CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

Awamu hii wanaotakiwa ni wale watu dhaifu, weledi duni na wanafiki wa kusifu na siyo critics. Ndiyo sababu kubwa ya mambo mengi kutokwenda kiuhalisia. Hatuitumii vizuri faida ya kuwa watu wengi wenye uwezo na fikra tofauti.

Nchi imekuwa ya KISULTANI!!!
 
Sisi twataka kaa milele hilo swala la udhaifu halituhusu
 
Yani kila siku mnalia humu ajira ni bomu, kaondolewa kipenzi chenu mmeanza kumtetea, hao mnaowapenda wakiendelea kuwa maofisini vijana watapata ajira lini?!

Nani sio bomu nchi hii?!

Hapo ni yupi ambaye ni mpya kapata ajira..?
 
Ndio maana tunasema huyu MtuPori huwa haeleweki au tuseme anaropoka bila kupima maneno. Leo unamshusha cheo mtu kuwa utendaji wake hauridhishi, baada ya muda mfupi unampa madaraka makubwa zaidi hata ya Yale uliyokuwa umemvua.
Shida sana kuwa na mtu wa aina hiyo
Hakutumbuliwa, alihamishwa. Wanaotumbuliwa huwa wamefukuzwa kazi.
 
Mkuu mbona unachanganya mambo? CAG ameomba kuondoka lini? Huyu amestaafishwa bila hata ya yeye mwenyewe kupewa taarifa, fuatiliana maoni yake baada ya hizi taarifa za CAG mpya.
Muda wake wa miaka mitano umeisha. Pia umri nao umefikia ukingoni kuendelea kuwa CAG
 
Kukichwa kutapambazuka
wasalaam, kuna habari zinasambaa kwa kasi sehemu mbalimbali nchini kwamba CAG mpya mh kichere ni dhaifu kutoka na historia yake ya utendaji huko nyuma. Habari zinasema kwamba bwana kichere ni mtu wa ndio mzee na kuanzia sasa ukaguzi wa hesabu za serekali utafanywa na serikali yenyewe kwa maelekezo kutoka pale nyumba nyeupe.

Tusubiri muda ni rafiki huenda ni majungu tu labda watu wanazusha. Maendeleo yana vyama usipochagua ccm hakuna kuletewa maendeleo.
Ova.
 
Mmesahau yule mliyemuita dhaifu leo mnampigia meza bungeni eti mmemmisi
Awamu hii wanaotakiwa ni wale watu dhaifu, weledi duni na wanafiki wa kusifu na siyo critics. Ndiyo sababu kubwa ya mambo mengi kutokwenda kiuhalisia. Hatuitumii vizuri faida ya kuwa watu wengi wenye uwezo na fikra tofauti.
 
CAG hawezi kuwa zaifu maana CAG ni mkaguzi wala si mtendaji
 
Subira the princess hali ni mbaya sana watanzania wengi ni tuu wajinga tunashangilia hatuelewi juzi mkaguzi mwenyewe alitoa ripoti inayoonesha Magufuli ametumia bilioni 5 hivi ,kisheria ile ripoti ilitakiwa isomwe na watanzania tujue kinachoendelea matokeo yake baada ya Muda Assad kuanika uozo wote wa namna fedha ilivyotafunwa ,Spika wa bunge akamletea Assad majungu eti huyu bwana hafai kuwa mkaguzi ,ohh hawezi,lakini kifupi ni kuwa magufuli ni Fisadi wa kutisha hebu fikiria Spika wa bunge kwenye ile ripoti anatumia shilingi 128milion kwa ajili ya matibabu!!wabunge wenzake pamoja na Rais wamekaa kimya bila ile ripoti kuisoma baada ya kuwaona watanzania ni mabwege ,sasa leo jiwe anaona ni heri kumwondoa Assad ili aendelee kutafuna hizo fedha,
Kumuita rais jiwe ni tayari unaonyesha sumu na visasi ulivyonavyo juu yake.
Siasa za hoja mmeshindwa na sasa ni kuvizia matukio kila siku.
Shame on all of you
 
Kumuita rais jiwe ni tayari unaonyesha sumu na visasi ulivyonavyo juu yake.
Siasa za hoja mmeshindwa na sasa ni kuvizia matukio kila siku.
Shame on all of you
 

Attachments

  • IMG_20191031_125704.jpg
    IMG_20191031_125704.jpg
    110.1 KB · Views: 1
Hapo ni sawa na kumuweka mpenzi wako akukague, huna hata wasiwasi maana anakagua matumizi yake mwenyewe.
 
Mshenzi Mkubwa wewe, udhaifu wake upo wapi? Wewe kama Mme wako ni dhaifu kitandani usichukulie wanaume wote ni dhaifu...

Acha kuokota maneno huo mtandaoni na kuleta humu ndani.

Povu limekuwa jingi, Naanza kupata mwanga kuhusu udhaifu
 
wasalaam, kuna habari zinasambaa kwa kasi sehemu mbalimbali nchini kwamba CAG mpya mh kichere ni dhaifu kutoka na historia yake ya utendaji huko nyuma. Habari zinasema kwamba bwana kichere ni mtu wa ndio mzee na kuanzia sasa ukaguzi wa hesabu za serekali utafanywa na serikali yenyewe kwa maelekezo kutoka pale nyumba nyeupe.

Tusubiri muda ni rafiki huenda ni majungu tu labda watu wanazusha. Maendeleo yana vyama usipochagua ccm hakuna kuletewa maendeleo.
Ova.
Ulijuaje huyu aliyemaliza kabla ya utendaji wake!
 
Back
Top Bottom