CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

wasalaam, kuna habari zinasambaa kwa kasi sehemu mbalimbali nchini kwamba CAG mpya mh kichere ni dhaifu kutoka na historia yake ya utendaji huko nyuma. Habari zinasema kwamba bwana kichere ni mtu wa ndio mzee na kuanzia sasa ukaguzi wa hesabu za serekali utafanywa na serikali yenyewe kwa maelekezo kutoka pale nyumba nyeupe.

Tusubiri muda ni rafiki huenda ni majungu tu labda watu wanazusha. Maendeleo yana vyama usipochagua ccm hakuna kuletewa maendeleo.
Ova.

Labda Kwa sababu "NCHI ILIYOPATA MAENDELEO FEDHA HAINA SAMANI" jamaa anamkwanja Sana atakuwa anadharau report Kwa sababu ni story "FEDHA KUINGIA KWENYE MZUNGUKO"
 
Mafuru Msechu J.Makamba Prof Assad Dr Mwele Malecela tumewapoteza wataalamu shauri ya kutaka watu waite Mungu
 
Zile pesa za wahujumu ucchumi zilizorejeshwa kwa mtindo wa cash ndo basi tena hakuna wakuhoji zinaenda mifiukoni mwa mchwa
 
Kumuita rais jiwe ni tayari unaonyesha sumu na visasi ulivyonavyo juu yake.
Siasa za hoja mmeshindwa na sasa ni kuvizia matukio kila siku.
Shame on all of you

Jiwe ni jina alilojiita mwenyewe, wewe kupinga ni kutounga mkono juhudi.... unachelewa wapi..?
 
Mshenzi Mkubwa wewe, udhaifu wake upo wapi? Wewe kama Mme wako ni dhaifu kitandani usichukulie wanaume wote ni dhaifu...

Acha kuokota maneno huo mtandaoni na kuleta humu ndani.
Sio kwa kichambo hiki kakoma...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
CAG huyu atakuwa anasoma magazeti tu ofisini hana jipya kil sehemu aliyokuwepo alikuwa anatumbuliwa
 
CAG amesema hawezi kusema chochote juu ya uamuzi huu sababu yuko safarini KIKAZI
 
Sidhani Kama ni vema kuhukumu kabla mtu hajaingia ofisini,pili hajawahi kuwa CAG, kwa hiyo acheni majungu kwanza na ramli chonganishi jamaa apige kazi.
 
Mshenzi Mkubwa wewe, udhaifu wake upo wapi? Wewe kama Mme wako ni dhaifu kitandani usichukulie wanaume wote ni dhaifu...

Acha kuokota maneno huo mtandaoni na kuleta humu ndani.
Kwa hiyo wewe mumeo sio dhaifu?
 
Kiukweli bila kupepesa, assad amefanya kazi yake kwa weledi mkubwa, tutamkumbuka sana, alihitaji muda zaidi. Mwenyezi mungu ampe maisha marefu katika kustaafu kwake
 
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Sheria ya Ukaguzi wa Hesabu za Umma ya mwaka 2008 inamtaka Magufuli ku-renew muda wa CAG, Period!

Wakati Katiba inasema CAG atakaa miaka 5 ofisini na astahili mkataba wake kuwa renewed kwa miaka mingine 5, atatakiwa kuachia ofisi akifikisha umri wa miaka 60 au umri mwingine utakaotajwa na sheria.

Umri mwingine unaotajwa na sheria unapatikana kwenye Ibara ya 6(2) ya Sheria za Hesabu za Umma ya mwaka 2008 ambao ni miaka 65.

Hata hivyo, anaweza akawa terminated kabla ya hiyo 65 ONLY kama issue inayomfanya awe terminated na issue inayotakiwa kuwa investigated.

Profesa Assad amezaliwa Octoba 6, 1961... kwahiyo anatimiza miaka 60 mwaka 2021. Kwavile hajafikisha miaka 60, Katiba na Sheria ya Hesabu za Umma ya mwaka 2008 inataka mtu kama huyo muda wake uongezwe kwa muhula mmoja na KULAZIMIKA kuacha ofisi akiwa na miaka 65.

Assad atafikisha miaka 65 mwaka 2026, kwa maana nyingine Katiba na Sheria vinataka aendelee kuitumikia ofisi kwa sababu hata akiongezewa miaka 5, miaka hiyo ataimaliza kabla hajafikisha 65!!

Again, Rais amevunja sio tu Katiba ya Jamhuri ya Muungano bali pia Sheria ya Ukaguzi wa Hesabu za Umma, yaani 2008 Public Audit Act 6(2).
 
Back
Top Bottom