Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Hiyo tafsiri sasa ni matatizo binafsi. We toa pesa bwana achana na matafsiri yatakuondoa kwenye lengo jema kabisa.Mwanamke akiniomba pesa namchukulia tofauti kabisa....
Mimi sio kipofu nitaona ukihitaji pesa...ukiniomba unaniambia sijui unapopatwa na tatizo na kuna tafsiri nyingine ambayo ipo kichwani mwangu hata kuiandika siwezi.