CAG: Uwanja wa Ndege Chato ni mradi usio na faida

Bora uwe na asset nyingi kuliko uwe hauna na ulivyonavyo umevifanya kama dhamana.
Mwendazake ameacha asset nyingi sana.hebu vuta picha mwaka 2005 tulikuwa na uwanja wa ben mkapa, mwaka 2022 bado hauna hata matangazo ya kidigital kama ule wa azam complex.
 
Politics tupu. Kuna mtu ameshauri ofisi ya CAG ifungwe kuwe na kandarasi ya ukaguzi wa mahesabu ya serikali kupitia Deloitte au KPMG
 
Politics tupu. Kuna mtu ameshauri ofisi ya CAG ifungwe kuwe na kandarasi ya ukaguzi wa mahesabu ya serikali kupitia Deloitte au KPMG
Jiwe aliifanya Tanzania kuwa mali yake
 
Politics tupu. Kuna mtu ameshauri ofisi ya CAG ifungwe kuwe na kandarasi ya ukaguzi wa mahesabu ya serikali kupitia Deloitte au KPMG
huo ushauri ni wa hovyo. CAG yupo kikatiba na anafanya kazi yake vizuri. Sukuma Gang mmetomaswa kidogo tu mnasisimka. Tulieni mpigwe show
 
kwa utaratibu CAG anatoa ushauri baada ya kufanya ukaguzi. Nakumbuka CAG wa sasa aliteuliwa mwezi November ama December 2019 na kwa mujibu wa taarifa, uwanja ulianza kujengwa mwaka 2016. Na kwenye ripoti yake ambayo nimeisoma anasema amekagua viwanja vya Geita, Songea, Shinyanga, JNIA, Dodoma, nk.
Kwenye ripoti hiyo kuna mambo mengi. Hata hapo kwenye Geita/Chato nimeona kuna tofauti kati ya mkataba na pesa ambayo imelipwa hadi leo. Ungesoma ripoti
 
CAG anawalaumu bure TAA na TANROADS kwa ujenzi wa kiwanja cha ndege CHATO.
CAG awe na ujasiri wa kusema aliyetoa amri uwanja ujengwe bila matayarisho yoyote ni Rais Magufuli.
CAG dont beat around the bush.
 
Akili zingine zilikua za ajabu sana sasa kule kijijini watu waende kufuata nini?
 
Naona kama hufahamu vizuri haya mambo. Mimi napitia taarifa hizi mara kwa mara. Kuna taarifa humu mitandaoni kwamba uwanja huo ulianza kujengwa mwaka 2016. Huyu CAG wa sasa nadhani aliteuliwa 2019 mwishoni. Kuanzia mwaka 2015 sijaona taarifa ya CAG ya ukaguzi wa viwanja vya ndege, mwaka jana ndio kakagua. Siamini kwamba huko nyuma kuanzia Prof Assad na yeye walificha bali walikuwa hawajakagua. CAG hawezi toa maoni bila kukagua, sasa kakagua katoa maoni.
 
Kipindi kile rais alikuwa dikteta, nani hapendi kuishi kama kina Lissu walijaribu kusema wakapigwa kitu,kina Mbowe wakabomolewa biashara na kufilisiwa,wabunge wakanunuliwa kama bidhaa. Kama tunapigana risasi CAG yeye hapendi kuishi. Sio hapo tu Assad aliondolewa kama beki tatu. Huoni tishio hapo?
Hivi hujawahi kumsikia Assad akisema alinyimwa nyaraka za ununuzi wa ndege na Jiwe?
 
Ukweli ni kwamba huo uwanja hata ukikamilika kwa 200%, kama hauna faida za kiuchumi, ni hasara tu kwa Taifa. Utafifia mwaka baada ya mwaka kwa kukosa ndege na wasafiri, na mwisho utakufa.

Ni sawa ukajenge uwanja mzuri wa mpira wa miguu kama wa Arsenal Nyarugusu, itakiwa ni uharibifu wa pesa, uwanja hautageuka kuwa timu, mashabiki au wachezaji wa mpira. Mambo kama hayo yanafanywa na watu wajinga, watu waliokosa uelewa.

Tatizo inaonekana huelewi ni nini kinasababisha kingine. Fikiria, marehemu alilazimisha jengo kubwa zuri la CRDB bank kujengwa Chato, je, kutokana na jengo hilo, kwenye potifolio ya CRDB bank, Tawi la Chato limepanda kwa sababu ya jengo kubwa?
 
Cag aaminiki hata kidogo. Je angekuwepo Magu angesema hayo?
 
#TRUTH_MUST_TOLD....
haiwezekani kuendesha NCHI kwa njia ya kificho !.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…