CAG wa kwanza Mtanzania kutokuongezewa mkataba baada ya miaka yake yake mitano ya kwanza kumalizika

CAG wa kwanza Mtanzania kutokuongezewa mkataba baada ya miaka yake yake mitano ya kwanza kumalizika

Karudie kusoma tena Ibara ya 144 ya katiba, labda unaweza kuja na mtazamo tofauti na huu.
Mkuu huo ndo ukweli, naomba wewe ukarudie...kipindi cha ziada kinazungumzwa kwa MTU aliyetimiza umri Wa kustaafu.fixed term maana yake rais hawezi mteua Assad kwa miaka 2 kushika nafasi ile.
 
Alikosea pale alipoibua upigaji wa 1.5 trill

Awamu hii kuna upigaji mkubwa mkubwa kwahiyo CAG mzalendo kama prof Assad hawahitajiki kabisa kuongezewa muda maana ataibua wizi kama ule wa 1.5 tril
 
Mkuu huo ndo ukweli, naomba wewe ukarudie...kipindi cha ziada kinazungumzwa kwa MTU aliyetimiza umri Wa kustaafu.fixed term maana yake rais hawezi mteua Assad kwa miaka 2 kushika nafasi ile.
Una maana gani kusema hivyo.

Sidhani kama umeielewa vyema.
 
Hata baadae ukija ibuliwa haitasaidia,maana Rais mstaafu hawezi shitakiwa labda uwe utawala nje ya CCM kitu ambacho ni ngumu utawala nje ya CCM kutokea.

Kama yeye haitii hiyo katiba, atatakaje wengine watii wakati huo? Ukiua kwa upanga utauwawa kwa upanga pia.
 
Hivi unaelewa maana ya Neno "shall" kwenye Sheria au unabisha Kwa kutumia makalio yako
Nioneshe hiyo shall mkuu, inakuja baada ya matumizi ya neno lipi.

Soma Ibara Yote,Usichague neno moja.

Halafu kama huna uelewa wa sheria japo kidogo hutaweza kuelewa tafsiri ya vifungu. Hizo ni taaluma za watu.

Watanzania tuna tabia mbaya ya kutoheshimu taaluma za watu kwa kujifanya tunajua kila kitu.
 
Una maana gani kusema hivyo.

Sidhani kama umeielewa vyema.
Mkuu fixed term of 5 years wewe unaelewaje? Maana yake ni kwamba rais hawezi mteua CAG kuhudumia nafasi hiyo chini ya miaka mitano.kwa mfano Assad kwa sasa hana umri Wa kustaafu hivi kwa umri wake Wa miaka 58 kubaki ofisini ni lazima kwa miaka mitano mingine.Hiyo sio ombi ni hitaji la kikatiba.2024 rais angeweza mwondoa au mwongezea miaka mitano mingine.Rais kashauriwa vibaya Na AG.
 
Mkuu fixed term of 5 years wewe unaelewaje? Maana yake ni kwamba rais hawezi mteua CAG kuhudumia nafasi hiyo chini ya miaka mitano.kwa mfano Assad kwa sasa hana umri Wa kustaafu hivi kwa umri wake Wa miaka 58 kubaki ofisini ni lazima kwa miaka mitano mingine.Hiyo sio ombi ni hitaji la kikatiba.2024 rais angeweza mwondoa au mwongezea miaka mitano mingine.Rais kashauriwa vibaya Na AG.
Muda wake wa miaka mitano umeisha nov 2.

Katiba haisemi kuwa lazima apewe mingine mitano akimaliza mitano ya awali.

Hivyo Rais yupo sahihi kutoongeza mitano kwani kuongeza mitano mingine ni Discretion yake.

ILA ;

hawezi kuondolewa ndani ya miaka mitano bila kufuata taratibu zilizoainishwa katika hiyo Ibara.
 
Muda wake wa miaka mitano umeisha nov 2.

Katiba haisemi kuwa lazima apewe mingine mitano akimaliza mitano ya awali.

Hivyo Rais yupo sahihi kutoongeza mitano kwani kuongeza mitano mingine ni Discretion yake.

ILA ;

hawezi kuondolewa ndani ya miaka mitano bila kufuata taratibu zilizoainishwa katika hiyo Ibara.
Mkuu twende taratibu, unafahamu CAG hawezi ondolewa bila timiza umri Wa kustaafu? Kwa mujibu Wa katiba? Pitia ibara 144
 
Miaka mitano ya mwanzo ikiisha unaweza kuongezewa tena term nyingine. Ludovick aliongezewa na Jayaya Kikwete. Sijui Assad alikosea nini hadi kaweka historia ya kuwa CAG wa kwanza mzalendo kutokuongezewa muda.
Ushasema mzalendo
Haya tangu lini mzalendo akadumu madarakani?

Kwa upande wangu Ni Bora hivyo kuepusha mabalaa zaidi
 
Mkuu twende taratibu, unafahamu CAG hawezi ondolewa bila timiza umri Wa kustaafu? Kwa mujibu Wa katiba? Pitia ibara 144
sawa hiyo ni katika ule muda wa miaka 5 ;

ILA sasa anaweza ondoka baada ya kumaliza muda wake wa miaka 5 soma Section 6 ya THE PUBLIC AUDIT ACT OF 2008 Insema;

6. Tenure of office

(1) The Controller and Auditor-General shall hold office for the fixed term of five years and shall be eligible for renewal for one term only.


Meaning atakuwa madarakani kwa kipindi cha miaka mitano, na kama akitimiza vigezo atachaguliwa kwa
wa kipidi kingine kisichozidi miaka mitano.

Section 7(1) ya The Public Audit Act, imetambua ibara ya 144 ambayo ndiyo imezungumzia namna CAG anaweza ondolewa ndani ya muda wake wa miaka 5 aliyochaguliwa .

Katiba haijaweka tenure of office of CAG, Tenure of Office of CAG inapatikana tu katika The Public Audit Act,2008, ambayo ni fixed period of five years only na isiyozidi 10 years kama akiqualify na kuongezwa mingine mitano.
 
Mkuu huo ndo ukweli, naomba wewe ukarudie...kipindi cha ziada kinazungumzwa kwa MTU aliyetimiza umri Wa kustaafu.fixed term maana yake rais hawezi mteua Assad kwa miaka 2 kushika nafasi ile.
Kumbuka Ludovic Utouh hakumaliza miaka yake mitano ya term ya pili. Aliteuliwa kuendelea term ya pili ila alifika miaka ya kustaafu kabla miaka mitano ya season two haijaisha.
 
Mkuu katiba ni hio hapo wapi wamezungumzia swala la kipindi cha miaka mitano? Swala la msingi ni kufikisha miaka 60 huyu mtu ana miaka 58 inakuaje?
Note umri wa CAG kustaafu ni miaka 65. Ludovic aliondoka akiwa na miaka 65.
 
Kama yeye haitii hiyo katiba, atatakaje wengine watii wakati huo? Ukiua kwa upanga utauwawa kwa upanga pia.
Sio hivyo kwa wote .Ndo leadership ya Africa. Rais ndo kila kitu.
 
Mkuu twende taratibu, unafahamu CAG hawezi ondolewa bila timiza umri Wa kustaafu? Kwa mujibu Wa katiba? Pitia ibara 144
Yes ila kwa ile miaka mitano ya mwanzo. Assad alikuwa eligible kuteuliwa tena maana CAG anastaafu akiwa na miaka 65.Hivyo Assad angeweza kuendelea term ya pili na kumaliza mitano mingine. Tena angemaliza term ya pili kabla hata hajafika 65.
 
Kwa mujibu Wa katiba Assad alipaswa kustaafu 2024, baada ya hapo rais angeweza kumuongezea kama angeridhika Na utendaji wake, kumuondoa sasa rais kavunja katiba...
Hapana miaka mitano ya mwanzo inaisha kesho. Rais hajataka tu kumuongezea mingine mitano. Na kama angeongezewa mitano mingine ingeisha kabla ya umri wa kustaafu. Maana CAG wanastaafu wakiwa na 65 yrs kama ilivyokuwa kwa Ludovic Utouh.
 
We naweee.si zile 1.5 trillion zilizokanyagwa.
Wakataka akae kimya mzee Assad akagoma.
Ccm wanalindana na mwenyekiti wao.
Wajukuu zetu watakuja kuishangaa Sana ccm.kumlinda mwenyekiti wao
Miaka mitano ya mwanzo ikiisha unaweza kuongezewa tena term nyingine. Ludovick aliongezewa na Jayaya Kikwete. Sijui Assad alikosea nini hadi kaweka historia ya kuwa CAG wa kwanza mzalendo kutokuongezewa muda.
 
Back
Top Bottom