CAG: Watoto wa Masikini wapigwa chini mikopo elimu ya juu, Watoto wa matajiri wala bata

CAG: Watoto wa Masikini wapigwa chini mikopo elimu ya juu, Watoto wa matajiri wala bata

Wote ni watanzani na wote wanahaki ya kupewa mikopo Watanzania tuache akili za kimajungu majungu kwaiyo akiwa mtoto wa tajiri ndo asitahili mkopo
Mambo mengne ni mambo ya kuraumu baba zenu na mama zenu kwa nn ni maskini na kwa nn walkubali kua maskin
Ila mambo ya kuona kuna group la watu ndo linahaki ya kunufaika na lasilimali za nchi na lingne halina haki

Kla ktu maskin mnataka mpewe kla ktu wanyonge ndo mnataka mtangulizwe.
Tz yan mtu akiwa tajiri ni kosa hatakiwi
kua na haki wakat hao matajiri ndo wanalipa kodi na kuiingizia mapato makubwa serikal

Watanzania tuache majungu na akili za kifukala yani mtu atafute pesa zake ajinyime kwa miaka atengeneze mtaji awe na pesa/ atajilike af tena akose amani ksa ni tajiri

Wacha bodi ya mikopo itoe mikopo kwa yyte yule anaestahili na mwenye vigezo na ata watoto wanaongoza kwa ufauru Tz ni watoto wa matajiri izo St zote wanasoma wanojiweza
 
Mangapi mazuri yalifanywa? Sahizi tozo, mfumuko, ufisadi na bado mengi mtayasikia mtajivunia uongozi kwa lipi?
Things speak by themselves.
Mazuri yanajali utu na ubinadamu wa watanzania na sio kikundi flani.
 
Ni Tanzania pekee ndo watu maskini wanajionaga ni muimu sana ktk jamii kulko kundi jingne lolote kla kitu maskin mnataka mpewe kipaumbele wakat nyie ndo mnaongoza
Kwa uzaaji usio na mipango
Kuzaa watoto weng
Ngono zembe
Starehe
Uvivu
Majungu /fitna
Uchawi na ushirikina
 
Kitu kilikuwa kinamcost ni ukatili angeweza liepuka hilo angekuwa rais mzuri sana. Sema ndo hivyo tena haiwekani labda uko akiwa kiongozi wa malaika asiwakatili malaika.
Huwezi kuwajibisha watu kama huna calibre ya ukatili!

Tukumbuke tu growth only comes when step of the comfort zone so usitegemee growth kwa Laissez- faire president!
 
Hii ripoti ni ukaguzi wa mwaka a fedha 1st July2000/ 30th May 2021 ambao baba yenu JPM alikua hai mpaka 17/3/2021. Mama aliongoza kwa takribani miezi miwili.

Huu ni uozo wa JPM
 
MENEJI MENTI YA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU IVUNJWE. PAMEJAA MATAPELI,MADALALI,WALARUSHWA HAKUNA MWENYE NAFUU HAPO.

NINARUDIA KUSEMA MH. RAIS NDIO ANALEA HUYU MKURUGENZI NA MADALALI WAKE WALIOJAA MPAKA HUKO KWENYE KANDA ZAO
 
Wote dugu moja
Mifumo ni ile ile ndugu. Kwa nchi hii hata aje nani kututawala hakuna kitakachobadilika. Ni mpaka pale tutakapobadilisha falsafa yetu na mtizamo kama taifa. Jiwe aliamua tu kutumia maguvu ili mambo angalau yaende...na kwa kiasi fulani yalienda!

Hata leo hii wakipewa nchi akina DJ na Wabelgiji hakuna kitakachobadilika. Tutakachofanya tu ni kubadilisha walaji ambalo pengine ni jambo jema. Mianasiasa! [emoji706][emoji706][emoji706]
tapatalk_1522873691287.jpg
 
Mifumo ni ile ile ndugu. Kwa nchi hii hata aje nani kututawala hakuna kitakachobadilika. Ni mpaka pale tutakapobadilisha falsafa yetu na mtizamo kama taifa. Jiwe aliamua tu kutumia maguvu ili mambo angalau yaende...na kwa kiasi fulani yalienda!

Hata leo hii wakipewa nchi akina DJ na Wabelgiji hakuna kitakachobadilika. Tutakachofanya tu ni kubadilisha walaji ambalo pengine ni jambo jema. Mianasiasa! [emoji706][emoji706][emoji706]
View attachment 2187126
Kwani kwa sasa Falsafa yenu kama taifa ni ipi??

Kwa katiba hii ya mkoloni yeyote anaweza kufanya huu upuuzi kwasababu katiba tunayotumia ilitengenezwa mahususi in a favor of mtawala.

Katiba mpya itakayoweka mazingira ya uwajibijikaji kwa watawala ndiyo solution.
 
Madogo wa 2021 - 2022 ( first year), wanateseka sana vyuoni matajiri 100% masikini wamelipiwa laki 2 hadi laki 4 wengine wameghairisha mwaka wa masomo,, first year wana maisha magumu wengine hadi saizi boom hawajapata wengine wamepewa wiki iliyopita.
 
Uelewa wa watu Sasa upo juu wasijisahaulishe wakidhani wanaweza dhurumu na watu wasijue kuwa hapa nakandwa.
 
Back
Top Bottom