Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

Wewe Mkuu kaza tu shingo yako wakati unaona context za hilo andiko ktk Revelation ni tofauti na lile la katika Isaiah. Kule kwenye Quran yenu Iko straight forward kuwa ALLAH ni SHETANI.
Leo umejua nini context ??
 
Pamoja na kuwa sikusudii kubadilisha mada yako
Naomba unitajie Nchi walau 5 zenye Wakristo kwa asilimia 90 (hata sio hiyo 99% uliyo iliyotaja) kwani nikisema 99% unaweza ukaambulia sifuri
Ugiriki, Vatican, Vatican, Armenia
 
Wewe Mkuu kaza tu shingo yako wakati unaona context za hilo andiko ktk Revelation ni tofauti na lile la katika Isaiah. Kule kwenye Quran yenu Iko straight forward kuwa ALLAH ni SHETANI.

Mungu Kinyozi:

Biblia inasema

"Siku hiyo Bwana atanyoa kichwa na nywele za miguuni, kwa wembe ulioajiriwa, yaani, kwao ng'ambo ya Mto, na kwa mfalme wa Ashuru; nao utazimaliza ndevu." ( Isaya 7:20 )

Hivi ndivyo Mungu anafanya?? Atanyoa miguu ya watu, ndevu na kichwa kwa wembe wa kukodiwa. Hana hata yake mwenyewe. Je, hii ni kazi ya Mungu?



B. Mungu anayezomea:


“Naye atawainua bendera mataifa kutoka mbali, na kuwapigia mluzi kutoka miisho ya dunia; na tazama, watakuja kwa kasi upesi” (Isaya 5:26).

"Na itakuwa katika siku hiyo, kwamba Bwana atawapigia makofi inzi aliye katika mwisho wa mito ya Misri, na nyuki aliye katika nchi ya Ashuru." ( Isaya 7:18 )

Hivi ndivyo Mungu anafanya?? Kwamba anaenda kuzomea kama nyoka

C. Kunguruma Mungu.

"BWANA atatoka kama shujaa, ataamsha wivu kama mtu wa vita; atalia, naam, atanguruma; atawashinda adui zake." ( Isaya 42:13 )

“Watakwenda kumfuata BWANA; atanguruma kama simba; ( Hosea 11:10 )

D. Si Mwenye Nguvu Zote.

"Naye BWANA alikuwa pamoja na Yuda, naye akawatoa wenyeji wa mlimani; lakini hakuweza kuwatoa wenyeji wa bondeni, kwa sababu walikuwa na magari ya chuma." ( Waamuzi 1:19 )



Ambapo biblia hiyo hiyo inatuambia kwamba Mungu ni muweza wa yote.


"...lakini kwa Mungu yote yanawezekana." ( Mathayo 19:26 )

Mtu anaweza kuona migongano ya wazi katika sifa za Mungu katika biblia iliyobadilishwa na mwanadamu.


E. Mungu alipumzika siku ya saba


"Ni ishara kati ya mimi na wana wa Israeli milele; maana kwa siku sita Bwana alifanya mbingu na nchi, akastarehe siku ya saba, akastarehe." (Kutoka 31:17)


"Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya." (Mwanzo 2:2)



"Maana, kwa siku sita BWANA alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo BWANA akaibarikia siku ya sabato akaitakasa." (Kutoka 20:11)


Sabato ni matusi yaliyosimama kwa Mungu katika biblia kwa sababu kulingana na hiyo Mungu alipumzika siku hii. Kwa hiyo Wakristo na Wayahudi wameamriwa kupumzika siku hii.


“Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;

10. Lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako; siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufugwa, wala mgeni aliye ndani ya malango yako” (Kutoka 20:9-10).
 
Desperate Palestinians fleeing Gaza stand at the Egyptian border. Egypt, an Arab country, is refusing to open its borders to the refugees. Not a single Arab country has offered to take in the refugees.
 
Mungu wetu wakristo ni Mungu wa amani, upendo na kujali wengine, ndie Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo.
Ndie mungu alituamuru kamwe TUSIUE na TUWAPENDA HATA MAADUI ZETU
Hebu wao waislamu watuambie kuhusu 'mungu' wao.
 
I have got you Sir, loud and clear!

So what can be done, to make islam evolve like catholics?
 
Hivi Yesu wa Nazareti na Issa wa Madina ni mtu mmoja?
 
Hivi Yesu wa Nazareti na Issa wa Madina ni mtu mmoja?

Nazareti - Mji Uliojengwa na WanaTheolojia


The Lost City


The Gospels tell us that Jesus's home town was the 'City of Nazareth' ('polis Natzoree'):




The gospels do not tell us much about this 'city' – it has a synagogue, it can scare up a hostile crowd (prompting JC's famous "prophet rejected in his own land" quote), and it has a precipice – but the city status of Nazareth is clearly established, at least according to that source of nonsense called the Bible.


However when we look for historical confirmation of this hometown of a god – surprise, surprise! – no other source confirms that the place even existed in the 1st century AD.



None of this would matter of course if, rather like at the nearby 'pagan' city of Sepphoris, we could stroll through the ruins of 1st century bath houses, villas, theatres etc. Yet no such ruins exist.
 
Kwa nn wanakimbilia ulaya ambako watu wanajiua daily?
 
Jibu swali nililokuuloza siyo ukopi mawazo wa waarabu/waislamu wanaotaka kuufifisha uwepo wa Yesu.Tanakh n vitabu vingi vya kihistoria vinamuongelea Jesus the Nazarean.Je huyu ndo Issa wa madina?
 
Ndugu,
Naona unahamisha mada, je wewe unajua kuna watu wangapi wanajiua hapa tanzania?
Unaweza kukuta ni idadi kubwa kuliko hao, ni vile weupe ni watafiti na wakusanya taarifa.
 
Pamoja na kuwa sikusudii kubadilisha mada yako
Naomba unitajie Nchi walau 5 zenye Wakristo kwa asilimia 90 (hata sio hiyo 99% uliyo iliyotaja) kwani nikisema 99% unaweza ukaambulia sifuri
𝗭𝗶𝗽𝗼 𝗻𝗰𝗵𝗶 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 𝘆𝗮 𝟭𝟱 𝘇𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗪𝗮𝗸𝗿𝗶𝘀𝘁𝗼 𝘄𝗲𝗻𝗴𝗶 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 𝗱𝘂𝗻𝗶𝗮𝗻𝗶( 𝗲𝗹𝗲𝘄𝗮 𝗻𝗲𝗻𝗼 "𝘄𝗲𝗻𝗴𝗶 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 𝗱𝘂𝗻𝗶𝗮𝗻𝗶) 𝗻𝗶𝘇𝗶𝗷𝘂𝗮𝘇𝗼 𝗺𝗶𝗺𝗶 𝗻𝗶 𝗵𝗶𝘇𝗶
𝟭.𝗠𝗮𝗿𝗲𝗸𝗮𝗻𝗶.
𝟮.𝗕𝗿𝗮𝘇𝗶𝗹
𝟯.𝗠𝗲𝘅𝗶𝗰𝗼
𝟰.𝗜𝗰𝗲𝗹𝗮𝗻𝗱
𝟱. 𝗚𝗲𝗼𝗿𝗴𝗶𝗮.
 
Jibu swali nililokuuloza siyo ukopi mawazo wa waarabu/waislamu wanaotaka kuufifisha uwepo wa Yesu.Tanakh n vitabu vingi vya kihistoria vinamuongelea Jesus the Nazarean.Je huyu ndo Issa wa madina?
Nikujibu kwani lini ulisikia yesu ametoka madina
 
Nyie ndio laana vaeni pampasi kama mlivoamrishwa dini hii iacheni kama ilivyo ninyi fuateni yenu
𝗕𝗶𝘀𝗵𝗮𝗻𝗮 𝗸𝘄𝗮 𝗵𝗼𝗷𝗮 𝗺𝗸𝘂𝘂.
 
Ndugu,
Naona unahamisha mada, je wewe unajua kuna watu wangapi wanajiua hapa tanzania?
Unaweza kukuta ni idadi kubwa kuliko hao, ni vile weupe ni watafiti na wakusanya taarifa.
Unaehamisha mada ni wewe , nimekuwekea link hapo uone mwenyewe hizo nchi unazoziona zina furaha , mbona ndizo zinaongoza kwa watu kujiua au kiengereza hukifahamu ??

Ndiyo furaha zikizidi watu hujiua ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…