Subira the princess hali ni mbaya sana watanzania wengi ni tuu wajinga tunashangilia hatuelewi juzi mkaguzi mwenyewe alitoa ripoti inayoonesha Magufuli ametumia bilioni 5 hivi ,kisheria ile ripoti ilitakiwa isomwe na watanzania tujue kinachoendelea matokeo yake baada ya Muda Assad kuanika uozo wote wa namna fedha ilivyotafunwa ,Spika wa bunge akamletea Assad majungu eti huyu bwana hafai kuwa mkaguzi ,ohh hawezi,lakini kifupi ni kuwa magufuli ni Fisadi wa kutisha hebu fikiria Spika wa bunge kwenye ile ripoti anatumia shilingi 128milion kwa ajili ya matibabu!!wabunge wenzake pamoja na Rais wamekaa kimya bila ile ripoti kuisoma baada ya kuwaona watanzania ni mabwege ,sasa leo jiwe anaona ni heri kumwondoa Assad ili aendelee kutafuna hizo fedha,