Sasa mmeo mbona kala hasara kwa akili zako alafu unatako gumu [emoji1].
Kwahiyo tusiiamini report ya CAG, we mama VP
Madaraja yatakua mangapi sasa hizi helaMojawapo na solution ni ujenzi wa njia Mbezi shule mpaka Bunju via mabwepande ili mabus yote yaendayo kaskazini yapite hapo bila kurudi Morogoro road,
Pili njia ya Kibamba mpiji Magoe makabe njia panda ya Goba hii itakuwa Kama Mbezi bypass.
Lakini pia kutoka mloganzira kwenda kisarawe au kinyerezi hizi ziwe Kama bypass au ring road na mwisho ujunzi wa daraja mbezi
Sahihi Mkuu, wamekazana kumchafua mwenda zake utadhani wao walikuwa pembeni. Kimsingi wanajivua nguo wenyewe. Wangekaa kimya waendelee kupiga kazi. Penye shida wanarekebisha. Kuna lipi baya alilolifanya mwenda zake ambalo wao hawahusiki? Walikuwepo na walikuwa watekelezaji wa haya yote.tukisema kuna harakati za chini chini kumzima mwendazake wajuha wanapiga yowe.
Watoto kama nyie mm najipigia tuNitakuwa nimepakatwa mama yako,mjue tu lile jizi muda huu linachezea virungu vya malaika katili kuliko yeye.
Mkuu daraja peke yake sio solution.Madaraja yatakua mangapi sasa hizi hela
CAG ni mkaguzi wa shughuli zote za serikali. Popote pale serikali imetumia pesa CAG lazima akague.Kwahiyo CAG ni mkaguzi wa mipango miji? Duuh
Usihofu ata kinamaa walioenda eji kama mm napiga tu....usione sooMimi sio saizi yako usijilinganishe na mimi,uwe na adabu inaonekana umeanza maisha kipindi cha Magufuli ndio maana ulikuwa unamuona mungu mtu.
Mm nakutia ww hahaa usihamishe magoliUnamaanisha unamtomba mama yako?
Utahangaika bure lkn kitu ishapenya pole sana...Mimi sifiri
wewe tako unapeleka wapi???
Niambie ni kituo kipi katika nchi hii ambapo gari zikiingia na kutoka hazisababishi foleniCAG ni mkaguzi wa shughuli zote za serikali. Popote pale serikali imetumia pesa CAG lazima akague.
Na haji na vigezo vyake Bali vigezo vyenu mlivyoweka na mlivyotumia kujustify huo mradi. Maana mlipewa pesa kwa sababu mtakwenda kutatua changamoto fulani Sasa CAG akija anavichambua hivyo vigezo vyenu ili kuona value for money.
Issue sio kusababisha foleni scope ya foleni ndio Jambo la msingi.Niambie ni kituo kipi katika nchi hii ambapo gari zikiingia na kutoka hazisababishi foleni