Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio nikagundua kumbe mtoa mada ana matatizo mazito ukiacha la kutokutoa pesa[emoji134][emoji134][emoji134]"6ki" ndo nini jamani mnaniacha njia panda.
Weeeeeeeeeeeeeeee... hiyo sentenzi ya mwisho ina walakini mkubwa..Hapana.
Kuna siku nilikuwa na semina na corporate women wale wadada wa mjini wenye mafanikio na biashara zao.
Wanamiliki microfinance, ana kiwanda cha kuchakata taka kuwa karatasi, miradi mikubwa ya kilimo n. K mie pekee yangu sikuwa level hiyo. Nipo nao pamoja sababu naamini one day nitafika kama wao.
Wengi wao wanawashukuru wanaume zao mpaka kufika hapo.
Mmoja alisema mwanaume wake alikuwa analala mufindi maporini huko anakata miti kwa ajili ya nguzo za umeme.
Mtaji ndo walipatia hapo.
Just uboyfriend tu mpaka leo wapo mbali sana.
So usiogope kuambiwa "am not your type".
Hakuna mwanamke anayesahau wema wa mwanaume labda umtibueee afute kila kitu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Waulize wakiomba picha. Ukituma selfie anataka picha full.
Unamuuliza unataka uone nini? Kumbe anataka aone tako.
Labda huenda ukakubali kuwa mke wa nne, sababu huanza mbili kisha hufata nne, umbali nao husaidia.Mbona nilishakukatalia tangu mwanzo kuwa mke wa pili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Mto mada wanawake hawajalikes uzi wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatujapendezwa na huu uzi
[emoji23][emoji23][emoji23]Leo wanaume wote wa jf wanataka kukuoa.Mbona nilishakukatalia tangu mwanzo kuwa mke wa pili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Una hela za kuhudumia wake wanne? Au kwa vile umeona amesema hajui kuomba hela umeona mteremko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]aiseeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumwachia kila kitu Mungu ni uzembe, kwani akili alikupa za kuvukia barabara tu?
Hakuna broke woman bwana we, kuna broke men tu. Mwanamke unaemuona broke ni kuwa kazungukwa na wanaume wasiotumia akili vizuri.Nina swali kwako wewe mpenda pesa, Should a man stay in a relationship with a broke woman???
Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Si ndio nikagundua kumbe mtoa mada ana matatizo mazito ukiacha la kutokutoa pesa[emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna broke woman bwana we, kuna broke men tu. Mwanamke unaemuona broke ni kuwa kazungukwa na wanaume wasiotumia akili vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo wanaume wote wa jf wanataka kukuoa.
Lakini wengi wao ni hiyo kutoomba hela ndo wamependa.
Problem is you focus on the wrong people. Look at the upright people. Young, mature and focused.Msimamo wangu uko pale pale kuwa siku hizi hakuna mapenzi ya kweli. Kama ambavyo wanaume huwa mnaangalia sura na matako kwa wanawake (utadhani wamejiumba) basi acheni na wanawake waangalie pesa na vingine wanavyovijua wao kwa wanaume maana vyote hivyo siyo vigezo vya mtu kuwa mke mwema wala mume mwema.
Hapana ustaadhLabda huenda ukakubali kuwa mke wa nne, sababu huanza mbili kisha hufata nne, umbali nao husaidia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe unatuchanganyia sana habari.
Sisi wote hapa tunajua kiswahili kifasaha.
Ona sasa zoe ni mdada si mkaka.
AhsanteeeeHakuna broke woman bwana we, kuna broke men tu. Mwanamke unaemuona broke ni kuwa kazungukwa na wanaume wasiotumia akili vizuri.
Usinifanyie hivyo, najua hapa hadharani unajitutumua, ngoja nitakufata sirini nilie lie, mpaka ije kuwa.Hapana ustaadh
Msimamo wangu ni ule ule
Ngalikihinja nakuamini.Weeeeeeeeeeeeeeee... hiyo sentenzi ya mwisho ina walakini mkubwa..
Yaani nimecheka hadi machozi yananitoka hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]