Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

Wacha kudanganya , hakuna kabila la Abdulla bin salaam wala hakuna sanamu iliyoitwa Makkah sijui umechukua kanisani kwenu ??
Angalau usome kwanza usikurupuke kujibu hata kisichosemwa.
 
Wewe endelea tu kutumia zile dawa zako za huo ugonjwa wako wa akili ukiziwacha utarudishwa tena Mirembe pole sana
 
Ni ujinga tu waislamu wa huku Buza. Nimetembea Senegal ina 95% Waislamu lakini hawana hizi ushamba kwanza za kuwa na sigida usoni, kunyanyasa Wakristu hata kuwabagua. Ni hawa wa huku kwetu tu akina Ponda ndiyo wana mambo ya kindezi
Ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
 
Kwa hiyo mkristo akiwa anakula kakitimoto kake hapo wewe muislam unachukia
Kwa nini mnakosa uvumilivu? Na uvumilivu ni ishara ya upendo
😅 Tunatofautiana katika mapokezi (kuelewa elimu) . Waislamu hatuli hiyo lakini haifanyi umkataze mkristo asile yeye ale kwako hakuna mtu ataenda kumzuia

Changamoto iliyopo ni kuwa kuna watu wanapokea mafundisho negative Yani mfano kwasababu yeye hana gari basi anachukia serikali ijenge barabara anaona ni useless. Yaani wengine huchukia kutaka hata wanaokula waondoke ni ngumu kwasababu tumechanganyikana issue iko hivi mkristo anaekula ale kistaarabu azingatie miiko ya mwenzie kwamba huyu hali sio afanye kusudi akapikie mlangoni mwa yule asiyekula.


Na huyu asiyekula afahamu kuwa tumechanganyikana hivyo sitakiwi kuingilia uhuru wa yule anaekula.
 
1. Mbona nchi zote hizo zimeruhusu uhuru wa kuabudu kwenye katiba zao? Na waislam wengi wanakimbilia kwenda kuishi kwenye nchi hizo.?

2. Je nchi kama Saudi Arabia yenye waislam wengi kwa nini wanaogopa kuruhusu ujenzi wa makanisa, wanaogopa nini sasa..?

3. Nyerere alinyanyasaje waislam wakati alitaifisha shule za wakristo ili kuwafanya waislamu wapate elimu kwani hawakuwa na elimu yoyote ya maana ukilinganisha na wakristo na akamfanya Kawawa kuwa waziri mkuu wakati hakuwa kabisa na sifa ya kuwa hata mkuu wa mkoa.

Watu mumekalia lawama tu zisizo na msingi wakati mmebebwa sana katika nchi hii.
 
Ndio maana waislamu hawawezi kukaa na wapumbavu kama nyinyi


Mnauchukia sana uislamu,


Ukijaribu kuangalia comments za humu ndio utaona uhalisia

Kama wakristo wangekua wanauchukia uislamu mbona ingekuwa wazi,shida uislam ni dini dhaifu sana isiyoweza kujisimamia na kujitambua hasa ulimwengu wa sasa ambao ni wa mwingiliano na jamii tofauti tofauti.
 
Ukikubali coexistence maana yake umekubali Mungu wako inawezekana si Mungu wa kweli.

Ukiamini kabisa Mungu wako ndiye wa kweli, hutakiwi kukubali coexistence na watu wasioamini Mungu wako.

Coexistence na nani sasa? Na shetani?
 
Dar ni jiji la waislamu, so unaweza ukahamia Moshi au Mbeya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…