Can you date a guy without asking him for Money?

Weeeeeeeeeeeeeeee... hiyo sentenzi ya mwisho ina walakini mkubwa..
 
Reactions: amu
Waulize wakiomba picha. Ukituma selfie anataka picha full.
Unamuuliza unataka uone nini? Kumbe anataka aone tako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mto mada wanawake hawajalikes uzi wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatujapendezwa na huu uzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Una hela za kuhudumia wake wanne? Au kwa vile umeona amesema hajui kuomba hela umeona mteremko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumwachia kila kitu Mungu ni uzembe, kwani akili alikupa za kuvukia barabara tu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]aiseeee
 
Hakuna broke woman bwana we, kuna broke men tu. Mwanamke unaemuona broke ni kuwa kazungukwa na wanaume wasiotumia akili vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Leo wanaume wote wa jf wanataka kukuoa.
Lakini wengi wao ni hiyo kutoomba hela ndo wamependa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawataki kuombwa hela..

Kuna wengine Wana akili wanatoa wenyewe
 
Problem is you focus on the wrong people. Look at the upright people. Young, mature and focused.
Hao mnaowaangalia Ni Nani hasa katika jamii mpaka mnawapa uzito wa kuwashawishi whether to get married or not jamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…