Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 4,285
- 4,074
Kumbuka pia, CAG alifukuzwa kazi wakati wa Jiwe kwa kuweka wazi ufisadi.Mangapi mazuri yalifanywa? Sahizi tozo, mfumuko, ufisadi na bado mengi mtayasikia mtajivunia uongozi kwa lipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka pia, CAG alifukuzwa kazi wakati wa Jiwe kwa kuweka wazi ufisadi.Mangapi mazuri yalifanywa? Sahizi tozo, mfumuko, ufisadi na bado mengi mtayasikia mtajivunia uongozi kwa lipi?
Wewe jamaa unafaa upewe ban kwa uharo ulioandikaWote ni watanzani na wote wanahaki ya kupewa mikopo Watanzania tuache akili za kimajungu majungu kwaiyo akiwa mtoto wa tajiri ndo asitahili mkopo
Mambo mengne ni mambo ya kuraumu baba zenu na mama zenu kwa nn ni maskini na kwa nn walkubali kua maskin
Ila mambo ya kuona kuna group la watu ndo linahaki ya kunufaika na lasilimali za nchi na lingne halina haki
Kla ktu maskin mnataka mpewe kla ktu wanyonge ndo mnataka mtangulizwe.
Tz yan mtu akiwa tajiri ni kosa hatakiwi
kua na haki wakat hao matajiri ndo wanalipa kodi na kuiingizia mapato makubwa serikal
Watanzania tuache majungu na akili za kifukala yani mtu atafute pesa zake ajinyime kwa miaka atengeneze mtaji awe na pesa/ atajilike af tena akose amani ksa ni tajiri
Wacha bodi ya mikopo itoe mikopo kwa yyte yule anaestahili na mwenye vigezo na ata watoto wanaongoza kwa ufauru Tz ni watoto wa matajiri izo St zote wanasoma wanojiweza
Na kangi lugola a k a mzalendo uchwalaAwamu ya Dikteta Jiwe report ya CAG iliweka wazi kina Kigwangala walivyoiba pesa za umma, je kuna hatua zozote za kisheria walichukuliwa??
Pole zao kwa kweli wenye bahat kipind cha jiwe alitoa tamko moja tu hakuna first year kukosa mkopo na kweli wote tulipataHakuna wa kumlaumu kama kwa %kubwa wasiojiweza wamekosa mikopo ili hali wanavigezo.
Kwani Mama Mwenye nyumba alishasema " hata watoto wenye uwezo nao wanufaike mikopo" yote hayo ni kupindua mambo aliyofanya Past President kwajuhudi alizokuw akifanya. Na kwasababu alitamki ulitegemea board wafanye nini, kilichobaki ni kutekekeza tu.
Yaani kwa hapo RUSHWA imechezwa sana kwenye mikopo...
Watoto wa matajiri wanapata mikopo 100% kuliko watoto wasiojiweza.
Hii sisawa Japokuwa sisi wote ni Watanzania!
View attachment 2186766
Hii ripoti ni ya awamu ipi? Mimi ninajua ni ya 2020/2021 sasa Mama hapa anaingiaje?Hakuna wa kumlaumu kama kwa %kubwa wasiojiweza wamekosa mikopo ili hali wanavigezo.
Kwani Mama Mwenye nyumba alishasema " hata watoto wenye uwezo nao wanufaike mikopo" yote hayo ni kupindua mambo aliyofanya Past President kwajuhudi alizokuw akifanya. Na kwasababu alitamki ulitegemea board wafanye nini, kilichobaki ni kutekekeza tu.
Yaani kwa hapo RUSHWA imechezwa sana kwenye mikopo...
Watoto wa matajiri wanapata mikopo 100% kuliko watoto wasiojiweza.
Hii sisawa Japokuwa sisi wote ni Watanzania!
View attachment 2186766
Eheeee ndio maana unamsingizia Mama kwa ripoti ambayo si yake ya Mwaka wa fedha ya Mama inaanza July 2021 tatizo unaandika kwa hisia wakati ukweli haujui report ya CAG ya sasa ni ya Mwaka July 2020/2021 June kaa chini Calculate hesabu zakoMagufuli hakuwa Dikteta, hiyo nakataa!