Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile zilikwenda wapi?According to CAG.
Mbona mbowe kavunja katiba ya chadema hataki kuitisha uchaguzi je siku tukiwapa nchi chadema sijui itakuwaje wakatavyo vuja katiba ya nchiHao viongozi wako Wa upinzani pambana nao, umri Wa kustaafu CAG ni miaka 60, Assad ana miaka 58, rais kavunja katiba waziwazi.Assad alipaswa kustaafu 2024.Rais angeweza kuteua mwingine muda huo au kumuongezea muda usiozidi miaka mitano.
Kwa kiswahili cha kwetu, Watanzania ni MAZUZU, MAZEZETA..Sababu unaijua dada yangu. Mambo ni mengi, tena yanafanyika bila vificho ila watanzania ni wazembe. Ni aina ya watu ambao hawana zile guts za "IMETOSHA SASA"
Sababu unaijua dada yangu. Mambo ni mengi, tena yanafanyika bila vificho ila watanzania ni wazembe. Ni aina ya watu ambao hawana zile guts za "IMETOSHA SASA"
Miaka mitano ya mwanzo ikiisha unaweza kuongezewa tena term nyingine. Ludovick aliongezewa na Jayaya Kikwete. Sijui Assad alikosea nini hadi kaweka historia ya kuwa CAG wa kwanza mzalendo kutokuongezewa muda.
Maadui wa Bwana Yule wanazidi kuongezeka. 2020 yaja kuna kila dalili kutoongezewa muda wa kupeperusha bendera na chama chake. Yangu macho.Hata ungalikuwa wewe usingemuongeza muda
Daudi A. BashiteHivi mwanasheria wa ikulu ni nani? Na amesoma chuo gani? Usikute ana certificate hata kutafsiri katiba inamshinda
Hiii nini?Ndio Kwan we ulitakaje? Kama Vipi sabiri ukiwa Rais umteuee
Hajui kula na vipofu.
Miaka mitano ya mwanzo ikiisha unaweza kuongezewa tena term nyingine. Ludovick aliongezewa na Jayaya Kikwete. Sijui Assad alikosea nini hadi kaweka historia ya kuwa CAG wa kwanza mzalendo kutokuongezewa muda.
Kauli hii yaweza kuhatarisha maisha yake. Lakini kwa vile ni mcha Mungu basi tutegemee kuwa atamlinda mzalendo huyuTatizo ni Trilioni 1.5.
Ila badae atakuja kuwa shahidi muhimu sana dhidi ya Mtu mahakamani.
Pamoja na ccm kujaa mbumbumbu, lakini ninamashaka sana 2020 kama wataendelea kuwa mbumbumbuMaadui wa Bwana Yule wanazidi kuongezeka. 2020 yaja kuna kila dalili kutoongezewa muda wa kupeperusha bendera na chama chake. Yangu macho.