Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu unaijua dada yangu. Mambo ni mengi, tena yanafanyika bila vificho ila watanzania ni wazembe. Ni aina ya watu ambao hawana zile guts za "IMETOSHA SASA"Sijui Prof Assad alikosea wapi mpaka kawa CAG wa kwanza Mtanzania hapa Tanzania kutokuongezewa mkataba baada ya miaka mitano kuisha. View attachment 1252964View attachment 1252965
Jiwe ataficha ufisadi kwa muda tu anajidanganyaSijui Prof Assad alikosea wapi mpaka kawa CAG wa kwanza Mtanzania hapa Tanzania kutokuongezewa mkataba baada ya miaka mitano kuisha. View attachment 1252964View attachment 1252965
Miaka mitano ya mwanzo ikiisha unaweza kuongezewa tena term nyingine. Ludovick aliongezewa na Jayaya Kikwete. Sijui Assad alikosea nini hadi kaweka historia ya kuwa CAG wa kwanza mzalendo kutokuongezewa muda.Hivi mwanasheria wa ikulu ni nani? Na amesoma chuo gani? Usikute ana certificate hata kutafsiri katiba inamshinda
Miaka mitano ya mwanzo ikiisha unaweza kuongezewa tena term nyingine. Ludovick aliongezewa na Jayaya Kikwete. Sijui Assad alikosea nini hadi kaweka historia ya kuwa CAG wa kwanza mzalendo kutokuongezewa muda.