Tetesi: CAG was Kenya Aibuka na mapya - Ksh 725 Billioni zilitumika nje ya mfumo wa uhasibu (IFMIS)

Tetesi: CAG was Kenya Aibuka na mapya - Ksh 725 Billioni zilitumika nje ya mfumo wa uhasibu (IFMIS)

10,000 Kenyans own 62% of your economy, actual figure is that, nearly 50M Kenyans share only 38% of the Economy, so the figure you talk about is only for calculation.

And somehow those 10,000 Kenyans have built 10,000 more km of roads than Tanzania. Connected 5 million houses to electricity than Tanzania. Wow!
 
Hahahahaha, Tanzania people are malnourished but alive, Kenya people eat more food but are dying left and right.

Worse. We can afford to feed our 200 hungry people. But you can't afford to feed your 55 million malnourished people.
 
Keep on dreaming, Kama hata chakula wala MAJI safi na salama, mambo ambayo ni basics hamuwezi, vipi muweze kuishinda Giant Tanzania katika mambo hayo?, Tanzania leads in every sector except corruption and tribalism
And somehow those 10,000 Kenyans have built 10,000 more km of roads than Tanzania. Connected 5 million houses to electricity than Tanzania. Wow!
 
Hizo data zote zimekua verified na WB na UNDP, mwisho mtakataa kwamba hakuna ukabila Kenya.

Mashirika yale yale yanayosema kwamba uchumi wa Tanzania, Uganda, Burundi na South Sudan ukiunganishwa huwezi fikia wa Kenya.
 
Ahahaha so watu wa north korea ni masokwe????😆😆😆😂 kwani nani hajengi barabara ??? Ukubwa wa tanzania ni mara mbili ya kenya na maeneo mengi yanafkikia kwa lami wewe unaongea nn

Tanzania haina jangwa. Wengi wa watanzania ni rural farmers, ambao hawahitaji kwenda soko. Wanalima chakula chao chote.
 
Keep on dreaming, Kama hata chakula wala MAJI safi na salama, mambo ambayo ni basics hamuwezi, vipi muweze kuishinda Giant Tanzania katika mambo hayo?, Tanzania leads in every sector except corruption and tribalism

Brainwashed zombie.
 
Hizi bangi za kukaa nyuma ya keyboard na kushindana ujinga, eti kisa ku prove kuwa nyie waKenya ni bora wakati pesa zinapigwa nje nje muache..

Mi naomba tufikie muda sasa kwenye mambo ya kipuuzi kama haya ya kifisadi tuwe tunaungana...kama TZ wameficha data kwa IMF ni upuuzi basi tuungane wote na kukemea, na kama CAG wa Kenya amesema pesa zimepigwa basi ni jambo la kipuuzi kujifanya unajua mambo eti mfichie mwafrika vitu kwa kitabu wakati pesa zinapigwa.

Mwisho wa siku sisi raia tutaendelea kushindana kwa mikelele isiyo na faida huku nchi zetu zikididimia...

Tujifunze kwa mfano wa UAE na Nigeria, wote wana mafuta, ila tu kwa kuwa kuna wapuuzi wanaringa wao ni giant basi linchi lao limejaa rushwa na umaskini uliopitiliza..Nchi kuwa na uchumu haimaanishi raia wa kawaida kama mimi kuwa na uchumi mkubwa.
 
Dar is Slum

Jiji lote ni slum
Uhahhahahah😂😂😂👇👇👇👇👇

A479CFD2-A468-43A9-A9B7-63E26DE9DCDB.png
 
Hizi bangi za kukaa nyuma ya keyboard na kushindana ujinga, eti kisa ku prove kuwa nyie waKenya ni bora wakati pesa zinapigwa nje nje muache..

Mi naomba tufikie muda sasa kwenye mambo ya kipuuzi kama haya ya kifisadi tuwe tunaungana...kama TZ wameficha data kwa IMF ni upuuzi basi tuungane wote na kukemea, na kama CAG wa Kenya amesema pesa zimepigwa basi ni jambo la kipuuzi kujifanya unajua mambo eti mfichie mwafrika vitu kwa kitabu wakati pesa zinapigwa.

Mwisho wa siku sisi raia tutaendelea kushindana kwa mikelele isiyo na faida huku nchi zetu zikididimia...

Tujifunze kwa mfano wa UAE na Nigeria, wote wana mafuta, ila tu kwa kuwa kuna wapuuzi wanaringa wao ni giant basi linchi lao limejaa rushwa na umaskini uliopitiliza..Nchi kuwa na uchumu haimaanishi raia wa kawaida kama mimi kuwa na uchumi mkubwa.
Uchumi wenyewe 66% ya GDP ni madeni tu kazi waliobakia nayo ni kukopa loan kulipa loan😆😆😆😆
 
Tanzania haina jangwa. Wengi wa watanzania ni rural farmers, ambao hawahitaji kwenda soko. Wanalima chakula chao chote.
So UAE yote ni jangwa ushawah sikia wanalia na njaa???😆😆😆😆

Mkubali kua kenya ni failed state

Watu wanapiga 725b ksh alaf unataka north kenya wasife njaa
 
So UAE yote ni jangwa ushawah sikia wanalia na njaa???[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Mkubali kua kenya ni failed state

Watu wanapiga 725b ksh alaf unataka north kenya wasife njaa
Yani sio Kenya tu mzee, hata sisi Tz ni failed state, ni sawa na viziwi wanaochekana tu..eti mimi maskio yangu yanaskia upepo
 
Yani sio Kenya tu mzee, hata sisi Tz ni failed state, ni sawa na viziwi wanaochekana tu..eti mimi maskio yangu yanaskia upepo
Kaka nchi haiwi failed state kutokana na personal wishes, Kenya imekuwa ranked as a failed state na ruputable international bodies baada ya kufanya scientific research.
 
Kaka nchi haiwi failed state kutokana na personal wishes, Kenya imekuwa ranked as a failed state na ruputable international bodies baada ya kufanya scientific research.
Basi tu kwa kuwa ni battle za kipuuzi, hizo international bodies ndizo tulizozinyima data za uchumi mjomba..

Kwa kifupi tu wakati sisi tunalumbana nani ni bora kwa mwenzie hawa Makenge aka donor countries wanatupiga ndani nje...

Mbona sisi tunalilia uhuru wa medias..bado sisi wote ni failed states..

Sema tu hawa wenzetu wa Kenya wanajitia wako juu kwa maneno wakati nyuma ya Pazia hali yao ni tete zaidi ya tete
 
Mashirika yale yale yanayosema kwamba uchumi wa Tanzania, Uganda, Burundi na South Sudan ukiunganishwa huwezi fikia wa Kenya.
Na ndio hao hao wanaoitaja Kenya kama failed state, corrupt, high crime rate, hunger, unemployment, slums and poverty
 
Yaani CAG wa tanzania alete ripoti mbaya kuliko CAG wa kenya!!!!

Haya nayo yangekuwa maajabu ya 2019,nzima.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom