CAG: Uwanja wa Ndege Chato ni mradi usio na faida

CAG: Uwanja wa Ndege Chato ni mradi usio na faida

Ni kweli watwambie ni wapi viwanja vyenye faida? Mzee kaingia hata ndege hamna, sasa wenyewe wanapanda kwenda ulaya huku wakimponda!
Acha kujitoa ufahamu, ulishawahi taka kwenda ulaya ukakosa ndege!? Hii purely matumizi mabaya ya Hela za walipakodi
 
Kwa sababu waafrica wengi mawazo yao ni finyu na fupi ndiyo maana wanasema mradi wa chato aina faida. Tunataka faida ya leo na si ya kesho.

Wanaojiita wataalamu na wanasiasa hawajui kuwa watu wanaongezeka kila kukicha. Dar es salaam ya mwaka 1990 siyo ya leo 2022. Hatuna long term plan bali miradi zetu nyingi ni za muda mfupi. Kila alioko madarakani anawaza atengeneze ya leo na si ya kesho kwa faida ya vizazi vijavyo.

Hata wanaojiita wapinzani wakiingia madarakani hawatabadili chochote. Kila mwanasiasa yupo kwa maslai yake binafsi.

Mwanasiasa anataka utawala na si kusaidia Raia wanaostaabika kila kukicha. Mwanasiasa si rafiki wa mwananchi wa kawaida. What they need is only power.
Uwanja wa chato hauna faida na hiyo ndiyo ripoti ya CAG.
 
Tulisema tukaitwa wapinzani tuna wivu.

Sasa wenye mamlaka wa kusema wamesema.

.https://www.instagram.com/p/CcUyVOhtBIe/?igshid=YmMyMTA2M2Y=
Hiv ule uwanja uliojengwaga cjui kama ilikamilika Lindi kipnd cha JK ilikuwa na faida gani??, na kpnd cha jpm uwanja wa iringa una faida gan maana mkoa wa iringa tunaujua vizur ata movement za ndege airport pale tunafaham vizur.
Acheni chuki binafsi tafuteni hela.
 
Tulisema tukaitwa wapinzani tuna wivu.

Sasa wenye mamlaka wa kusema wamesema.

.https://www.instagram.com/p/CcUyVOhtBIe/?igshid=YmMyMTA2M2Y=
Iviiii alivokuwa haiiii mbona awakuyasema hayaaaaaa????
 
Hiv ule uwanja uliojengwaga cjui kama ilikamilika Lindi kipnd cha JK ilikuwa na faida gani??, na kpnd cha jpm uwanja wa iringa una faida gan maana mkoa wa iringa tunaujua vizur ata movement za ndege airport pale tunafaham vizur.
Acheni chuki binafsi tafuteni hela.
Huu upuuzi wako kamuulize CAG
 
Hata bus kusimamia msata kubeba abiria mmoja ni hasara, cag atuambie hiyo hasara inatokana na nn
 
Bila ccm tanzania tungekuwa matajiri sana kulingana na rasilimali tulizo nazo.
Fikiria symbion walitekeleza mkataba Kwa mwezi mmoja, na mkataba kuvunjwa then wanafidiwa billion 350!! Ni wapi duniani hii inaweza kutokea!?!?
 
No surprises here! Kuna mahali nilisoma unahudumia watu 250 Kwa mwezi Kwa Ile bei ya 45,000 Mwanza Chato, mara 3, Kwa mwezi. Unapata trip 24, go n return, kila trip abiria 10, on average WTF, na hakuna mizigo!

Aisee! Yaani tunamimina sukari baharini! Maybe siku 1 tutaelewa hatutaweza kubadili ladha ya maji!
 
Fikiria symbion walitekeleza mkataba Kwa mwezi mmoja, na mkataba kuvunjwa then wanafidiwa billion 350!! Ni wapi duniani hii inaweza kutokea!?!?
Naamini tulistahili kuitwa shamba la bibi
 
Bongo unafiki umetawala sana. Kama ingekuwa ni miaka miwili nyuma, kamwe asingejaribu kutoa maoni ya aina hii.
Yule CAG kabla yake aliulizwa swali na mjomba,"Eti kuna hela trion kadhaa zimeibwa?.
CAG mjomba hakuna kitu kama hicho.JK ukiwa Rais na Chairman unakuwa na nguvu kwelikweli.
 
Yule CAG kabla yake aliulizwa swali na mjomba,"Eti kuna hela trion kadhaa zimeibwa?.
CAG mjomba hakuna kitu kama hicho.JK ukiwa Rais na Chairman unakuwa na nguvu kwelikweli.
Mungu hawatupi waja wake
 
Huo uwanja wa Chato ulikuwa na umuhimu gani kujengwa chato wakati kuna uwanja wa Mwanza na pale Bukoba?
Umuhimu ulikuwepo kama tuliweza kupima corona kwenye mapapai natukamshangilia eti nimzalendo.huku akituma ndege ikachukue juice Madagascar wakati WHO hajaidhinisha
 
Back
Top Bottom