CAG wa kwanza Mtanzania kutokuongezewa mkataba baada ya miaka yake yake mitano ya kwanza kumalizika

CAG wa kwanza Mtanzania kutokuongezewa mkataba baada ya miaka yake yake mitano ya kwanza kumalizika

Cag mpya division 1 form iv div 1 form 6 yeye ni kipanga. Yule div 0 siangalii elimu cjapa kazi!
Unajinasibu wewe ni mzalendo, lakini wazalendo wa kweli hutaki kufanya nao kazi ila jamii ya watu kama Musiba na Bashite wanaoimba utukufu kwa jina lako.
Ni watu wajinga tuu ndio watakao shindwa kuelewa HADAA yako ya huo uzalendo, ila muda utasema tuu na hata hao waliofungwa macho na akili watatambua hizo hadaa.
 
Cag mpya division 1 form iv div 1 form 6 yeye ni kipanga. Yule div 0 siangalii elimu cjapa kazi!
Hapo hapo! Watu waki conclude kuwa anaropoka wanaonekana wanakosa adabu, lakini hiyo ni nini kama sio kuropoka tuu?
 
Back
Top Bottom