mwakani wakat raisi anaunda serikali mpya ukashangaa na yy asiwepo...yote yanawezeikanaSasa hivi ni wakati wa jiwe,hata nikinuna haisaidii. Hongera kwa Kachere walau ana uhakika wa kukaa miaka 5 sehemu moja.
Unasema you know him better lakini hapohapo unasema tena una mashaka na uwezo wake! Tukuelewe je sasa?
RAS mpaka CAG kamtoa kaburini kabisaaaaNayeye atatwambia kwamba rais kamtoa jalalani.
JK alikuwa anateua vichwa na anavipa uhuru, ila kulikuwa na udhaifu katika kufanyia kazi taarifa za vile 'vichwa' anavyovipa kazi. Sasa hivi sijui,kazi ipo. Nampongeza mteuliwa na nampongeza zaidi aliyemaliza kazi yake,hakika atakumbukwa kwa ujasiri na itekelezaji wenye kuonekana wa viapo vyake. Mungu akamlinde na kumtunza pamoja na familia yake. |
Kwani mda wake haukuwa umefika mwisho?Moderator rekebisheni kichwa cha uzi huu kinasomeka katumbuliwa wakati ni amestaafu au muda wake wa kurumikia ofice umeisha
Kwa elimu hii sasa naanza kuelewa kwanini ali shindwa TRA... Naanza pia kuona anguko kwenye udhibitli WA pesa za serikali. CV yake haiendani na wadhifa alio pewa..View attachment 1252682
Rais John Magufuli leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad
Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014.
WASIFU WA KICHERE:
NAME : Charles Edward Kichere
DATE OF BIRTH : 26th March 1970
LANGUAGES : Fluent in English and Kiswahili in both writing and speaking.
ACADEMIC QUALIFICATIONS
November 2016:Tumain University, Bachelor of Law (LLB).
December 2008: University of Dar es Salaam, Master of Business Administration (MBA – Finance).
June 2004: African Renaissance Centre – Mbabane, Kingdom of Swaziland. Awarded Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects.
November 1997: University of Dar Es Salaam Awarded Bachelor of Commerce (B.com – Accounting) Upper Second Class with Honours.
May 1992: Shinyanga Commercial Institute (Shycom) Awarded Advanced Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1.
November 1989: Tambaza Secondary School Awarded Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1
Charles Edward Kichere was a Njombe Regional Administrative Secretary (RAS) and former Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA).
He also worked as Deputy Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA),
Head of Finance and Chief Accountant at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Principal Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Unilever Tea Tanzania Limited, and Internal Auditor/Treasurer at Unilever Tea Kenya Limited.
Charles E. Kichere holds Bachelor of Laws (LL.B) from Tumaini University College, Dar es Salaam Tanzania, Masters of Business Administration (MBA) in Finance at University of Dar es Salaam,
Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects at Africa Renaissance Centre, Mbabane Swaziland,
Bachelor of Commerce in Accounting (B.Com Accounting) at University of Dar es Salaam.
He is a member of the Credit and Audit Committees.