CAG Ripoti 22/23: TEMESA inailipa Kampuni ya AZAM Tsh. Milioni 5 kila siku kuendesha Vivuko

CAG Ripoti 22/23: TEMESA inailipa Kampuni ya AZAM Tsh. Milioni 5 kila siku kuendesha Vivuko

Attachments

  • IMG_20240412_185536.jpg
    IMG_20240412_185536.jpg
    94.1 KB · Views: 4

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amependekeza TEMESA itathmini mikakati mbadala ya kupunguza utegemezi wa vivuko vya mwendokasi kwakuwa kuendelea kukodisha vivuko hivyo kutoka Kampuni ya Azam Marine kunaathiri uendelevu wa huduma ambapo TEMESA inailipa Azam ada ya huduma kila siku Tsh. milioni 5 pamoja na kodi ya zuio ya 5%.

Kupitia Ripoti Kuu ya Mwaka ya Ukaguzi wa Serikali Kuu kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023, CAG amesema “June 14, 2022, Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania (TEMESA) uliingia mkataba wa makubaliano (MoU) na Kampuni ya AZAM Marine Ltd ya kukodi na kuendesha vivuko viwili vya baharini ‘Sea Taxi 1’, na ‘Sea Taxi 2’ kati ya Magogoni na Kigamboni, mpango huu ulilenga kuongeza uwezo wa TEMESA kuhudumia Wateja kufuatia ukarabati mkubwa wa Kivuko cha MV Magogoni”

“Kila kivuko kilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 250 kwa kila safari, kwa mujibu wa Kifungu Na. 5 cha Mkataba wa Makubaliano, mkodishwaji (TEMESA ), analazimika kuilipa Kampuni ya AZAM Marine Ltd ada ya huduma kila siku ya Sh. milioni 5 (pamoja na kodi ya ongezeko la thamani) pamoja na kodi ya zuio ya 5%, Mkodishaji, Kampuni ya AZAM Marine itatoa ankara ya malipo kila mwezi inayoeleza idadi ya siku ambazo huduma ilitolewa kwa mkodishwaji katika mwezi husika”

“Nilibaini kuwa kuanzia July 1, 2022 hadi June 30, 2023, TEMESA ilikusanya jumla ya Sh. bilioni 5.76 za tozo za vivuko katika Kituo cha Magogoni - Kigamboni, kati ya fedha hizo, Sh. bilioni 1.83 (sawa na 31% ya makusanyo yote) zililipwa kwa Kampuni ya AZAM kwa ajili ya uendeshaji wa vivuko viwili”

“TEMESA ilibakiwa na Sh. bilioni 3.93 (69%) ili kulipia gharama za undeshaji kama vile mafuta ya vivuko, gharama za kazi, ukarabati na matengenezo, na gharama zinginezo, hata hivyo, kiasi kilichobaki cha Sh. bilioni 3.93 kilikuwa hakitoshi kulipa gharama hizo, hivyo kusababisha Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania kutumia fedha za vyanzo vingine kugharamia undeshaji wa kituo cha Magogoni - Kigamboni, hali hii inasabisha Wakala kuendelea kutegemea ruzuku ya serikali kugharamia shughuli zake badala ya kujitegemea, napendekeza TEMESA iongeze idadi ya vivuko ili kukabiliana na ongezeko la Wateja”
Kweli serikali imeshindwa kutengeneza vivuko kama hivyo vya Azam, au bora mradi wote wamuachie Azam Tu.
 
Kuna kitu sijaelewa Wakala wa umeme na vivuko vya magogoni vinahusiana vipi

Alafu hivyo vivuko vya serikali ukarabati wake unachukua miaka mingapi?

2022 Hadi Leo 2024 ukarabati haujakamilika
 

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amependekeza TEMESA itathmini mikakati mbadala ya kupunguza utegemezi wa vivuko vya mwendokasi kwakuwa kuendelea kukodisha vivuko hivyo kutoka Kampuni ya Azam Marine kunaathiri uendelevu wa huduma ambapo TEMESA inailipa Azam ada ya huduma kila siku Tsh. milioni 5 pamoja na kodi ya zuio ya 5%.

Kupitia Ripoti Kuu ya Mwaka ya Ukaguzi wa Serikali Kuu kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023, CAG amesema “June 14, 2022, Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania (TEMESA) uliingia mkataba wa makubaliano (MoU) na Kampuni ya AZAM Marine Ltd ya kukodi na kuendesha vivuko viwili vya baharini ‘Sea Taxi 1’, na ‘Sea Taxi 2’ kati ya Magogoni na Kigamboni, mpango huu ulilenga kuongeza uwezo wa TEMESA kuhudumia Wateja kufuatia ukarabati mkubwa wa Kivuko cha MV Magogoni”

“Kila kivuko kilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 250 kwa kila safari, kwa mujibu wa Kifungu Na. 5 cha Mkataba wa Makubaliano, mkodishwaji (TEMESA ), analazimika kuilipa Kampuni ya AZAM Marine Ltd ada ya huduma kila siku ya Sh. milioni 5 (pamoja na kodi ya ongezeko la thamani) pamoja na kodi ya zuio ya 5%, Mkodishaji, Kampuni ya AZAM Marine itatoa ankara ya malipo kila mwezi inayoeleza idadi ya siku ambazo huduma ilitolewa kwa mkodishwaji katika mwezi husika”

“Nilibaini kuwa kuanzia July 1, 2022 hadi June 30, 2023, TEMESA ilikusanya jumla ya Sh. bilioni 5.76 za tozo za vivuko katika Kituo cha Magogoni - Kigamboni, kati ya fedha hizo, Sh. bilioni 1.83 (sawa na 31% ya makusanyo yote) zililipwa kwa Kampuni ya AZAM kwa ajili ya uendeshaji wa vivuko viwili”

“TEMESA ilibakiwa na Sh. bilioni 3.93 (69%) ili kulipia gharama za undeshaji kama vile mafuta ya vivuko, gharama za kazi, ukarabati na matengenezo, na gharama zinginezo, hata hivyo, kiasi kilichobaki cha Sh. bilioni 3.93 kilikuwa hakitoshi kulipa gharama hizo, hivyo kusababisha Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania kutumia fedha za vyanzo vingine kugharamia undeshaji wa kituo cha Magogoni - Kigamboni, hali hii inasabisha Wakala kuendelea kutegemea ruzuku ya serikali kugharamia shughuli zake badala ya kujitegemea, napendekeza TEMESA iongeze idadi ya vivuko ili kukabiliana na ongezeko la Wateja”
Ni mkataba wa wizi tu. Vigogo wa Temesa huo mkataba wanakula na azam. Ndio ile tunasema vigogo Temesa wamejibinafsishia shirika. Ukiona Temesa inapata hasara sio hasara. Vigogo pamoja na bodi yao ya wakurugenzi wanachukua gawio huku hawajawekeza kitu na huku wanapata mishahara na posho kibao. Ndio sisi tunasema tunataka uongozi wa kimagufuli ndio suluhisho la ubadhirifu na wizi wa mali ya umma.
 
Mikata
Azam anajichukulia milioni 5 zake kila siku huku gharama za matengenezo, mafuta na nyingine ni mzigo wa wajinga..

Hii nchi ipo kama haina serikali, viongozi wake wote hawana akili.
watu wanafaidika kila Azam inapopiga mzigo! Sasa hayo mapantoni ya Temesa yatatiwa ubovu mkubwa ili watu waendelee kubunya.
 

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amependekeza TEMESA itathmini mikakati mbadala ya kupunguza utegemezi wa vivuko vya mwendokasi kwakuwa kuendelea kukodisha vivuko hivyo kutoka Kampuni ya Azam Marine kunaathiri uendelevu wa huduma ambapo TEMESA inailipa Azam ada ya huduma kila siku Tsh. milioni 5 pamoja na kodi ya zuio ya 5%.

Kupitia Ripoti Kuu ya Mwaka ya Ukaguzi wa Serikali Kuu kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023, CAG amesema “June 14, 2022, Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania (TEMESA) uliingia mkataba wa makubaliano (MoU) na Kampuni ya AZAM Marine Ltd ya kukodi na kuendesha vivuko viwili vya baharini ‘Sea Taxi 1’, na ‘Sea Taxi 2’ kati ya Magogoni na Kigamboni, mpango huu ulilenga kuongeza uwezo wa TEMESA kuhudumia Wateja kufuatia ukarabati mkubwa wa Kivuko cha MV Magogoni”

“Kila kivuko kilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 250 kwa kila safari, kwa mujibu wa Kifungu Na. 5 cha Mkataba wa Makubaliano, mkodishwaji (TEMESA ), analazimika kuilipa Kampuni ya AZAM Marine Ltd ada ya huduma kila siku ya Sh. milioni 5 (pamoja na kodi ya ongezeko la thamani) pamoja na kodi ya zuio ya 5%, Mkodishaji, Kampuni ya AZAM Marine itatoa ankara ya malipo kila mwezi inayoeleza idadi ya siku ambazo huduma ilitolewa kwa mkodishwaji katika mwezi husika”

“Nilibaini kuwa kuanzia July 1, 2022 hadi June 30, 2023, TEMESA ilikusanya jumla ya Sh. bilioni 5.76 za tozo za vivuko katika Kituo cha Magogoni - Kigamboni, kati ya fedha hizo, Sh. bilioni 1.83 (sawa na 31% ya makusanyo yote) zililipwa kwa Kampuni ya AZAM kwa ajili ya uendeshaji wa vivuko viwili”

“TEMESA ilibakiwa na Sh. bilioni 3.93 (69%) ili kulipia gharama za undeshaji kama vile mafuta ya vivuko, gharama za kazi, ukarabati na matengenezo, na gharama zinginezo, hata hivyo, kiasi kilichobaki cha Sh. bilioni 3.93 kilikuwa hakitoshi kulipa gharama hizo, hivyo kusababisha Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania kutumia fedha za vyanzo vingine kugharamia undeshaji wa kituo cha Magogoni - Kigamboni, hali hii inasabisha Wakala kuendelea kutegemea ruzuku ya serikali kugharamia shughuli zake badala ya kujitegemea, napendekeza TEMESA iongeze idadi ya vivuko ili kukabiliana na ongezeko la Wateja”
Ni Ujinga sana,Kwa nini Azam marine asiachwe huru kama private service provider na Serikali ikachukua Kodi zake kuliko huu Ujinga?
 

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amependekeza TEMESA itathmini mikakati mbadala ya kupunguza utegemezi wa vivuko vya mwendokasi kwakuwa kuendelea kukodisha vivuko hivyo kutoka Kampuni ya Azam Marine kunaathiri uendelevu wa huduma ambapo TEMESA inailipa Azam ada ya huduma kila siku Tsh. milioni 5 pamoja na kodi ya zuio ya 5%.

Kupitia Ripoti Kuu ya Mwaka ya Ukaguzi wa Serikali Kuu kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023, CAG amesema “June 14, 2022, Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania (TEMESA) uliingia mkataba wa makubaliano (MoU) na Kampuni ya AZAM Marine Ltd ya kukodi na kuendesha vivuko viwili vya baharini ‘Sea Taxi 1’, na ‘Sea Taxi 2’ kati ya Magogoni na Kigamboni, mpango huu ulilenga kuongeza uwezo wa TEMESA kuhudumia Wateja kufuatia ukarabati mkubwa wa Kivuko cha MV Magogoni”

“Kila kivuko kilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 250 kwa kila safari, kwa mujibu wa Kifungu Na. 5 cha Mkataba wa Makubaliano, mkodishwaji (TEMESA ), analazimika kuilipa Kampuni ya AZAM Marine Ltd ada ya huduma kila siku ya Sh. milioni 5 (pamoja na kodi ya ongezeko la thamani) pamoja na kodi ya zuio ya 5%, Mkodishaji, Kampuni ya AZAM Marine itatoa ankara ya malipo kila mwezi inayoeleza idadi ya siku ambazo huduma ilitolewa kwa mkodishwaji katika mwezi husika”

“Nilibaini kuwa kuanzia July 1, 2022 hadi June 30, 2023, TEMESA ilikusanya jumla ya Sh. bilioni 5.76 za tozo za vivuko katika Kituo cha Magogoni - Kigamboni, kati ya fedha hizo, Sh. bilioni 1.83 (sawa na 31% ya makusanyo yote) zililipwa kwa Kampuni ya AZAM kwa ajili ya uendeshaji wa vivuko viwili”

“TEMESA ilibakiwa na Sh. bilioni 3.93 (69%) ili kulipia gharama za undeshaji kama vile mafuta ya vivuko, gharama za kazi, ukarabati na matengenezo, na gharama zinginezo, hata hivyo, kiasi kilichobaki cha Sh. bilioni 3.93 kilikuwa hakitoshi kulipa gharama hizo, hivyo kusababisha Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania kutumia fedha za vyanzo vingine kugharamia undeshaji wa kituo cha Magogoni - Kigamboni, hali hii inasabisha Wakala kuendelea kutegemea ruzuku ya serikali kugharamia shughuli zake badala ya kujitegemea, napendekeza TEMESA iongeze idadi ya vivuko ili kukabiliana na ongezeko la Wateja”
Si wawaachie Azam tu wafanye hii shughuli ya vivuko!?
Maana hivyo vivuko vya Magogoni ni michosho havina ufanisi.
Yani ukisema utegemee kivuko cha MV.Magogoni unaeza kuta anaepitia daraja la nyerere akafika mjini wewe bado.
Vitu vingine waachieni watu wanaoweza kuviendesha kwa ufanisi.
 
Kama Azam wanapata asiliamia 31 ya makusanyo sioni shida ikiwa huduma zimeimarika sana na za uhakika! Sasa CAG alitaka Azam alipwe Tsh ngapi ikiwa anaingiza hela zote hizo? Labda tushauri tuu kuwa pengine Azam apewe kabisa hilo eneo la magogoni kuliendesha halafu serikali ipate kodi na wagawane makusanyo…..

Hiyo Mv Magogoni ipelekwe sehemu nyingine yenye changamoto ya Vivuko….Azam wapewe kuendesha hilo eneo kwa hizo speed boat kuliko kupoteza muda na hiyo MV magogoni!
 

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amependekeza TEMESA itathmini mikakati mbadala ya kupunguza utegemezi wa vivuko vya mwendokasi kwakuwa kuendelea kukodisha vivuko hivyo kutoka Kampuni ya Azam Marine kunaathiri uendelevu wa huduma ambapo TEMESA inailipa Azam ada ya huduma kila siku Tsh. milioni 5 pamoja na kodi ya zuio ya 5%.

Kupitia Ripoti Kuu ya Mwaka ya Ukaguzi wa Serikali Kuu kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023, CAG amesema “June 14, 2022, Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania (TEMESA) uliingia mkataba wa makubaliano (MoU) na Kampuni ya AZAM Marine Ltd ya kukodi na kuendesha vivuko viwili vya baharini ‘Sea Taxi 1’, na ‘Sea Taxi 2’ kati ya Magogoni na Kigamboni, mpango huu ulilenga kuongeza uwezo wa TEMESA kuhudumia Wateja kufuatia ukarabati mkubwa wa Kivuko cha MV Magogoni”

“Kila kivuko kilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 250 kwa kila safari, kwa mujibu wa Kifungu Na. 5 cha Mkataba wa Makubaliano, mkodishwaji (TEMESA ), analazimika kuilipa Kampuni ya AZAM Marine Ltd ada ya huduma kila siku ya Sh. milioni 5 (pamoja na kodi ya ongezeko la thamani) pamoja na kodi ya zuio ya 5%, Mkodishaji, Kampuni ya AZAM Marine itatoa ankara ya malipo kila mwezi inayoeleza idadi ya siku ambazo huduma ilitolewa kwa mkodishwaji katika mwezi husika”

“Nilibaini kuwa kuanzia July 1, 2022 hadi June 30, 2023, TEMESA ilikusanya jumla ya Sh. bilioni 5.76 za tozo za vivuko katika Kituo cha Magogoni - Kigamboni, kati ya fedha hizo, Sh. bilioni 1.83 (sawa na 31% ya makusanyo yote) zililipwa kwa Kampuni ya AZAM kwa ajili ya uendeshaji wa vivuko viwili”

“TEMESA ilibakiwa na Sh. bilioni 3.93 (69%) ili kulipia gharama za undeshaji kama vile mafuta ya vivuko, gharama za kazi, ukarabati na matengenezo, na gharama zinginezo, hata hivyo, kiasi kilichobaki cha Sh. bilioni 3.93 kilikuwa hakitoshi kulipa gharama hizo, hivyo kusababisha Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania kutumia fedha za vyanzo vingine kugharamia undeshaji wa kituo cha Magogoni - Kigamboni, hali hii inasabisha Wakala kuendelea kutegemea ruzuku ya serikali kugharamia shughuli zake badala ya kujitegemea, napendekeza TEMESA iongeze idadi ya vivuko ili kukabiliana na ongezeko la Wateja”
Sasa hawa nao ni wajinga mbona ni hesabu rahisi sana.
Kama unakusanya 5 bill na mbia analipwa bill 1.8. Kwa vivuko 2
Kwann usimwombe mbia (azam) akuletee kivuko kingine cha kuvusha vyombo vya moto then ukabaki kusimamia na ukapata faida maana utakuwa unamlipa 3.5 billion na utabaki na 1.5 billion. Hizo billion kusimamia kivukoni pale zinatosha kabisa maana unakodisha kampuni ya kusimamia machine za Scanner zile, ulizi na za usafi unazipa kwa mwezi basi unabaki na faida kubwa tu.
 
Hizi ni deal za watu. Ndiyo maana hawataki kuachia nchi. Wengine wamegeuza uongozi kuwa club ya usagaji.
Hebu naomba ufafanuzi zaidi eneo hilo la usagaji, hizi story nazisikia sana hebu elaborate tafadhali.
 
Back
Top Bottom