Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

Wewe Mkuu kaza tu shingo yako wakati unaona context za hilo andiko ktk Revelation ni tofauti na lile la katika Isaiah. Kule kwenye Quran yenu Iko straight forward kuwa ALLAH ni SHETANI.
Leo umejua nini context ??
 
Pamoja na kuwa sikusudii kubadilisha mada yako
Naomba unitajie Nchi walau 5 zenye Wakristo kwa asilimia 90 (hata sio hiyo 99% uliyo iliyotaja) kwani nikisema 99% unaweza ukaambulia sifuri
Ugiriki, Vatican, Vatican, Armenia
 
Leo umejua nini context ??
Screenshot_20231221-011449.png
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Wewe Mkuu kaza tu shingo yako wakati unaona context za hilo andiko ktk Revelation ni tofauti na lile la katika Isaiah. Kule kwenye Quran yenu Iko straight forward kuwa ALLAH ni SHETANI.

Mungu Kinyozi:

Biblia inasema

"Siku hiyo Bwana atanyoa kichwa na nywele za miguuni, kwa wembe ulioajiriwa, yaani, kwao ng'ambo ya Mto, na kwa mfalme wa Ashuru; nao utazimaliza ndevu." ( Isaya 7:20 )

Hivi ndivyo Mungu anafanya?? Atanyoa miguu ya watu, ndevu na kichwa kwa wembe wa kukodiwa. Hana hata yake mwenyewe. Je, hii ni kazi ya Mungu?



B. Mungu anayezomea:


“Naye atawainua bendera mataifa kutoka mbali, na kuwapigia mluzi kutoka miisho ya dunia; na tazama, watakuja kwa kasi upesi” (Isaya 5:26).

"Na itakuwa katika siku hiyo, kwamba Bwana atawapigia makofi inzi aliye katika mwisho wa mito ya Misri, na nyuki aliye katika nchi ya Ashuru." ( Isaya 7:18 )

Hivi ndivyo Mungu anafanya?? Kwamba anaenda kuzomea kama nyoka

C. Kunguruma Mungu.

"BWANA atatoka kama shujaa, ataamsha wivu kama mtu wa vita; atalia, naam, atanguruma; atawashinda adui zake." ( Isaya 42:13 )

“Watakwenda kumfuata BWANA; atanguruma kama simba; ( Hosea 11:10 )

D. Si Mwenye Nguvu Zote.

"Naye BWANA alikuwa pamoja na Yuda, naye akawatoa wenyeji wa mlimani; lakini hakuweza kuwatoa wenyeji wa bondeni, kwa sababu walikuwa na magari ya chuma." ( Waamuzi 1:19 )



Ambapo biblia hiyo hiyo inatuambia kwamba Mungu ni muweza wa yote.


"...lakini kwa Mungu yote yanawezekana." ( Mathayo 19:26 )

Mtu anaweza kuona migongano ya wazi katika sifa za Mungu katika biblia iliyobadilishwa na mwanadamu.


E. Mungu alipumzika siku ya saba


"Ni ishara kati ya mimi na wana wa Israeli milele; maana kwa siku sita Bwana alifanya mbingu na nchi, akastarehe siku ya saba, akastarehe." (Kutoka 31:17)


"Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya." (Mwanzo 2:2)



"Maana, kwa siku sita BWANA alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo BWANA akaibarikia siku ya sabato akaitakasa." (Kutoka 20:11)


Sabato ni matusi yaliyosimama kwa Mungu katika biblia kwa sababu kulingana na hiyo Mungu alipumzika siku hii. Kwa hiyo Wakristo na Wayahudi wameamriwa kupumzika siku hii.


“Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;

10. Lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako; siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufugwa, wala mgeni aliye ndani ya malango yako” (Kutoka 20:9-10).
 
Ila wakristo wanapenda kulalamika, waislamu wangapi wanafanyiwa mabaya lakini media zinajifanya kama hazioni, Syria, Palestine, Uyghur Muslim, India huko, nk. Hata wakiuliwa vipi habari haitosambaa kama za wakristo, lakini hapo muislam mmoja tu auwe mkristo au mkristo auliwe itaangaliwa kwanza muuaji ni dini gani, kama ni muislam Basi utasikia ndio walivyo hao magaidi, sijui ndio imani yao ndio inavyowatuma wajitoe muhanga. Juzi hapo marekani kuna mwanamke kauwa watu zaidi ya kumi lakini haitwi gaidi Kwa sababu sio muislam. Tuacheni hayo mambo, hakuna dini inayopenda amani kama islam, ndio maana na mimi nikaingia kwenye uislam.
Desperate Palestinians fleeing Gaza stand at the Egyptian border. Egypt, an Arab country, is refusing to open its borders to the refugees. Not a single Arab country has offered to take in the refugees.
 
Mungu wetu wakristo ni Mungu wa amani, upendo na kujali wengine, ndie Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo.
Ndie mungu alituamuru kamwe TUSIUE na TUWAPENDA HATA MAADUI ZETU
Hebu wao waislamu watuambie kuhusu 'mungu' wao.
 
This is a broad question with limitless boundaries. Islam in itself is not monolithic and could not find internal harmony. Since the death of Mohammed S.A.W, Moslems have been on each other's throats fighting brutal wars over petty doctrinal differences and control of the caliphate, how do you expect such people to have harmony with non-moslems ?

Both Sunnis and Shiites claim to worship Allah, yet they cannot stand the sight of each other or stay under the same roof peacefully. You ask Sunnis, they'll tell you Shiites are heretics who deserve nothing short of death by the sword, and vice-versa is true for Shiites.

Islam needs to shed away the cocoon of Medievalism and evolve, just like Judaism, Catholicism and Protestantism, which were brutal cults that caused death, destruction, misery and suffering all over the world claiming doctrinal and church authority over other religious sects. If you ask me, I will tell you that Catholics are the nastiest, vile and wretched religious fanatics to ever crawl out of the mud, they're worse than Moslems, but time and unfavourable circumstances made them adapt to modernity.

Islam is still stuck in the 7th Century, with some fanatics flirting with revanchist dreams of bringing back the Bloody Caliphate which would wreck mayhem against the multitude of Godless kaffirs around the globe. And if it wasn't for major powers like America, Britain, Russia and China who help in keeping the eagles at Bay, Moslems would have embarked on a Bloody Rampage of forcible conversions and genocide, just like The Ottoman Turks did to Armenian Christians during WWI.​
I have got you Sir, loud and clear!

So what can be done, to make islam evolve like catholics?
 
Mimi sijaweka aya zangu nimeziweka kwa ufupi tu na wala hujathibitisha hapo kama Yesu ni mungu

YESU NI MTUMISHI WA MUNGU, HIVYO YEYE SI MUNGU!

Yesu (AS) akasema; “Kama vile Mwana wa Adamu hakuja kutumikiwa, bali kutumika.” [Mathayo 20:28]

“Tazama mtumishi wangu (Yesu), niliyemchagua.” [Mathayo 12:18]

"Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka, amemtukuza mtumishi wake Yesu." [Matendo 3:13]

"Kwa maana ni kweli juu ya mtumishi wako mtakatifu Yesu, uliyemtia mafuta." [Matendo 4:27]



Na hapo pia ziweke kwa urefu utoe ushahidi umpe uungu Yesu kinyume na nilizozinukuu aya
Hivi Yesu wa Nazareti na Issa wa Madina ni mtu mmoja?
 
Hivi Yesu wa Nazareti na Issa wa Madina ni mtu mmoja?

Nazareti - Mji Uliojengwa na WanaTheolojia


The Lost City


The Gospels tell us that Jesus's home town was the 'City of Nazareth' ('polis Natzoree'):


And in the sixth month the angel Gabriel was sent from God unto a CITY of Galilee, named Nazareth, To a virgin espoused to a man whose name was Joseph, of the house of David; and the virgin’s name was Mary.
(Luke1.26,27)

And all went to be taxed, every one into his own city. And Joseph also went up from Galilee, out of the CITY of Nazareth, into Judaea, unto the city of David, which is called Bethlehem; because he was of the house and lineage of David:
(Luke 2.3,4)

But when he heard that Archelaus did reign in Judaea in the room of his father Herod, he was afraid to go thither: notwithstanding, being warned of God in a dream, he turned aside into the parts of Galilee: And he came and dwelt in a CITY called Nazareth: that it might be fulfilled which was spoken by the prophets, He shall be called a Nazarene.
(Matthew 2.22,23)

And when they had performed all things according to the law of the Lord, they returned into Galilee, to their own CITY Nazareth. And the child grew, and waxed strong in spirit, filled with wisdom: and the grace of God was upon him.
(Luke 2.39,40)


The gospels do not tell us much about this 'city' – it has a synagogue, it can scare up a hostile crowd (prompting JC's famous "prophet rejected in his own land" quote), and it has a precipice – but the city status of Nazareth is clearly established, at least according to that source of nonsense called the Bible.


However when we look for historical confirmation of this hometown of a god – surprise, surprise! – no other source confirms that the place even existed in the 1st century AD.


• Nazareth is not mentioned even once in the entire Old Testament. The Book of Joshua (19.10,16) – in what it claims is the process of settlement by the tribe of Zebulon in the area – records twelve towns and six villages and yet omits any 'Nazareth' from its list.

• The Talmud, although it names 63 Galilean towns, knows nothing of Nazareth, nor does early rabbinic literature.

St Paul knows nothing of 'Nazareth'. Rabbi Solly's epistles (real and fake) mention Jesus 221 times, Nazareth not at all.

• No ancient historian or geographer mentions Nazareth. It is first noted at the beginning of the 4th century.

None of this would matter of course if, rather like at the nearby 'pagan' city of Sepphoris, we could stroll through the ruins of 1st century bath houses, villas, theatres etc. Yet no such ruins exist.
 
Unafikiri Hao waliozaliwa huko Ulaya wako Happy ? Labda hujafika na kuishi huko , usidanganywe , watu wanaojiuwa wenyewe hawana idadi , mfumuko wa bei Za vitu ndio usiseme, watu wamellikataa kanisa na makanisa mengi yanageuzwa Msikiti na mengine ma baa . Usidanganywe kanisani

Angalia mwenyewe hao watu wenye furaha wanavyojiuwa

List of countries by suicide rate - Wikipedia
Kwa nn wanakimbilia ulaya ambako watu wanajiua daily?
 
Nazareti - Mji Uliojengwa na WanaTheolojia


The Lost City



The Gospels tell us that Jesus's home town was the 'City of Nazareth' ('polis Natzoree'):





The gospels do not tell us much about this 'city' – it has a synagogue, it can scare up a hostile crowd (prompting JC's famous "prophet rejected in his own land" quote), and it has a precipice – but the city status of Nazareth is clearly established, at least according to that source of nonsense called the Bible.


However when we look for historical confirmation of this hometown of a god – surprise, surprise! – no other source confirms that the place even existed in the 1st century AD.




None of this would matter of course if, rather like at the nearby 'pagan' city of Sepphoris, we could stroll through the ruins of 1st century bath houses, villas, theatres etc. Yet no such ruins exist.
Jibu swali nililokuuloza siyo ukopi mawazo wa waarabu/waislamu wanaotaka kuufifisha uwepo wa Yesu.Tanakh n vitabu vingi vya kihistoria vinamuongelea Jesus the Nazarean.Je huyu ndo Issa wa madina?
 
Unafikiri Hao waliozaliwa huko Ulaya wako Happy ? Labda hujafika na kuishi huko , usidanganywe , watu wanaojiuwa wenyewe hawana idadi , mfumuko wa bei Za vitu ndio usiseme, watu wamellikataa kanisa na makanisa mengi yanageuzwa Msikiti na mengine ma baa . Usidanganywe kanisani

Angalia mwenyewe hao watu wenye furaha wanavyojiuwa

List of countries by suicide rate - Wikipedia
Ndugu,
Naona unahamisha mada, je wewe unajua kuna watu wangapi wanajiua hapa tanzania?
Unaweza kukuta ni idadi kubwa kuliko hao, ni vile weupe ni watafiti na wakusanya taarifa.
 
Pamoja na kuwa sikusudii kubadilisha mada yako
Naomba unitajie Nchi walau 5 zenye Wakristo kwa asilimia 90 (hata sio hiyo 99% uliyo iliyotaja) kwani nikisema 99% unaweza ukaambulia sifuri
𝗭𝗶𝗽𝗼 𝗻𝗰𝗵𝗶 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 𝘆𝗮 𝟭𝟱 𝘇𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗪𝗮𝗸𝗿𝗶𝘀𝘁𝗼 𝘄𝗲𝗻𝗴𝗶 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 𝗱𝘂𝗻𝗶𝗮𝗻𝗶( 𝗲𝗹𝗲𝘄𝗮 𝗻𝗲𝗻𝗼 "𝘄𝗲𝗻𝗴𝗶 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 𝗱𝘂𝗻𝗶𝗮𝗻𝗶) 𝗻𝗶𝘇𝗶𝗷𝘂𝗮𝘇𝗼 𝗺𝗶𝗺𝗶 𝗻𝗶 𝗵𝗶𝘇𝗶
𝟭.𝗠𝗮𝗿𝗲𝗸𝗮𝗻𝗶.
𝟮.𝗕𝗿𝗮𝘇𝗶𝗹
𝟯.𝗠𝗲𝘅𝗶𝗰𝗼
𝟰.𝗜𝗰𝗲𝗹𝗮𝗻𝗱
𝟱. 𝗚𝗲𝗼𝗿𝗴𝗶𝗮.
 
Jibu swali nililokuuloza siyo ukopi mawazo wa waarabu/waislamu wanaotaka kuufifisha uwepo wa Yesu.Tanakh n vitabu vingi vya kihistoria vinamuongelea Jesus the Nazarean.Je huyu ndo Issa wa madina?
Nikujibu kwani lini ulisikia yesu ametoka madina
 
Nyie ndio laana vaeni pampasi kama mlivoamrishwa dini hii iacheni kama ilivyo ninyi fuateni yenu
𝗕𝗶𝘀𝗵𝗮𝗻𝗮 𝗸𝘄𝗮 𝗵𝗼𝗷𝗮 𝗺𝗸𝘂𝘂.
 
Ndugu,
Naona unahamisha mada, je wewe unajua kuna watu wangapi wanajiua hapa tanzania?
Unaweza kukuta ni idadi kubwa kuliko hao, ni vile weupe ni watafiti na wakusanya taarifa.
Unaehamisha mada ni wewe , nimekuwekea link hapo uone mwenyewe hizo nchi unazoziona zina furaha , mbona ndizo zinaongoza kwa watu kujiua au kiengereza hukifahamu ??

Ndiyo furaha zikizidi watu hujiua ??
 
Back
Top Bottom