Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
We naye naona unataka kunichosha tu hapaNiichukue haki yangu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We naye naona unataka kunichosha tu hapaNiichukue haki yangu ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hyo hapo unajikuta umewiiin mwenyewe kwa kuzaliwa na mtaji tayari?
Sawa tu fainali uzeeni mkifika 30+ mnasaka ndoa kwa nguvu had mitandaoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unafikiri dunia yako hii Ngalikihija? Unaweza shangaa hao unaowaongelea ndio hao wasoomba hata mia. Mungu sio Ngalikihija bwana, anatenda kwa namna za ajabu sana. Hao unaowalalamikia ndio hupata wanaume haswaa. Njoo sasa upande wa pili ni full "mfurugano"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani hadi nimekaa chini kwa kicheko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Imekuwaje umekubaliana na TECNO? Mtu akipitia post zakoza juu, aaffuuu eti hapa kwenye TECNO umeelewa tulichokuwa tunakisea... atashangaa AMUAhsante tupo wote.
Kweli tamaa siyo nzuri.
Nimependa sana Jibu Lako, Una majibu yenye heshima na hekima ndani yake, uwe na siku njema Jael, Ngoja niende Lunch mda Huu ila Karibu sana.[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Imebidi nikafungue mlango nihakikishe kama sioti, we naanzaje mimi jamani? Nitaharisha hadi utumbo. Mwanaume una matatizo makubwa sana wewe.
Bwana weee niache nimechoka njaa inauma ngoja nile.Imekuwaje umekubaliana na TECNO? Mtu akipitia post zakoza juu, aaffuuu eti hapa kwenye TECNO umeelewa tulichokuwa tunakisea... atashangaa AMU
Yaani nyie..!!Yaani hadi nimekaa chini kwa kicheko
Hii comment lazima nikaiweke kwenye ule uzi wako[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Hao wife material wenyewe mkiwapata hamuwathamani msivyo na shukurani punda nyie acheni mchunwe tuAt least Saint Anne ndio wife material niliyemuona so far
Yaani acha kabisa, we hujawahi ona yule mwanamke unayesema hat abure humtaki anapata booonge la mwanaume. Na wife material anakutana na akina Marichris [emoji134][emoji134]Eti Mungu siyo Ngalikihinja.. shenzee type kabisa Jael...🙂🙂 Nimecheka kwa sauti
Ahahahahaa hayo pouwa... kula, upumzike, halafu urudiBwana weee niache nimechoka njaa inauma ngoja nile.
Inatosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Yaani acha kabisa, we hujawahi ona yule mwanamke unayesema hat abure humtaki anapata booonge la mwanaume. Na wife material anakutana na akina Marichris [emoji134][emoji134]
Ngoja nikalale mwaya, labda kesho asubuhi nitakutana na msg ya Mpesa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Jael naomba unipumzishe..
Nimecheka Sasa inatosha[emoji119]
Zoë
Tulia we bwegeHao wife material wenyewe mkiwapata hamuwathamani msivyo na shukurani punda nyie acheni mchunwe tu
Mkuu mbona hata ninyi huwa mnataka mchezo bila kuangalia hali za wenzenu. Mtu bila aibu anabwabwaja eti mie mwanamke angalau anipe mara tano kwa wiki hapo hujamuoa wala huna mpango wa kumuoa hebu niambie kwanini asikuchune.Tatizo wanawake wa siku hizi mnaomba hela bila kuangalia hali ya mwenza wako.Mtakuta mmeanza vizuri mwenzi wako yy level zake za kuhonga ni tecno,itel nk.
Sasa tatizo linakuja siku akisikia rafiki yake kaongwa iphone au sumsung na yy nae anataka kama hiyo wakati anajua mwenza wake kwa hali yake ya sasa ni Tecno.
Kwa kifupi mnatamaa na si kwamba wanaume hawaongi wanaonga ila mnapenda kuishi maisha ya watu wengine lkn na si yale yanayoendana na kipato cha mwenzako,wakati mwamzo ulistahimili.
Alafu basi kuna wanawake wengine hawana hata mawazo tu (si hela),yakumsaidia mwenzi wake kuongeza kipato.Kila siku yeye "naomba......naomba.....naomba",yaani yy anaamini K ndio silaha ya kupata na siku ukiteteleka kiuchumi ndio basi si wako.
Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nikalale mwaya, labda kesho asubuhi nitakutana na msg ya Mpesa.
Usiku mwema dear.
Hiyo lunch nitalipia mimi au unalipia wewe?Nimependa sana Jibu Lako, Una majibu yenye heshima na hekima ndani yake, uwe na siku njema Jael, Ngoja niende Lunch mda Huu ila Karibu sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hao wife material wenyewe mkiwapata hamuwathamani msivyo na shukurani punda nyie acheni mchunwe tu
Point umeilewa kweli.............Mkuu mbona hata ninyi huwa mnataka mchezo bila kuangalia hali za wenzenu. Mtu bila aibu anabwabwaja eti mie mwanamke angalau anipe mara tano kwa wiki hapo hujamuoa wala huna mpango wa kumuoa hebu niambie kwanini asikuchune.
Yupo akikuona hakika atafurahi sana. Ila nitamtaarifu tu kuwa ajiandae kisaikolojia maana huyo mke wake mtarajiwa kwake pesa mbele kama mfuko wa shati.Aaah wifi usinifanyie hivi. Hivi huna kaka mtoaji mzuri umwambie mke mwema nipo hapa?