Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Inategemea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaweza kuta ni yule mswis[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alikuwa anajitafutia maujiko kwa kitu kisichochake.
Na mbaya zaidi bora angekuwa upande wa tunaoomba hela. Yaani anatukandia?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anadhani atabaki salama akigusa hii "kamati"?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huu uzi wanaume wanaoenda na kurudi kimsingi hawana hela.
Nawaapia tena hawana pesaaaaaa.
Unawauma balaa.
Cha gugo umempa cheo sana. Ni cha kukopi na kupesti.Kumbe kingereza cha gugo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hasa la kutafuta pesa, wakati mnajua jukumu la kuwapa pesa ni letu ? Kwanini msitulie tu ikajulikana moja tuwaletee pesa mtumie ?!Yepi ambayo tunataka tufanane?
πππππππUnajua nimecheka sana na kuita Didi.
Anadai ni kispaniola sijui kinininiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1]naona huko aliko hata mwenyewe anajicheka
Angekuwa upande wetu angalau tungemsitiri, anatukandia tena kwa kingereza kweli? Ametukosea sana adabu, aje atuombe radhi.Alikuwa anajitafutia maujiko kwa kitu kisichochake.
Na mbaya zaidi bora angekuwa upande wa tunaoomba hela. Yaani anatukandia?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anadhani atabaki salama akigusa hii "kamati"?
Cha gugo umempa cheo sana. Ni cha kukopi na kupesti.
Anaanza tuu hapo mwanzo, "Jael.... Anapest zake[emoji23][emoji23]"
Achana na mswiss.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mswis angalau Kiswahili alikuwa anakijua, huyu muhispaniola wa Marangu anatuandikia "fliji" mara "6ki" [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Eti "Fliji"πππππππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mswis angalau Kiswahili alikuwa anakijua, huyu muhispaniola wa Marangu anatuandikia "fliji" mara "6ki" [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Saa nane mchana. Najua huko ni usiku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna ubaya tukitafuta?Hasa la kutafuta pesa, wakati mnajua jukumu la kuwapa pesa ni letu ? Kwanini msitulie tu ikajulikana moja tuwaletee pesa mtumie ?!
True that...Huu uzi wanaume wanaoenda na kurudi kimsingi hawana hela.
Nawaapia tena hawana pesaaaaaa.
Unawauma balaa.
Anatusemesha vizungu ametusomesha yeye πππππ.Angekuwa upande wetu angalau tungemsitiri, anatukandia tena kwa kingereza kweli? Ametukosea sana adabu, aje atuombe radhi.
Na kwanini utafute hela mtoto wa kike ? Wakati sisi watafutaji tupo ?Kuna ubaya tukitafuta?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Cha gugo umempa cheo sana. Ni cha kukopi na kupesti.
Anaanza tuu hapo mwanzo, "Jael.... Anapest zake[emoji23][emoji23]"