Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
|Sawa BashiteKutua ndege za kiraia na kijeshi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
|Sawa BashiteKutua ndege za kiraia na kijeshi.
Asante idiot!|Sawa Bashite
Bibi akoAsante idiot!
Mama yako je mkuu?Bibi ako
Zikitokea igumbilo kwenda kyaka au?Kutua ndege za kiraia na kijeshi.
Uwanja wa ndege Musoma ni uwanja mdogo tu hivyo hata gharama zake za ujenzi nazo ni ndogo vilevile, uwanja wa ndege Chato ni uwanja mkubwa kwa vigezo vya viwanja vya ndege Duniani.Hivi uwanja wa ndege wa Chato unatofauti gani na Uwanja wa Ndege wa Musoma unaojengwa? Au wa Mtwara? Hizo faida anazotaka CAG ni zipi? Zionekane baada ya mda fani? Maana nina hakika ata ujenzi wa terminal 3 Mwaimu Nyerere bado hatujaanza kupata faida
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui kama chato ipo mkoa geita? Nani alikudanganya ni kijijini?Tofauti ni kuwa viwanja vya Musoma na Mtwara vimejengwa miji mikuu ya mikoa sehemu ambazo kuna watu na biashara nyingi wakati uwanja wa Chato umejengwa kijijini kwenye watu wachache ni biashara chache!
Uelewa wako ni mdogo huwezijua kitu hapo. Endelea na comment za udaku tu!Zikitokea igumbilo kwenda kyaka au?
Kama alivyolazimishwa ndugaiAngelazimishwa kustaafu
Uelewa wako ni mdogo huwezijua kitu hapo. Endelea na comment za udaku tu!
Allah ndo nani? Mimi simwamini Allah's wako mimi namwamini Jehova! Mungu wa Isaka!Na kila mtu atalipwa kwa aliyoyatenda.Usisahau hilo. Ni Allah huyohuyo aliyemtaja vibaya Firaun mpaka kwenye vitabu vya dini ili watu wajao wajue kuwa Farao alikuwa mbaya. Na Allah kawataja vema watu wema.
So, ukiishi vibaya utataja vibaya na ukiishi na watu vizuri utataja vizuri.tujitahidi tuishi vizuri na tusiumize watu kwasababu ya vyeo vyetu,vitaondoka na sisi tutaondoka
Muulize shangazi akoMama yako je mkuu?
Kwani Geita hakuna vijiji? Chato siyo kijiji?Hujui kama chato ipo mkoa geita? Nani alikudanganya ni kijijini?
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Popote pale!!!!Mahali pasipo na hoja?