CAG: Watoto wa Masikini wapigwa chini mikopo elimu ya juu, Watoto wa matajiri wala bata

Wewe jamaa unafaa upewe ban kwa uharo ulioandika
 
Pole zao kwa kweli wenye bahat kipind cha jiwe alitoa tamko moja tu hakuna first year kukosa mkopo na kweli wote tulipata
 
aniii CAG anatoa uozoo wa taifa lakn mama anaupiga mwing marekanii.....kwann asingepokea taarfa za CAG afu ndo aende zake kwenye uzinduzi wa filam yake iyoo...aniii hii nchiii asee[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Hii ripoti ni ya awamu ipi? Mimi ninajua ni ya 2020/2021 sasa Mama hapa anaingiaje?
 
Magufuli hakuwa Dikteta, hiyo nakataa!
Eheeee ndio maana unamsingizia Mama kwa ripoti ambayo si yake ya Mwaka wa fedha ya Mama inaanza July 2021 tatizo unaandika kwa hisia wakati ukweli haujui report ya CAG ya sasa ni ya Mwaka July 2020/2021 June kaa chini Calculate hesabu zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…