Awamu hii wanaotakiwa ni wale watu dhaifu, weledi duni na wanafiki wa kusifu na siyo critics. Ndiyo sababu kubwa ya mambo mengi kutokwenda kiuhalisia. Hatuitumii vizuri faida ya kuwa watu wengi wenye uwezo na fikra tofauti.
Naimani kuna muda utafika watu wataifufua hii thread. Ingawa kwasasa kuna baadhi ya watu hawaielewi.Kwani huyu aliyeteuliwa ni mmeo wewe?..
Yani kila siku mnalia humu ajira ni bomu, kaondolewa kipenzi chenu mmeanza kumtetea, hao mnaowapenda wakiendelea kuwa maofisini vijana watapata ajira lini?!
Nani sio bomu nchi hii?!
Alipotoka Kichere huko kwenye ukatibu tawala kaenda nani?!Hapo ni yupi ambaye ni mpya kapata ajira..?
Hakutumbuliwa, alihamishwa. Wanaotumbuliwa huwa wamefukuzwa kazi.Ndio maana tunasema huyu MtuPori huwa haeleweki au tuseme anaropoka bila kupima maneno. Leo unamshusha cheo mtu kuwa utendaji wake hauridhishi, baada ya muda mfupi unampa madaraka makubwa zaidi hata ya Yale uliyokuwa umemvua.
Shida sana kuwa na mtu wa aina hiyo
Kumbe humu sio mtandaoni?Lakini hajawahi kuwa CAG , ngoja tuone na tupime utendaji wake akiwa CAG.
Muda wake wa miaka mitano umeisha. Pia umri nao umefikia ukingoni kuendelea kuwa CAGMkuu mbona unachanganya mambo? CAG ameomba kuondoka lini? Huyu amestaafishwa bila hata ya yeye mwenyewe kupewa taarifa, fuatiliana maoni yake baada ya hizi taarifa za CAG mpya.
wasalaam, kuna habari zinasambaa kwa kasi sehemu mbalimbali nchini kwamba CAG mpya mh kichere ni dhaifu kutoka na historia yake ya utendaji huko nyuma. Habari zinasema kwamba bwana kichere ni mtu wa ndio mzee na kuanzia sasa ukaguzi wa hesabu za serekali utafanywa na serikali yenyewe kwa maelekezo kutoka pale nyumba nyeupe.
Tusubiri muda ni rafiki huenda ni majungu tu labda watu wanazusha. Maendeleo yana vyama usipochagua ccm hakuna kuletewa maendeleo.
Ova.
Awamu hii wanaotakiwa ni wale watu dhaifu, weledi duni na wanafiki wa kusifu na siyo critics. Ndiyo sababu kubwa ya mambo mengi kutokwenda kiuhalisia. Hatuitumii vizuri faida ya kuwa watu wengi wenye uwezo na fikra tofauti.
πππNaimani kuna muda utafika watu wataifufua hii thread. Ingawa kwasasa kuna baadhi ya watu hawaielewi.
Time is a mother confessor
Kumuita rais jiwe ni tayari unaonyesha sumu na visasi ulivyonavyo juu yake.Subira the princess hali ni mbaya sana watanzania wengi ni tuu wajinga tunashangilia hatuelewi juzi mkaguzi mwenyewe alitoa ripoti inayoonesha Magufuli ametumia bilioni 5 hivi ,kisheria ile ripoti ilitakiwa isomwe na watanzania tujue kinachoendelea matokeo yake baada ya Muda Assad kuanika uozo wote wa namna fedha ilivyotafunwa ,Spika wa bunge akamletea Assad majungu eti huyu bwana hafai kuwa mkaguzi ,ohh hawezi,lakini kifupi ni kuwa magufuli ni Fisadi wa kutisha hebu fikiria Spika wa bunge kwenye ile ripoti anatumia shilingi 128milion kwa ajili ya matibabu!!wabunge wenzake pamoja na Rais wamekaa kimya bila ile ripoti kuisoma baada ya kuwaona watanzania ni mabwege ,sasa leo jiwe anaona ni heri kumwondoa Assad ili aendelee kutafuna hizo fedha,
Kumuita rais jiwe ni tayari unaonyesha sumu na visasi ulivyonavyo juu yake.
Siasa za hoja mmeshindwa na sasa ni kuvizia matukio kila siku.
Shame on all of you
Mshenzi Mkubwa wewe, udhaifu wake upo wapi? Wewe kama Mme wako ni dhaifu kitandani usichukulie wanaume wote ni dhaifu...
Acha kuokota maneno huo mtandaoni na kuleta humu ndani.
Ulijuaje huyu aliyemaliza kabla ya utendaji wake!wasalaam, kuna habari zinasambaa kwa kasi sehemu mbalimbali nchini kwamba CAG mpya mh kichere ni dhaifu kutoka na historia yake ya utendaji huko nyuma. Habari zinasema kwamba bwana kichere ni mtu wa ndio mzee na kuanzia sasa ukaguzi wa hesabu za serekali utafanywa na serikali yenyewe kwa maelekezo kutoka pale nyumba nyeupe.
Tusubiri muda ni rafiki huenda ni majungu tu labda watu wanazusha. Maendeleo yana vyama usipochagua ccm hakuna kuletewa maendeleo.
Ova.