CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

Nisaidie kuiweka hapa
Hata katiba ya kiswahili na english vimepishana
Hii nchi shida sana

1572815584976.png
 
Assad alifanya makosa makubwa sana ya kiutendaji kwa kuwa kichocheo cha mvutano baina ya ofisi yake na Bunge hata kama alikuwa sahihi. Yeye kama mtaalamu wa hesabu za fedha hakutakiwa kufanya mambo kama mwanasiasa, matokeo yake ali-politicize ukaguzi wa hesabu za umma jambo ambalo ni kosa kubwa sana. Ikafanya matokeo ya ukaguzi yasiwe ya kuaminiwa na sehemu fulani ya umma kwa kuhisia kuwa kuna political motives za wakaguzi. Nadhani Olotu aliifanya kazi hiyo kwa ufanishi sana enzi zake, kwani hesabu za serikali hazikuwahi kutafsiriwa kisiasa mpaka wakati wa huyu Assad; nasikia ana ukaribu sana na Zitto, ndiyo maana Zitto alikuwa akipata namba za ukaguzi hata kabla hazijatangazwa. Maprofesa wengi sana wa Tanzania siku hizi ni wababaishaji sana.
 
CAG huyu atakuwa anasoma magazeti tu ofisini hana jipya kil sehemu aliyokuwepo alikuwa anatumbuliwa
Huko kapelekwa baada ya watanzania kupiga kelele juu ya ufisadi 10% za wajanja wachache kwenye ununuzi wa Ndege , anachokwenda kufanya ni ukaguzi feki wa gelesha wa kuwasafisha watuhumiwa wote
 
Kama tulitaka kumpa lowasa nchi kichere kuwa cag shida nini?
Lowasa Nchi ingekuwa mbali kimaendeleo kwani siyo mtu wa visasi kukomoana kuwabambikia watu kesi
 
Aliyesema TRA inavunja rekodi ya makusanyo sasa ndio anakuwa CAG.....Huyu hatakua na shida ya kuandaa ripoti...ataandaliwa na ataikabidhi tu kwa aliyemuandalia

Profesa Asad Mungu akubariki sana
 
Sidhani Kama ni vema kuhukumu kabla mtu hajaingia ofisini,pili hajawahi kuwa CAG, kwa hiyo acheni majungu kwanza na ramli chonganishi jamaa apige kazi.
Kazi ipi? Wakati kazi yake ni kwenda kuwasafisha wale waliokula trillion 1:5 kuwalinda wanunuzi wa mdege waliokula 10% na kulinda 10% na ufisadi wote kwenye miradi yote mikubwa
 
Assad alifanya makosa makubwa sana ya kiutendaji kwa kuwa kichocheo cha mvutano baina ya ofisi yake na Bunge hata kama alikuwa sahihi. Yeye kama mtaalamu wa hesabu za fedha hakutakiwa kufanya mambo kama mwanasiasa, matokeo yake ali-politicize ukaguzi wa hesabu za umma jambo ambalo ni kosa kubwa sana. Ikafanya matokeo ya ukaguzi yasiwe ya kuaminiwa na sehemu fulani ya umma kwa kuhisia kuwa kuna political motives za wakaguzi. Nadhani Olotu aliifanya kazi hiyo kwa ufanishi sana enzi zake, kwani hesabu za serikali hazikuwahi kutafsiriwa kisiasa mpaka wakati wa huyu Assad; nasikia ana ukaribu sana na Zitto, ndiyo maana Zitto alikuwa akipata namba za ukaguzi hata kabla hazijatangazwa. Maprofesa wengi sana wa Tanzania siku hizi ni wababaishaji sana.
labdaumma wa magufuli na kikundi chake cha tanroads ujenzi na ndugai umma wa watanznia wanajuwa assad alifanya kazi ya nchi iliyotukuka kwa yaanika majizi kama dotto james mwipwa wa magufuli na ofisi ya magufuli kwa kuiba trilioni 2.4 bila maelezo yeyote watanzania tunakumbukumbu wewe
 
Kuwa eligible for renewal siyo gurantee kuwa ni lazima upate hiyo renewal.
Rais Magufuli yupo kwa manufaa yake tu na kikundi chake kujitajirisha kuliko kawaida sasa wamewekana watu wa tanroads waziibe fedha za uchaguzi 2020 maana jamaa hana mvuto hajuwi siasa na ameshindwa siasa. Mwenyekiti ambaye anahaha hata uchaguzi wa serikali za mtaa ameoganise crime ya kunyang,anya uhuru wa watu kuwachaguwa watu wanaowataka wawaongoze yaani kila kitu valuvalu kuiba kuiba ufisafi ufisadi Rais Magufuli zero kabisa.
 
labdaumma wa magufuli na kikundi chake cha tanroads ujenzi na ndugai umma wa watanznia wanajuwa assad alifanya kazi ya nchi iliyotukuka kwa yaanika majizi kama dotto james mwipwa wa magufuli na ofisi ya magufuli kwa kuiba trilioni 2.4 bila maelezo yeyote watanzania tunakumbukumbu wewe
Mzee, hiyo ndiyo sehemu ya umma, labda kama wewe huwaoni hao kama Watanzania. Ukishasema hivyo tu, basi umeshawagawa Watanzania, na ndiyo sehemu ya makosa niliyosema. Sehemu moja inaona hivi na sehemu nyingine inaona hivi. Yeye angeweka ripoti zake, abaki neutral ili awaachie wanasiasa na wataalamu wengine wa uchumi ndio wajadaliliane badala ya yeye mwenyewe kuwa sehemu ya mjadala.
 
Kumuita rais jiwe ni tayari unaonyesha sumu na visasi ulivyonavyo juu yake.
Siasa za hoja mmeshindwa na sasa ni kuvizia matukio kila siku.
Shame on all of you
Acha ujinga wewe kazi ya upinzani ni nini? Kazi ya upinzani ni kuikosoa Serikali kuanzia jambo dogo matukio kubwa yote mabaya, huweza kuwapangia cha kukosoa kisa ni matukio, matukio yote yenye uzembe lazima yakemewe kwa nguvu usiwapangie upinzani cha kukosoa
 
magufuli yupo kwa manufaa yake tu na kikundi chake kujitajirisha kuliko kawaida sasa wamewekana watu wa tanroads waziibe fedha za uchaguzi 2020 maana jamaa hana mvuto hajuwi siasa na ameshindwa siasa mwenyekiti ambaye anahala hata uchaguzi wa serikali za mtaa ameoganise crme ya kunyang,anya uhuru wa watu kuwachaguwa waty wanaowataka wawaongoze yaani kila kitu baluvalu kuiba kuiba ufisafi ufisadi magufuli zero kabisa
Uteuzi wa CAG uko ndani ya powere za president kikatiba. Tunaweza kuongea tu iwapo kavunja katiba lakini sijaona mahalai ambapo katiba imevunjwa. Marekani republican wana msemao kuwa Elections have Consequences; ndiyo hivyo haya ni matokea ya uchaguzi wa Tanzania mwaka 2015
 
Binadam hawana jema oh hapana mwambafai ..oh hapana zaifu... , hongera Kichere , Mungu akulinde na ukachape kazi.
 
Mzee, hiyo ndiyo sehemu ya umma, labda kama wewe huwaoni hao kama watanzania. Ukishasema hivyo tu, basi umeshawagawa watanzania, na ndiyo sehemu ya makosa niliyosema. Sehemu moja inaona hivi na sehemu nyingine inaona hivi. Yeye angeweka ripoti zake, abaki neutral ili awaachie wanasiasa na wataalamu wengine wa uchumi ndio wajadaliliane badala ya yeye mwenyewe kuwa sehemu ya mjadala.
Yeye alichotoa kwa waandishi ni muhtasari wa kilichomo kwenye ripoti
Ulitaka akae kimya nyinyi mkipotosha wakati hamjui hata payment voucher inafananaje?
Acha hizo mkuu
Mchumi wa Private Sector anajua nini kuhusu Government operations?
 
Back
Top Bottom