Alikuwa mtu anayeita moja ni moja, mbili ni mbili, sasa Mzee Baba jiwe anataka uwe mtu uliyeokotwa jalalani, jua uliite mvua, baridi uiite joto nk, now prof Assad was a definition of a professional kitu ambacho Mzee Baba hakubaliani nacho. Ndo mana kaamua kusigina katiba akijua Kuwa bongo sasa hivi hamna wa kumnyooshea kidole.Bunge ndo Hilo la yule mgogo na Yule dada wa kinyakyusa asiejielewa,aka wazee wa maagizo kutoka juu, mahakama ipo hoi e.g kesi za wahujumu uchumi zimeendeshwa Kwa maagizo kutoka kwenye muhimili uliojichimbia Chini zaidi kama Ile ya vyanzo vya maji.nachoweza kusema Kwanza sindano ituingie ndo kuna siku labda watz tunaweza amua fate yetu. but for now acha jiwe atambe afanye vile anaona itampendeza yy na waimba mapambio wake, period.