WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Hakika.Azam anajichukulia milioni 5 zake kila siku huku gharama za matengenezo, mafuta na nyingine ni mzigo wa wajinga..
Hii nchi ipo kama haina serikali, viongozi wake wote hawana akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika.Azam anajichukulia milioni 5 zake kila siku huku gharama za matengenezo, mafuta na nyingine ni mzigo wa wajinga..
Hii nchi ipo kama haina serikali, viongozi wake wote hawana akili.
na 120 x 12= 144 mil. per 1 year.Kwa siku 30 sawa na mil 120
Kweli serikali imeshindwa kutengeneza vivuko kama hivyo vya Azam, au bora mradi wote wamuachie Azam Tu.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amependekeza TEMESA itathmini mikakati mbadala ya kupunguza utegemezi wa vivuko vya mwendokasi kwakuwa kuendelea kukodisha vivuko hivyo kutoka Kampuni ya Azam Marine kunaathiri uendelevu wa huduma ambapo TEMESA inailipa Azam ada ya huduma kila siku Tsh. milioni 5 pamoja na kodi ya zuio ya 5%.
Kupitia Ripoti Kuu ya Mwaka ya Ukaguzi wa Serikali Kuu kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023, CAG amesema “June 14, 2022, Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania (TEMESA) uliingia mkataba wa makubaliano (MoU) na Kampuni ya AZAM Marine Ltd ya kukodi na kuendesha vivuko viwili vya baharini ‘Sea Taxi 1’, na ‘Sea Taxi 2’ kati ya Magogoni na Kigamboni, mpango huu ulilenga kuongeza uwezo wa TEMESA kuhudumia Wateja kufuatia ukarabati mkubwa wa Kivuko cha MV Magogoni”
“Kila kivuko kilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 250 kwa kila safari, kwa mujibu wa Kifungu Na. 5 cha Mkataba wa Makubaliano, mkodishwaji (TEMESA ), analazimika kuilipa Kampuni ya AZAM Marine Ltd ada ya huduma kila siku ya Sh. milioni 5 (pamoja na kodi ya ongezeko la thamani) pamoja na kodi ya zuio ya 5%, Mkodishaji, Kampuni ya AZAM Marine itatoa ankara ya malipo kila mwezi inayoeleza idadi ya siku ambazo huduma ilitolewa kwa mkodishwaji katika mwezi husika”
“Nilibaini kuwa kuanzia July 1, 2022 hadi June 30, 2023, TEMESA ilikusanya jumla ya Sh. bilioni 5.76 za tozo za vivuko katika Kituo cha Magogoni - Kigamboni, kati ya fedha hizo, Sh. bilioni 1.83 (sawa na 31% ya makusanyo yote) zililipwa kwa Kampuni ya AZAM kwa ajili ya uendeshaji wa vivuko viwili”
“TEMESA ilibakiwa na Sh. bilioni 3.93 (69%) ili kulipia gharama za undeshaji kama vile mafuta ya vivuko, gharama za kazi, ukarabati na matengenezo, na gharama zinginezo, hata hivyo, kiasi kilichobaki cha Sh. bilioni 3.93 kilikuwa hakitoshi kulipa gharama hizo, hivyo kusababisha Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania kutumia fedha za vyanzo vingine kugharamia undeshaji wa kituo cha Magogoni - Kigamboni, hali hii inasabisha Wakala kuendelea kutegemea ruzuku ya serikali kugharamia shughuli zake badala ya kujitegemea, napendekeza TEMESA iongeze idadi ya vivuko ili kukabiliana na ongezeko la Wateja”
Ni mkataba wa wizi tu. Vigogo wa Temesa huo mkataba wanakula na azam. Ndio ile tunasema vigogo Temesa wamejibinafsishia shirika. Ukiona Temesa inapata hasara sio hasara. Vigogo pamoja na bodi yao ya wakurugenzi wanachukua gawio huku hawajawekeza kitu na huku wanapata mishahara na posho kibao. Ndio sisi tunasema tunataka uongozi wa kimagufuli ndio suluhisho la ubadhirifu na wizi wa mali ya umma.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amependekeza TEMESA itathmini mikakati mbadala ya kupunguza utegemezi wa vivuko vya mwendokasi kwakuwa kuendelea kukodisha vivuko hivyo kutoka Kampuni ya Azam Marine kunaathiri uendelevu wa huduma ambapo TEMESA inailipa Azam ada ya huduma kila siku Tsh. milioni 5 pamoja na kodi ya zuio ya 5%.
Kupitia Ripoti Kuu ya Mwaka ya Ukaguzi wa Serikali Kuu kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023, CAG amesema “June 14, 2022, Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania (TEMESA) uliingia mkataba wa makubaliano (MoU) na Kampuni ya AZAM Marine Ltd ya kukodi na kuendesha vivuko viwili vya baharini ‘Sea Taxi 1’, na ‘Sea Taxi 2’ kati ya Magogoni na Kigamboni, mpango huu ulilenga kuongeza uwezo wa TEMESA kuhudumia Wateja kufuatia ukarabati mkubwa wa Kivuko cha MV Magogoni”
“Kila kivuko kilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 250 kwa kila safari, kwa mujibu wa Kifungu Na. 5 cha Mkataba wa Makubaliano, mkodishwaji (TEMESA ), analazimika kuilipa Kampuni ya AZAM Marine Ltd ada ya huduma kila siku ya Sh. milioni 5 (pamoja na kodi ya ongezeko la thamani) pamoja na kodi ya zuio ya 5%, Mkodishaji, Kampuni ya AZAM Marine itatoa ankara ya malipo kila mwezi inayoeleza idadi ya siku ambazo huduma ilitolewa kwa mkodishwaji katika mwezi husika”
“Nilibaini kuwa kuanzia July 1, 2022 hadi June 30, 2023, TEMESA ilikusanya jumla ya Sh. bilioni 5.76 za tozo za vivuko katika Kituo cha Magogoni - Kigamboni, kati ya fedha hizo, Sh. bilioni 1.83 (sawa na 31% ya makusanyo yote) zililipwa kwa Kampuni ya AZAM kwa ajili ya uendeshaji wa vivuko viwili”
“TEMESA ilibakiwa na Sh. bilioni 3.93 (69%) ili kulipia gharama za undeshaji kama vile mafuta ya vivuko, gharama za kazi, ukarabati na matengenezo, na gharama zinginezo, hata hivyo, kiasi kilichobaki cha Sh. bilioni 3.93 kilikuwa hakitoshi kulipa gharama hizo, hivyo kusababisha Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania kutumia fedha za vyanzo vingine kugharamia undeshaji wa kituo cha Magogoni - Kigamboni, hali hii inasabisha Wakala kuendelea kutegemea ruzuku ya serikali kugharamia shughuli zake badala ya kujitegemea, napendekeza TEMESA iongeze idadi ya vivuko ili kukabiliana na ongezeko la Wateja”
Wakipiga wewe unafadikika nini? unakuwa mpuuzi sana some time, kuna watu wabakufa kwa kukosa panadol, sasa unashangilia ujinga ili iweje?Pigeni hela bhana .
watu wanafaidika kila Azam inapopiga mzigo! Sasa hayo mapantoni ya Temesa yatatiwa ubovu mkubwa ili watu waendelee kubunya.Azam anajichukulia milioni 5 zake kila siku huku gharama za matengenezo, mafuta na nyingine ni mzigo wa wajinga..
Hii nchi ipo kama haina serikali, viongozi wake wote hawana akili.
Angekuwepo Magufuli wangekoma haoAlafu hivyo vivuko vya serikali ukarabati wake unachukua miaka mingapi?
2022 Hadi Leo 2024 ukarabati haujakamilika
Ni Ujinga sana,Kwa nini Azam marine asiachwe huru kama private service provider na Serikali ikachukua Kodi zake kuliko huu Ujinga?
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amependekeza TEMESA itathmini mikakati mbadala ya kupunguza utegemezi wa vivuko vya mwendokasi kwakuwa kuendelea kukodisha vivuko hivyo kutoka Kampuni ya Azam Marine kunaathiri uendelevu wa huduma ambapo TEMESA inailipa Azam ada ya huduma kila siku Tsh. milioni 5 pamoja na kodi ya zuio ya 5%.
Kupitia Ripoti Kuu ya Mwaka ya Ukaguzi wa Serikali Kuu kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023, CAG amesema “June 14, 2022, Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania (TEMESA) uliingia mkataba wa makubaliano (MoU) na Kampuni ya AZAM Marine Ltd ya kukodi na kuendesha vivuko viwili vya baharini ‘Sea Taxi 1’, na ‘Sea Taxi 2’ kati ya Magogoni na Kigamboni, mpango huu ulilenga kuongeza uwezo wa TEMESA kuhudumia Wateja kufuatia ukarabati mkubwa wa Kivuko cha MV Magogoni”
“Kila kivuko kilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 250 kwa kila safari, kwa mujibu wa Kifungu Na. 5 cha Mkataba wa Makubaliano, mkodishwaji (TEMESA ), analazimika kuilipa Kampuni ya AZAM Marine Ltd ada ya huduma kila siku ya Sh. milioni 5 (pamoja na kodi ya ongezeko la thamani) pamoja na kodi ya zuio ya 5%, Mkodishaji, Kampuni ya AZAM Marine itatoa ankara ya malipo kila mwezi inayoeleza idadi ya siku ambazo huduma ilitolewa kwa mkodishwaji katika mwezi husika”
“Nilibaini kuwa kuanzia July 1, 2022 hadi June 30, 2023, TEMESA ilikusanya jumla ya Sh. bilioni 5.76 za tozo za vivuko katika Kituo cha Magogoni - Kigamboni, kati ya fedha hizo, Sh. bilioni 1.83 (sawa na 31% ya makusanyo yote) zililipwa kwa Kampuni ya AZAM kwa ajili ya uendeshaji wa vivuko viwili”
“TEMESA ilibakiwa na Sh. bilioni 3.93 (69%) ili kulipia gharama za undeshaji kama vile mafuta ya vivuko, gharama za kazi, ukarabati na matengenezo, na gharama zinginezo, hata hivyo, kiasi kilichobaki cha Sh. bilioni 3.93 kilikuwa hakitoshi kulipa gharama hizo, hivyo kusababisha Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania kutumia fedha za vyanzo vingine kugharamia undeshaji wa kituo cha Magogoni - Kigamboni, hali hii inasabisha Wakala kuendelea kutegemea ruzuku ya serikali kugharamia shughuli zake badala ya kujitegemea, napendekeza TEMESA iongeze idadi ya vivuko ili kukabiliana na ongezeko la Wateja”
Si wawaachie Azam tu wafanye hii shughuli ya vivuko!?
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amependekeza TEMESA itathmini mikakati mbadala ya kupunguza utegemezi wa vivuko vya mwendokasi kwakuwa kuendelea kukodisha vivuko hivyo kutoka Kampuni ya Azam Marine kunaathiri uendelevu wa huduma ambapo TEMESA inailipa Azam ada ya huduma kila siku Tsh. milioni 5 pamoja na kodi ya zuio ya 5%.
Kupitia Ripoti Kuu ya Mwaka ya Ukaguzi wa Serikali Kuu kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023, CAG amesema “June 14, 2022, Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania (TEMESA) uliingia mkataba wa makubaliano (MoU) na Kampuni ya AZAM Marine Ltd ya kukodi na kuendesha vivuko viwili vya baharini ‘Sea Taxi 1’, na ‘Sea Taxi 2’ kati ya Magogoni na Kigamboni, mpango huu ulilenga kuongeza uwezo wa TEMESA kuhudumia Wateja kufuatia ukarabati mkubwa wa Kivuko cha MV Magogoni”
“Kila kivuko kilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 250 kwa kila safari, kwa mujibu wa Kifungu Na. 5 cha Mkataba wa Makubaliano, mkodishwaji (TEMESA ), analazimika kuilipa Kampuni ya AZAM Marine Ltd ada ya huduma kila siku ya Sh. milioni 5 (pamoja na kodi ya ongezeko la thamani) pamoja na kodi ya zuio ya 5%, Mkodishaji, Kampuni ya AZAM Marine itatoa ankara ya malipo kila mwezi inayoeleza idadi ya siku ambazo huduma ilitolewa kwa mkodishwaji katika mwezi husika”
“Nilibaini kuwa kuanzia July 1, 2022 hadi June 30, 2023, TEMESA ilikusanya jumla ya Sh. bilioni 5.76 za tozo za vivuko katika Kituo cha Magogoni - Kigamboni, kati ya fedha hizo, Sh. bilioni 1.83 (sawa na 31% ya makusanyo yote) zililipwa kwa Kampuni ya AZAM kwa ajili ya uendeshaji wa vivuko viwili”
“TEMESA ilibakiwa na Sh. bilioni 3.93 (69%) ili kulipia gharama za undeshaji kama vile mafuta ya vivuko, gharama za kazi, ukarabati na matengenezo, na gharama zinginezo, hata hivyo, kiasi kilichobaki cha Sh. bilioni 3.93 kilikuwa hakitoshi kulipa gharama hizo, hivyo kusababisha Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania kutumia fedha za vyanzo vingine kugharamia undeshaji wa kituo cha Magogoni - Kigamboni, hali hii inasabisha Wakala kuendelea kutegemea ruzuku ya serikali kugharamia shughuli zake badala ya kujitegemea, napendekeza TEMESA iongeze idadi ya vivuko ili kukabiliana na ongezeko la Wateja”
Inasikitisha kwa kweli.Mikata
watu wanafaidika kila Azam inapopiga mzigo! Sasa hayo mapantoni ya Temesa yatatiwa ubovu mkubwa ili watu waendelee kubunya.
Sasa hawa nao ni wajinga mbona ni hesabu rahisi sana.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amependekeza TEMESA itathmini mikakati mbadala ya kupunguza utegemezi wa vivuko vya mwendokasi kwakuwa kuendelea kukodisha vivuko hivyo kutoka Kampuni ya Azam Marine kunaathiri uendelevu wa huduma ambapo TEMESA inailipa Azam ada ya huduma kila siku Tsh. milioni 5 pamoja na kodi ya zuio ya 5%.
Kupitia Ripoti Kuu ya Mwaka ya Ukaguzi wa Serikali Kuu kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023, CAG amesema “June 14, 2022, Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania (TEMESA) uliingia mkataba wa makubaliano (MoU) na Kampuni ya AZAM Marine Ltd ya kukodi na kuendesha vivuko viwili vya baharini ‘Sea Taxi 1’, na ‘Sea Taxi 2’ kati ya Magogoni na Kigamboni, mpango huu ulilenga kuongeza uwezo wa TEMESA kuhudumia Wateja kufuatia ukarabati mkubwa wa Kivuko cha MV Magogoni”
“Kila kivuko kilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 250 kwa kila safari, kwa mujibu wa Kifungu Na. 5 cha Mkataba wa Makubaliano, mkodishwaji (TEMESA ), analazimika kuilipa Kampuni ya AZAM Marine Ltd ada ya huduma kila siku ya Sh. milioni 5 (pamoja na kodi ya ongezeko la thamani) pamoja na kodi ya zuio ya 5%, Mkodishaji, Kampuni ya AZAM Marine itatoa ankara ya malipo kila mwezi inayoeleza idadi ya siku ambazo huduma ilitolewa kwa mkodishwaji katika mwezi husika”
“Nilibaini kuwa kuanzia July 1, 2022 hadi June 30, 2023, TEMESA ilikusanya jumla ya Sh. bilioni 5.76 za tozo za vivuko katika Kituo cha Magogoni - Kigamboni, kati ya fedha hizo, Sh. bilioni 1.83 (sawa na 31% ya makusanyo yote) zililipwa kwa Kampuni ya AZAM kwa ajili ya uendeshaji wa vivuko viwili”
“TEMESA ilibakiwa na Sh. bilioni 3.93 (69%) ili kulipia gharama za undeshaji kama vile mafuta ya vivuko, gharama za kazi, ukarabati na matengenezo, na gharama zinginezo, hata hivyo, kiasi kilichobaki cha Sh. bilioni 3.93 kilikuwa hakitoshi kulipa gharama hizo, hivyo kusababisha Wakala wa Huduma za Umeme Tanzania kutumia fedha za vyanzo vingine kugharamia undeshaji wa kituo cha Magogoni - Kigamboni, hali hii inasabisha Wakala kuendelea kutegemea ruzuku ya serikali kugharamia shughuli zake badala ya kujitegemea, napendekeza TEMESA iongeze idadi ya vivuko ili kukabiliana na ongezeko la Wateja”
Hebu naomba ufafanuzi zaidi eneo hilo la usagaji, hizi story nazisikia sana hebu elaborate tafadhali.Hizi ni deal za watu. Ndiyo maana hawataki kuachia nchi. Wengine wamegeuza uongozi kuwa club ya usagaji.