Can you date a guy without asking him for Money?

Ujue nini A man or woman shouldn't obligate themselves at all to supporting someone in such a capacity if they aren't married..period. Or they're setting themselves up for failure, because there is no guarantee, no covenant in place that says once this person makes it, they're going to take u with them! No way! It may work out..possibly..or it may not. And the people that do this are doing some dangerous gambling, in my opinion. I've personally seen people in these type of relationships that paid out 1000's of dollar supporting someone and then once they made it they married someone else, while the other person is bitter and couldn't believe it.
 
Haya mambo ya kusema ataenda kujibu kwa Mungu unajuaje labda atakuja kutubu kabla hajafa hivyo atasamehewa. Mimi kwa kweli kabla hajafika kwa Mungu lazima nimnyooshepo kidogo.
Yeah
Kama akitubu ni sawa pia ila dhambi ina gharama..
Lazima aingie gharama.

Na kila Jambo hutokea kwa sababu...pengine amenisaliti ili kuniachia njia kwenda sehemu Bora Zaidi
Kwahiyo siwezi kulaumu.

Pia siwezi kuanza kuwaza mawazo hasi ya kusalitiwa mapema hivi.
Napenda kuvichukulia vitu katika mtazamo chanya.
 
Yah hii mizinga yakitoto inabore mfano, vocha, hela ya pedi, chips, sijui kusuka and stuffs like that tunaona mnaweza kufight wenyewe mkavimanage endapo mkijishughulisha na biashara ndogo ndogo au kama umeajiriwa unaweza kuvimanage sema ndo hela yenu inakua ngumu but kwetu sisi nikama kero. Lakini inapokuja issue ya serious for instance mzazi wako kaugua let say kalazwa inahitajika hela ya matibabu hata kama ni million nitatoa kiroho safi au umeshindwa kulipa kodi nitatoa tuu coz nivitu reasonable. Sasa mtu umeshindwa kulipa vikoba elf 20 unaanza sms siku nzima dah
 
Ooooo Haleluya.
 
Oohh very good. Very very good.
 
Mimi nilisemaga kwamba, I will NEVER let a woman take care of me or kids, PERIOD, but to each his own, if u the type of male that likes being taken care of by a woman then that’s on u. I think a man should at least be able to have the basics in life, a home, a car, savings of at least a third of his salary. In this country if u not doing at least $500,000 a year then u broke.
 
Mzoee tu vituko vyake. She is a comedian.
Tena huyu ucomedian amepunguza sasahivi...
Kuna mwaka nikiona comment zake nilikuwa nacheka hadi natokwa na machozi..sasa nikiangalia na ile Avatar yake ya kiemoj basi Mimi ni kucheka tu[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…