Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mwehu sio? Na we unaendelea kum quote mtu mwehu!Wewe mwehu utaendelea kubweka hadi uzeeke
Na porojo zako zisizo na kichwa wala miguu
Mbona Elimu yake ni dhaifu??CAG wa kwanza asiye na CPA Wala ACCA maajabu hayajaisha
Mkuu hizo qualities ulizotaja hapo nadhani kwa sasa usizitarajie, Lengo kuu kwa sasa ni mpira ufike kwa kipa whether kwa rafu or any means necessary.I am short of words mkuu,kweli am shocked kwa kiasi flani kwa taarifa hii na uteuzi huu.
Sina Doubts pale NAO sitegemei kuwepo kwa competence,intergrity,Objectivity kwenye utendaji kazi wao kwa kipindi hiki cha mteule huyu.
Lkn pia kifo cha NBAA nakiona nje nje,Mpk 2025 watakua na hali mbaya sana/wameshakufa kabisa hopefully Boss Maneno anajionea mwenyewe nadhani Nbaa watakua wamerudi nyuma kama miaka 15 Nyuma.
That "Diploma in Financial Management of Donor Funded Project" is a joke. It was conducted in 3 weeks, what sort of a diploma is that? I went through the same "course" but I dare NOT tell people of it.
Huyu jamaa ana CPA kweli? Alafu mbona elimu yake ina viraka vingi sana?Only in Tanzania. Miezi michache tu alimtumbua toka TRA hadi kuwa RAS.
Alisema dhahiri kashindwa kazi TRA. Sasa ataweza kuwa CAG na elimu yake yenye mashaka?
Hata mimi nimejiuliza maana kwenye CV yake ya kuunga unga sijaona CPA.Hivi kichere ana CPA/ACCA?
Ni member wa NBAA?
nina maana yangu kuuliza hivi wakuu.
Kiazi baba yako.Nyie wapinzani mpo timamu?
CAG anafanya kazi kwa mkataba wa miaka mitano
Km unampenda sana CAG mwajiri kwako kiazi we
October 2006: The National Board of Accountants and Auditors (NBAA)Hongera kwa uteuzi, mmmhh Kichere kwa performance aliyoonyesha TRA will he make a good CAG? Tumpe muda CV sio mbaya but hana CPA, hana ACCA. Ila nasema ni kumpa muda, sbb ameshafanya sana as internal auditor, kazi ataweza tu
Ndiyo sifa anazotaka Jiwe ili amburuze.Huyu jamaa ana CPA kweli? Alafu mbona elimu yake ina viraka vingi sana?
Kiazi baba yako.
Bado hajatimiza 60 years. Halafu unashangaa kitu gani wakati Pombe amebobea kukiuka katiba?
Mambo hayatakiwi kuenda hivi......kama hana baadhi ya vitu kwa nini ateuliwe....kwa dhoruba iliyomkuta hataweza kusimamia chochote...at last kifo cha Tanzania kimefikaHongera kwa uteuzi, mmmhh Kichere kwa performance aliyoonyesha TRA will he make a good CAG? Tumpe muda CV sio mbaya but hana CPA, hana ACCA. Ila nasema ni kumpa muda, sbb ameshafanya sana as internal auditor, kazi ataweza tu