Alibomoa hovyo jengo la tanesco kwa chuki tu pasipo sababu na chuki ndio imemua. Hakuna kitu kinachoua haraka Sana kama chuki, hasira, visasi inakumaliza na kuula moyo wako kwa haraka Sana.Jiulize why viongozi wa kiislamu wote still wangali hai tofauti na wakristo wote wamelala.Uwazi!!! uwazi!!! Haya ndio mambo alikuwa hayataki Marehemu sasa taratibu tutayaona madhara yake yale ya jengo la tanesco yanaweza kujiludia
Haina ugumu wowote kama ikifuatwa Katiba na SheriaNchi ngumu sana hii
Utaelewa tu!Z
Sas huyu cag kakagua ubadhirifu au nn mm cmuelrwi
MATAGA leo watalala na BIKINI, maana CAG kawashusha undersketi
CAG amesema stendi ya mabasi ya Magufuli iliyopo Kibamba manispaa ya Ubungo haikuwemo katika usanifu wa ujenzi wa barabara ya njia 8 kutoka Ubungo hadi Kibaha.
Kwa maana hiyo stendi ya Magufuli itaongeza msongamano wa magari tofauti na lengo la mradi huo wa barabara la kuondoa kabisa foleni kati ya Ubungo na Kibaha.
Ukinizingua Nitakuzingua!
Huyu atafika mpk KISARAWEHivi CAG anakagua hesabu za serekali au kila kitu
Amekosea au hajakosea?yooote hiyo nikutaka kuonyesha kuwa makufuli alikosea tutaona mengi
Who the https://jamii.app/JFUserGuide is Assad!Mtajuta kumfahamu, mwenzenu huko alipo anajilaumu angejua bora angemwacha Assad ππππ
Umenena vyema mzeemwenzangu. Shamba jipya nyani wale wale.Kama Jiwe angekuwa hai leo hii tungekuwa tunasikia mapambio tu kwenye report ya CAG, sifa za miradi zingetawala kwa jinsi gani imetekelezwa kwa ufanisi mkuu bila upotevu wa fedha.
Pengine wiki ijayo ATCL kwa mapana kabisa ingewasilisha gawio la faida kwa serikali. Binadamu tumeumbiwa unafiki, wale wale waliogundua mapungufu katika yale yaliyofanywa na serikali ya Jiwe ndio hao hao waliokuwa wanapongeza kuwa miradi yote ilikuwa ni yenye tija kwa nchi.
pale barabarani jioni kuna foleni ila huwa inasababishwa na madaladala na bajaji wakiwekwa trafiki wa kutosha na wasichukue rushwa panakaa sawa
kuna wale trafiki wanazi hivi wanajulikana basi wawekwe pale pakikaa sawa wawaludishe wazee wa ya kubrashia viatuAroo!! wasichukue nini??
Matokeo yana ufanisi sawa sawa na yeye mwenyeweMwenda zaek mwanasayansi, injinia, shemist, IGP, gavana wa BOT, msanifu wa barabara na majengo, in short mwenda zake alikua anamudu sekta zote, ona sasa matokeo yake