Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

Wakiristo 65% kwa sensa ipi!?..halafu wapi kwenye waislam wengi wakiristo
mfano mdogo kabisa, hamii zenye watu wengi ni wasukuma, wachaga, wanyakyusa, wamasai, wahaya,, wahehe,... hizo jamii zote watu wengi almost 90% ni wakristo
 
Tafuta Mungu, Jehova, Yahweh, hosanna ni Mungu wa waisrael
Chimbuko la Neno "Allah"


Kwa ujumla: Neno "Allah" ni kifupi cha neno la kiarabu La-ilah, ambalo maana yake ni "mungu". Wakristo wa kiarabu na wapagani walitumia neno Ilah kwa maana ya Mungu. Hata Biblia za kiarabu na kiindonesia leo hii hutumia neno "Allah" kwa maaana ya Mungu. Wakati wa nyuma neno linalofanana na hilo el lilimaanisha "mungu" wa kweli au uongo katika lugha za mashariki ya kati kama kiugariki, kikaanani na kiebrania. Kabla ya Muhammad, kaaba jengo lililotunza sanamu 360 liliitwa Beit-Allah, au "Nyumba ya Allah".


Baba yake Muhammad ambaye alifariki kabla ya Muhammad kuzaliwa, aliitwa Abdullah maana yake, mtumwa wa Mungu. Pia kabila la Wayahudi liliitwa 'Abdullah bin Salam kwenye Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 59 sura ya 13 na. 362 uk.241.

miongoni mwa sanamu/miungu iliyoabudiwa Maka uliitwa "Allah."

Huyu alikuwa mungu maalum wa kabila la Wakureshi naye alikuwa na mabinti watatu maalum. Ukilinganisha na nguzo 4 kati ya 5 za Uislam, watu wa Maka kabla ya Muhammad walifunga kwa pamoja siku moja, walitoa sadaka kwa maskini wao, walisali wakielekeza nyuso zao Maka, na walifanya hija ('Umrah) Maka. Kulikuwa na tofauti nyingi pia, lakini inashangaza kuona muendelezo wa matendo yasiyobadilika yaliyokuwa yakifanyika kwenye ibada za kipagani za kikureshi.
 
Wewe hizo ndio reference zako sio.
Poa usini quote tena maana mimi nilim quote mwingine ukaingilia.

Yaani unapoandika uongo tukuwache tu , hata kama unamjibu mtu ?? hapa ni ukumbini , utajibiwa
 
1. Mbona nchi zote hizo zimeruhusu uhuru wa kuabudu kwenye katiba zao? Na waislam wengi wanakimbilia kwenda kuishi kwenye nchi hizo.?

2. Je nchi kama Saudi Arabia yenye waislam wengi kwa nini wanaogopa kuruhusu ujenzi wa makanisa, wanaogopa nini sasa..?

3. Nyerere alinyanyasaje waislam wakati alitaifisha shule za wakristo ili kuwafanya waislamu wapate elimu kwani hawakuwa na elimu yoyote ya maana ukilinganisha na wakristo na akamfanya Kawawa kuwa waziri mkuu wakati hakuwa kabisa na sifa ya kuwa hata mkuu wa mkoa.

Watu mumekalia lawama tu zisizo na msingi wakati mmebebwa sana katika nchi hii.
Mbona sikuelewi katiba ya nchi za kiislamu wapi wamekataa nchi nyingine kuabud, katiba ya nchi inasema watu wajistri nyie hamtaki mnataka kutembea uchi ila wapi umekatazwa kuabudu..?



2.Saudi Arabia hakuna makanisa? Tangu lin ? Ebu tembea upate kuelewa sio kutunga kwa maneno ya mtaani 🤣🤣

3.Nyerere ndio kaleta ukatoliki hapa Tanganyika ndio maana mnamuenzi kanisani kweny siku ya kifo chake.
 
Chimbuko la Neno "Allah"


Kwa ujumla: Neno "Allah" ni kifupi cha neno la kiarabu La-ilah, ambalo maana yake ni "mungu". Wakristo wa kiarabu na wapagani walitumia neno Ilah kwa maana ya Mungu. Hata Biblia za kiarabu na kiindonesia leo hii hutumia neno "Allah" kwa maaana ya Mungu. Wakati wa nyuma neno linalofanana na hilo el lilimaanisha "mungu" wa kweli au uongo katika lugha za mashariki ya kati kama kiugariki, kikaanani na kiebrania. Kabla ya Muhammad, kaaba jengo lililotunza sanamu 360 liliitwa Beit-Allah, au "Nyumba ya Allah".


Baba yake Muhammad ambaye alifariki kabla ya Muhammad kuzaliwa, aliitwa Abdullah maana yake, mtumwa wa Mungu. Pia kabila la Wayahudi liliitwa 'Abdullah bin Salam kwenye Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 59 sura ya 13 na. 362 uk.241.

miongoni mwa sanamu/miungu iliyoabudiwa Maka uliitwa "Allah."

Huyu alikuwa mungu maalum wa kabila la Wakureshi naye alikuwa na mabinti watatu maalum. Ukilinganisha na nguzo 4 kati ya 5 za Uislam, watu wa Maka kabla ya Muhammad walifunga kwa pamoja siku moja, walitoa sadaka kwa maskini wao, walisali wakielekeza nyuso zao Maka, na walifanya hija ('Umrah) Maka. Kulikuwa na tofauti nyingi pia, lakini inashangaza kuona muendelezo wa matendo yasiyobadilika yaliyokuwa yakifanyika kwenye ibada za kipagani za kikureshi.
Wewe hangaika,lakini ukilala Leo utafute Mungu,usidandie Mungu wa wayahudi
 
Chimbuko la Neno "Allah"


Kwa ujumla: Neno "Allah" ni kifupi cha neno la kiarabu La-ilah, ambalo maana yake ni "mungu". Wakristo wa kiarabu na wapagani walitumia neno Ilah kwa maana ya Mungu. Hata Biblia za kiarabu na kiindonesia leo hii hutumia neno "Allah" kwa maaana ya Mungu. Wakati wa nyuma neno linalofanana na hilo el lilimaanisha "mungu" wa kweli au uongo katika lugha za mashariki ya kati kama kiugariki, kikaanani na kiebrania. Kabla ya Muhammad, kaaba jengo lililotunza sanamu 360 liliitwa Beit-Allah, au "Nyumba ya Allah".


Baba yake Muhammad ambaye alifariki kabla ya Muhammad kuzaliwa, aliitwa Abdullah maana yake, mtumwa wa Mungu. Pia kabila la Wayahudi liliitwa 'Abdullah bin Salam kwenye Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 59 sura ya 13 na. 362 uk.241.

miongoni mwa sanamu/miungu iliyoabudiwa Maka uliitwa "Allah."

Huyu alikuwa mungu maalum wa kabila la Wakureshi naye alikuwa na mabinti watatu maalum. Ukilinganisha na nguzo 4 kati ya 5 za Uislam, watu wa Maka kabla ya Muhammad walifunga kwa pamoja siku moja, walitoa sadaka kwa maskini wao, walisali wakielekeza nyuso zao Maka, na walifanya hija ('Umrah) Maka. Kulikuwa na tofauti nyingi pia, lakini inashangaza kuona muendelezo wa matendo yasiyobadilika yaliyokuwa yakifanyika kwenye ibada za kipagani za kikureshi.


ndio umeweka reference hapo ?? Unakashifu dini za watu kwa kuweka uwongo halafu uwachwe

Christianity​


The Christian Arabs of today have no other word for "God" than "Allah".[55]

Similarly, the Aramaic word for "God" in the language of Assyrian Christians is ʼĔlāhā, or Alaha.

(Even the Arabic-descended Maltese language of Malta, whose population is almost entirely Catholic, uses Alla for "God".) . ----- source wikipedia

Yaani Bwana yesu Lugha yake aliyokuwa akiongea ni Aramaic na lugha hiyo Mungu jina lake ni Allah wala sio Jesus wala JEHOVA
 
mfano mdogo kabisa, hamii zenye watu wengi ni wasukuma, wachaga, wanyakyusa, wamasai, wahaya,, wahehe,... hizo jamii zote watu wengi almost 90% ni wakristo
Acha uwongo wewe, wasukuma zaidi ya 60% wapagani,sambamba na wamasai,Mimi msukuma na babu yangu alikua mpagan,tumechimba shimo mbele ya nyumba tumezika,hiyo ni 2020 aliishi karibu kabisa na mji na Mimi mjukuu wake muislam,Tena wasukuma wanapenda uislam kwa kuwa unaruhusu kuoa wake wengi,hao wamasai hata ukiwadaka hapa mjini ni bado wapagani,sehemu ambayo Ina wakiristo wengi huku waislam wakiwa wachache ni mbeya,lakini hata bado wasafwa wengi wao waislam na wanyakyusa waislam wapo,ukitoa hapo mikoa mingine Kuna idadi ya kutosha tu ya waislam
 
Uzi huu sio tuhuma au tetesi, ni uhalisia wenye shahidi / evidence za kutosha

Kwa lugha nyepesi, Ni kwanini nchi ikijaa wakristo huwa kuna uhuru wa kiimani kwa waislam lakini ikiwa kinyume kunakuwa hakuna tolerance kwa ukristo ?

Nchi inaweza kuwa majority wakristo lakini waislam wakapewa uhuru wa kiimani kuanzia kujenga misikiti bila figisu, kuweka spika za adhana, kuvaa hijab, kufunga barabara wakisali, n.k.

mifano tunaweza kuzitizama nchi jirani Ghana na Nigeria, kwa upande wa Ghana wakristo ni wengi imani za waislam, zinaheshimiwa lakini nchi jirani ya Nigeria waislam wapo 53% lakini kumekuwa na matukio ya kuukandamiza ukristo, pia hapa kwetu Tanzania Bara wakristo ni wengi zaidi huku imani za kiislam zikishimiwa lakini hapo jirani Zanzibar hali ni tofauti



Nchi zilizojaa uislam ni kawaida sana kusikia makanisa yamechomwa, yamebomolewa, n.k. wala sio jambo la kushangaza

Mfano ni hapo Zanzibar mwaka 2022 Kanisa pamoja na makazi ya Mchungaji wake, yalibomolewa kwa kisingizio cha hali ya hewa

View attachment 2909299

Hii ni juzi tu hapo jumamosi iliyopita kanisa la katoliki lilishambuliwa.
View attachment 2909578



Nchi hizi nyingi kikifika kipindi cha mfungo, huwa hakuna kula hadharani, ukikamatwa unaweza kufungwa, kupigwa, n.k. hakuna uhuru kabisa wa kiimani. Cha ajabu ni kwamba wanashindwa kufata sheria zilizoainishwa kwenye Quran kwamba mfungo ni wa watu maalum tu, sio kila mtu inabidi afunge,

Kwa Zanizbar mfungo wa Ramadhani ukikutwa unakula hadharani utapigwa na hata kufungwa rumande wiki kadhaa, Pichani ni wakristo wakipigwa baada ya kukutwa wanakula mchana huko Pemba.

View attachment 2909283

Biashara za pombe zinaminywa sana tena kwa maksudi kabisa, mfano Zanzibar wanaofungua Bar huwa wanafanyiwa figisu za kutosha, sheria ya nchi inakuruhusu lakini itapuuzwa

Huko Nigeria kuna maeneo yana mpaka askari wa kiislam, ukikutwa unauza bia ni tatizo, hapa wanazivunja vunja

View attachment 2909277

Eneo likijaa waislam kuna uwezekano mkubwa watataka watu wa eneo hilo hata wasio waislam wafate sheria za kiislam na ataekiuka wananona wana haki ya kumuadhibu,

Huyu kakutwa katulia anajinywea zake bia zake huko Zanzibar, wakaanza kumpiga bakora bila kujali kama imani yake inamruhusu kunywa,

View attachment 2909278

taasisi za elimu kama vyuo vya kikristo wala haviingilii uhuru wa wanafunzi wa kislam lakini kwa upande wa vyuo vya kiislam hali ni tofauti, mfano chuo cha kiislam cha Morogoro hairuhusiwi kwa mwanafunzi kutembea au kukaa wawili mwanamke na mwanaume hata kufanya discussion isipokuwa awepo mtu wa tatu, kuna video iliwahi kuvuja ikionyesha watu wazima wa chuo hicho wakidhibiwa kwa viboko.

View attachment 2910122



Nchi kadhaa zimepitisha sharia (sheria kwa mujibu wa uislam) zenye mahakama zake, inatakiwa wote mfuate sharia hata kama si muumini wa dini ya kiislam, Mfano nchi kama Malaysia, Ukiwa mwislam ukitaka kuhama dini inabidi utoe maelezo ya kina kwenye mahakama ya kiislam kisha usubiri uamuzi wao kama utakubaliwa
"Angola 'bans' Islam, Muslims, becomes first country to do so - India Today" Angola 'bans' Islam, Muslims, becomes first country to do so
 
Chimbuko la Neno "Allah"


Kwa ujumla: Neno "Allah" ni kifupi cha neno la kiarabu La-ilah, ambalo maana yake ni "mungu". Wakristo wa kiarabu na wapagani walitumia neno Ilah kwa maana ya Mungu. Hata Biblia za kiarabu na kiindonesia leo hii hutumia neno "Allah" kwa maaana ya Mungu. Wakati wa nyuma neno linalofanana na hilo el lilimaanisha "mungu" wa kweli au uongo katika lugha za mashariki ya kati kama kiugariki, kikaanani na kiebrania. Kabla ya Muhammad, kaaba jengo lililotunza sanamu 360 liliitwa Beit-Allah, au "Nyumba ya Allah".


Baba yake Muhammad ambaye alifariki kabla ya Muhammad kuzaliwa, aliitwa Abdullah maana yake, mtumwa wa Mungu. Pia kabila la Wayahudi liliitwa 'Abdullah bin Salam kwenye Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 59 sura ya 13 na. 362 uk.241.

miongoni mwa sanamu/miungu iliyoabudiwa Maka uliitwa "Allah."

Huyu alikuwa mungu maalum wa kabila la Wakureshi naye alikuwa na mabinti watatu maalum. Ukilinganisha na nguzo 4 kati ya 5 za Uislam, watu wa Maka kabla ya Muhammad walifunga kwa pamoja siku moja, walitoa sadaka kwa maskini wao, walisali wakielekeza nyuso zao Maka, na walifanya hija ('Umrah) Maka. Kulikuwa na tofauti nyingi pia, lakini inashangaza kuona muendelezo wa matendo yasiyobadilika yaliyokuwa yakifanyika kwenye ibada za kipagani za kikureshi.
Hii inatakiwa uwe Uzi unaojitegemea kabisa,Asante sana
 
  • Thanks
Reactions: 511
Acha uwongo wewe, wasukuma zaidi ya 60% wapagani,sambamba na wamasai,Mimi msukuma na babu yangu alikua mpagan,tumechimba shimo mbele ya nyumba tumezika,hiyo ni 2020 aliishi karibu kabisa na mji na Mimi mjukuu wake muislam,Tena wasukuma wanapenda uislam kwa kuwa unaruhusu kuoa wake wengi,hao wamasai hata ukiwadaka hapa mjini ni bado wapagani,sehemu ambayo Ina wakiristo wengi huku waislam wakiwa wachache ni mbeya,lakini hata bado wasafwa wengi wao waislam na wanyakyusa waislam wapo,ukitoa hapo mikoa mingine Kuna idadi ya kutosha tu ya waislam
ww mtu wa bara na uislam wapi na wapi. unaningusha ngosha. wacha hiyo mambo ya waarabu. karibu meru nikupe dada yangu lizuri kwelikweli anawapenda sana wasukuma sijui mulimfanya nini. kakataa mchumba wa kikurya na hata mmeru mwenzake eti anataka msukuma sijui ndio walimtoa bikra 😬
 
ww mtu wa bara na uislam wapi na wapi. unaningusha ngosha. wacha hiyo mambo ya waarabu. karibu meru nikupe dada yangu lizuri kwelikweli anawapenda sana wasukuma sijui mulimfanya nini. kakataa mchumba wa kikurya na hata mmeru mwenzake eti anataka msukuma sijui ndio walimtoa bikra 😬
Tunatwanga ileile,changa Tako usiku kucha hakuna kuchoka
 
Acha uwongo wewe, wasukuma zaidi ya 60% wapagani,sambamba na wamasai,Mimi msukuma na babu yangu alikua mpagan,tumechimba shimo mbele ya nyumba tumezika,hiyo ni 2020 aliishi karibu kabisa na mji na Mimi mjukuu wake muislam,Tena wasukuma wanapenda uislam kwa kuwa unaruhusu kuoa wake wengi,hao wamasai hata ukiwadaka hapa mjini ni bado wapagani,sehemu ambayo Ina wakiristo wengi huku waislam wakiwa wachache ni mbeya,lakini hata bado wasafwa wengi wao waislam na wanyakyusa waislam wapo,ukitoa hapo mikoa mingine Kuna idadi ya kutosha tu ya waislam
Nimetembea mikoa ya nyanda za juu kusini,Kuna vijiji vingi neno msikiti wanaujua wanaosoma tena wanauona kwenye alama za kujifunzia.
 
Mbona sikuelewi katiba ya nchi za kiislamu wapi wamekataa nchi nyingine kuabud, katiba ya nchi inasema watu wajistri nyie hamtaki mnataka kutembea uchi ila wapi umekatazwa kuabudu..?



2.Saudi Arabia hakuna makanisa? Tangu lin ? Ebu tembea upate kuelewa sio kutunga kwa maneno ya mtaani 🤣🤣

3.Nyerere ndio kaleta ukatoliki hapa Tanganyika ndio maana mnamuenzi kanisani kweny siku ya kifo chake.
1. Nani katembea uchi au hujui maana ya mtu kuwa uchi, sisi waafrika hatuna muda wa kuiga uvaaji wa kiarabu kwani sio utamaduni wetu.

2. Saudi Arabia kuna kanisa gani tuambie liko sehemu gani katika nchi hiyo.

3. Nyerere ndio mmishenari aliyeleta ukatoliki Tanganyika..!! Unajua hata unachoongea wewe na unafahamu ukatoliki uliingia Tanganyika lini.

Huna maana kabisa na una akili za kitoto sana, sidhani kama una elimu ya maana hapo ulipo.
 
Umeshajua mtu ni mlugaluga halafu unaanzisha timbwili la nini?Muanzishie akunyooshe.Lunch yao siyo maandazi mawili kwa chilisosi!Utapewa mfueni ujilize.
Aisee, Mimi msomali natembea na zombie knife kiunoni, yakanyage tu nikutimbwili!
Na kweli tunakula wali na tambi, lakini roho ya kinyama kinoma
 
Nimetembea mikoa ya nyanda za juu kusini,Kuna vijiji vingi neno msikiti wanaujua wanaosoma tena wanauona kwenye alama za kujifunzia.
Nyanda za juu kusini unamaanisha iringa,mbeya na rukwa ya zamani,iringi uislam upo kitambo,mkwawa alikua muislam,mbeya kocha juma mwambusi ni muislam, hassy kitine anatoka iringa ndani huko ni muislam,we unazungumzia nyanda za juu kusini gani!?
 
Wanampiga jamaa kisa kalewa huku usiku wanaenda kufirwa. Mapuuzi kabisa. Kwanza quran haijakataza pombe.

Kama kuna kifungu quran imekataza pombe, mtuwekee hapa. Huyo Mungu anayewakataza pombe mkiea na miili ya nyama huku ahera kawahaidi mito ya pombe atakuwa mungu mwehu.

Umekatazwa kuzini ila ukioa inakua tendo la ndoa
 
Back
Top Bottom