CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

Alimtanguliza MUNGU pamoja na nchi yake katika kuyatekeleza majukumu yake, alitekeleza majukumu yake Kwa hekima ya hali ya juu bila kujali wale waliokuwa wanampiga vita Kwa namna yoyote ile.

Kapumzike PROF.ASSAD hakika wewe ni mzalendo uliye tukuka.

Karibu kichere, acha upigaji uendelee [emoji850][emoji850][emoji850]
 
Muda wake wa miaka mitano umeisha. Pia umri nao umefikia ukingoni kuendelea kuwa CAG
Acha uongo wewe...Assad amezaliwa Oktoba 6, 1961... sasa umri umefika ukingoni kivipi?
 
Huyu kawekwa kuficha uchafu. Hana ubavu wa kupingana na Ikulu. Ni kibaraka mwoga na usitegemee kitu.

Fedha zitachotwa kupelekwa Chato na hatosema kitu. Nasikia kuna mchoro wa Chato itakuwa kama Shanghai.
Wivu tuuu mkuuu. Acha watu wamesoma wapeleke mema kwao. So kigezo ilikuwa no elimu aka?
 
Nyie subirini matokeo serikali ipo kazini ina pigs kazi
IMG-20191103-WA0020.jpeg
 
View attachment 1252682

Rais John Magufuli leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad

Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014.

BAADHI YA VIFUNGU VYA SHERIA/KATIBA VILIVYOIBUA MJADALA:

View attachment 1252913
View attachment 1252910


WASIFU WA KICHERE:

NAME : Charles Edward Kichere

DATE OF BIRTH : 26th March 1970

LANGUAGES : Fluent in English and Kiswahili in both writing and speaking.

ACADEMIC QUALIFICATIONS

November 2016:Tumain University, Bachelor of Law (LLB).

December 2008: University of Dar es Salaam, Master of Business Administration (MBA – Finance).

June 2004: African Renaissance Centre – Mbabane, Kingdom of Swaziland. Awarded Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects.

November 1997: University of Dar Es Salaam Awarded Bachelor of Commerce (B.com – Accounting) Upper Second Class with Honours.

May 1992: Shinyanga Commercial Institute (Shycom) Awarded Advanced Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1.

November 1989: Tambaza Secondary School Awarded Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1

Charles Edward Kichere was a Njombe Regional Administrative Secretary (RAS) and former Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA).

He also worked as Deputy Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA),
Head of Finance and Chief Accountant at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Principal Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Unilever Tea Tanzania Limited, and Internal Auditor/Treasurer at Unilever Tea Kenya Limited.

Charles E. Kichere holds Bachelor of Laws (LL.B) from Tumaini University College, Dar es Salaam Tanzania, Masters of Business Administration (MBA) in Finance at University of Dar es Salaam,
Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects at Africa Renaissance Centre, Mbabane Swaziland,
Bachelor of Commerce in Accounting (B.Com Accounting) at University of Dar es Salaam.

He is a member of the Credit and Audit Committees.

Niimesoma hivyo vifungu Magu hapa hajavunja sheria. Term ni miaka 5 na eligible kwa renewal hii ina maana kisheria baada ya miaka mitano Magu akichagua mwingine yuko sawa lakini vilevile kisheria angeweza kumwacha kwa miaka mitano tu. Lakini kubadilishwa baada ya miaka mitano ni ruksa kisheria.
 
wasalaam, kuna habari zinasambaa kwa kasi sehemu mbalimbali nchini kwamba CAG mpya mh kichere ni dhaifu kutoka na historia yake ya utendaji huko nyuma. Habari zinasema kwamba bwana kichere ni mtu wa ndio mzee na kuanzia sasa ukaguzi wa hesabu za serekali utafanywa na serikali yenyewe kwa maelekezo kutoka pale nyumba nyeupe.

Tusubiri muda ni rafiki huenda ni majungu tu labda watu wanazusha. Maendeleo yana vyama usipochagua ccm hakuna kuletewa maendeleo.
Ova.
Kama tulitaka kumpa lowasa nchi kichere kuwa cag shida nini?
 
Kama hamjagundua Magufuli yupo kwa manufaa yake na kikundi cha wezi webzine aliofanya nao ujenzi tanroads na ndugu zake wa damu we are in shamble
 
Kitakachofuata hapo maafisa wa National Audit Office kuhamishiwa sehemu zingine na NAO kujazwa na Wana-Lumumba!! Ukaguzi hivi sasa utafanywa na Praise Team na kuwa endorsed na kubwa lao!!!
 
Wakati Katiba inasema CAG atakaa miaka 5 ofisini na astahili mkataba wake kuwa renewed kwa miaka mingine 5, atatakiwa kuachia ofisi akifikisha umri wa miaka 60 au umri mwingine utakaotajwa na sheria.
Mkuu nafikiri umelivuta sana hilo neno "ku-stahili" nawe umeligeuza kuwa lazima mkataba wake uwe renewed. Maana halisi ni kuwa anaweza akapewa mkataba mwingine au kwa kipindi kingine cha miaka mitano. Tunaweza kujiuliza kwa nini raisi hakumpa mkataba mwingine lakini kisheria raisi yuko ndani ya sheria (Public Audit Act 2008)
 
Kichere ana bahati
Kumbuka alikuwa tanroad kama mhasibu mkuu,dotto naye(pay master general) na magu wote walikuwa tanroadd...unganisha nukta
Mmoja anatoa amri wa pili anagawa mahela,wa tatu anakagua
Tumekwisha
 
Mkuu nafikiri umelivuta sana hilo neno "ku-stahili" nawe umeligeuza kuwa lazima mkataba wake uwe renewed. Maana halisi ni kuwa anaweza akapewa mkataba mwingine au kwa kipindi kingine cha miaka mitano. Tunaweza kujiuliza kwa nini raisi hakumpa mkataba mwingine lakini kisheria raisi yuko ndani ya sheria (Public Audit Act 2008)
Public Audit Act imepewa na imetoa umri tu na sio mengineyo
Kwa mujibu wa katiba CAG analazimika kustaafu na miaka 65
Assad kafikisha hiyo miaka?
 
Lakini wizara ya fedha ndo itafanya AUDITING mkatae mkubali...
 
[Acha kuQUOTE="Victoire, post: 33349779, member: 11226"]
Assad hatimaye kastaafu. Hongera Mr Kichere kwa kuteuliwa kuwa Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali.
[/QUOTE]
Acha kuongea kama kah*ba la ambiance
Assad kafikisha miaka 65?
 
Nisaidie ili tusipoteze muda kama nimepotoka
Tuko hapa kujifunza pia
Rudi mchango #1 juu soma hiyo cut-and-paste ya kiingereza ambayo imetolewa Public Audit Act 2008. Hiyo ya kiswahili imepitwa na wakati.
 
Rudi mchango #1 juu soma hiyo cut-and-paste ya kiingereza ambayo imetolewa Public Audit Act 2008. Hiyo ya kiswahili imepitwa na wakati.
Nisaidie kuiweka hapa
Hata katiba ya kiswahili na english vimepishana
Hii nchi shida sana
 
Back
Top Bottom